Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa akili ya makalio yako? Mbona mnajitoa ufahamu?Sukuma Gang wacheni kubweka bweka kama mbwakoko,Ikulu imejengwa kwa kodi zetu.
Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO,
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC,
Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote,chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli,,kwanini asitajwe,,shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia.
Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine.
Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭
Hivi mama Janet wamekualika kweli????
Hata stendi ya mabasi Chato kajenga Magufuli, usisahau.
Takataka mwingine umejitokeza Mungu haiwezi kumpa nchi yake shetaniJiwe: shetani
Wanajaribu kujifariji ila ukweli ni kwamba ikulu ya Dodoma ilijengwa na chuma JPM.Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO,
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC,
Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote,chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli,,kwanini asitajwe,,shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia.
Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine.
Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭
Hivi mama Janet wamekualika kweli????
Shoga katika ubora wakoSukuma Gang wacheni kubweka bweka kama mbwakoko,Ikulu imejengwa kwa kodi zetu.
Yes, na ile ya Mbezi, ya Dodoma, mji wa serikali na project kibao za maana zimejengwa na JPM.Hata stendi ya mabasi Chato kajenga Magufuli, usisahau.
Tarimba Abbas kajenga ghorofa jirani na Makao makuu ya ChademaWatu wamejenga madaraja huko rufiji, malagalasi na barabara kedekede lakini hawapigi kelele ulikuwa ni wajibu wao hembu ondoeni ushamba wenu hapa
Aibu sana kwa Taifa. Bila hata hofu wanajitapaWatanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO,
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC,
Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote,chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli,,kwanini asitajwe,,shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia.
Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine.
Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭
Hivi mama Janet wamekualika kweli????
Ikulu imejengwa na watanzania sio Magufuli. Ikulu ya Chamwino imejengwa na Magufuli sio Samia!Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO,
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC,
Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote,chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli,,kwanini asitajwe,,shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia.
Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine.
Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭
Hivi mama Janet wamekualika kweli????
Huwezi kulinganisha mtu aliejenga daraja Moja miaka kumi na aliejenga miundombinu ya kimkakati nchi nzima kwa miaka minne.Watu wamejenga madaraja huko rufiji, malagalasi na barabara kedekede lakini hawapigi kelele ulikuwa ni wajibu wao hembu ondoeni ushamba wenu hapa
Kwani wakati wa Marais wengine Kodi zenu hazikuwepo?unajionesha kuwa wewe ni takataka
Pole sana mkuuWatanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO,
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC,
Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote,chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli,,kwanini asitajwe,,shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia.
Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine.
Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭
Hivi mama Janet wamekualika kweli????
Huyo aliyejenga daraja moja miaka 10 ninani? Ivi hii nchi mlianza kuijua lini haswa? Mwinyi alipoingia marakani hali za watz zilikuwaje kimaisha na hiyo miundo mbinu ilikuaje? BM kikwete nk muwe mnasoma basi hata historia!Huwezi kulinganisha mtu aliejenga daraja Moja miaka kumi na aliejenga miundombinu ya kimkakati nchi nzima kwa miaka minne.
Jisikie aibu kidogo mkuu.
Kwani ukimtaja wewe si inatosha jamani sukuma gang mbona mna gubu la mke wa pili.Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO,
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC,
Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote,chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli,,kwanini asitajwe,,shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia.
Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine.
Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.[emoji24]
Hivi mama Janet wamekualika kweli????
Aliyekufumua marinda kakuweza kweli haja kubwa inakutoka ovyo shoga mwandamizi wewe.Kwa akili ya makalio yako? Mbona mnajitoa ufahamu?