Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mwenda wazimu ni wewe ama nani. Maana ndege bado ziko kiwandani. Pumbav weweAir Tanzania ina fleet size ya ndege nne. Sasa mnapotuambia mmeongeza ndege ya saba hiyo ni wendazimu gani? Mtaongezaje ya saba kama hamna ya tano na sita?
ziko kiwandani zinakamilika, wakati zinaendelea kutengenezwa basi akaamua kuongeza nyingine na yenyewe iko kwenye matengenezoAir Tanzania ina fleet size ya ndege nne. Sasa mnapotuambia mmeongeza ndege ya saba hiyo ni wendazimu gani? Mtaongezaje ya saba kama hamna ya tano na sita?
Angalia akili yako isiwe inafanana na profile name yakoMara tuwaite mabeberu ..wezi wa rasilimali zetu ila ndege zao nzuri.Tutengeneze ndege zetu kama tulivyosema tunalima pamba tutaanza kuwauzia mitumba
Ati 747,a340/330 ata heri ungesema 737, u cant just wake up and play in the big leagueVizuri kama anaweza pata Ndege Moja Ya Cargo kama vile 747-F ama airbus A340/A330. Hizi zingine amenunua ni za passager pekee.
747-F for freight A330 freight. They cost much less than the passanger versions. Stop being ignorantAti 747,a340/330 ata heri ungesema 737, u cant just wake up and play in the big league
Mzungu na Magufuliwanauelewa mchezo huu, wananchi ndio wafumbua macho.Huyo mzungu anaangalia Magufuli na kujiambia kimoyomoyo "Hawa waafrika wanakuanga washamba sana!"
Ili iweje korôsho. Unajua return yakiuchumi kwenye hizi ndege.Aiseee!
Hiyo hela bora hata tungwekeza kwenye korosho
Marufuku ipi na mashirika gani ??!
!
Tegemeeni Kupigwa Marufuku Au Kuwekewa Masharti Magumu Kwa Mashirika Binafsi. Mbinu Za Kibiashara Ya Ushindani Hakuna
Ndege hainunuliwi kama gari kwamba unazikuta zipotiyali ! 😀😀 Engineer fake tulia 😀😀Ina-, ita- sisi hupenda kuongelea vitu ambavyo vipo.
Tutapata mkuu niwazo zuri sana.Vizuri kama anaweza pata Ndege Moja Ya Cargo kama vile 747-F ama airbus A340/A330. Hizi zingine amenunua ni za passager pekee.
Acha kuandika Kiswahili cha kishamba wewe. Sio wanakuanga bali wanakuaga au wanakua.Huyo mzungu anaangalia Magufuli na kujiambia kimoyomoyo "Hawa waafrika wanakuanga washamba sana!"
Naona Magufuli huwa ni uncle yako ! 😀😀Mzungu na Magufuliwanauelewa mchezo huu, wananchi ndio wafumbua macho.
Nawaomba wanajamvi. Rais amesema leo kuna ndege nyingine ya saba imeongezwa.
Je, Zile picha za Issa Michuzi kwenye Instagram zikimwonesha akiwa kwenye kiwanda cha airbus. Je, kuna mambo kama haya yanaweza tokea?
Hebu nawaomba msikilize hapa:
Huyu jamaa hajui ndege huchukua muda mrefu kutengenezwaziko kiwandani zinakamilika, wakati zinaendelea kutengenezwa basi akaamua kuongeza nyingine na yenyewe iko kwenye matengenezo