Magufuli na sengeli, Tundu Lissu na Reggae

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Kuna mbingu, na Kuna ardhi. Muziki wa Reggae umekuwa ukiheahimika duniani kote kwa maudhui yake maridhawa yaliyobeba ujumbe mzito wa kiukombozi na kuleta watu pamoja.
Muziki wa sengeli ni muziki wa kihuni, wa watu waliopoteza tumaini, wasio na dira wala mwelekeo.

Maudhui ya sengeli ni matusi na ulevi.
Huyu anasema One Love, One heart, Let get together and I will feel alright.
Huyu mwingine anasema HAINAGA USHEMEJI TUNAKULAGA.

Ndio maana Kila aendako anataka kupewa mke.

Uchaguzi wa mwaka huu una fumbo kubwa Sana, hakika tutalala kwa furaha maana kale kazimwi ka tambiko kamefungiwa Makumbusho na hakajazungishwa kupumbaza watu.

Imeisha hiyoooooo
 
Bujibuji tafuta video clip ya singeli na reggae tulinganishe hapa
 
Mkuu ebu fikiria, mtu kweli anapata uthubutu wa kuropoka hadharani ns kuwatisha walipa kodi kuwa atawanyima maendeleo kwa sababu za kipuuzi kabisa. Huo ni uhuni kabisa kama ule uliopo ktk maudhui ya nyimbo za singeli zinazotungwa na kushabikiwa na wahuni, ambao wengi wao ndiyo washereheshaji wakuu ktk kampeni zake.
 
Kampeni za CCM ni uchafu mtupu
 
Tumeanza linganisha vitu sasa,tumeshaachana na sera na wagombea

tumehamia kwenye vitu vitumikavyo kwenye kampeni sasa,tukimaliza

hapo tuhamie kwenye jambo lingine,tuachane kbsa na sera na wagombea..Tutafika tu.
 
Tumeanza linganisha vitu sasa,tumeshaachana na sera na wagombea

tumehamia kwenye vitu vitumikavyo kwenye kampeni sasa,tukimaliza

hapo tuhamie kwenye jambo lingine,tuachane kbsa na sera na wagombea..Tutafika tu.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…