Magufuli ndiye aliyejenga Ikulu ya Chamwino, acheni janja janja

Magufuli ndiye aliyejenga Ikulu ya Chamwino, acheni janja janja

Kuwa uone; Leo nimeshangaa sana how can people lie publicly bila aibu...Ila niwashukuru officials wameiweka hitoria vizuri sana with dates, hongereni sana executives wa Tanzania!
 
Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO,
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC,
Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote,chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli,,kwanini asitajwe,,shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia.
Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine.
Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭
Hivi mama Janet wamekualika kweli????
Nadhani hizo zingine ni siasa, official statements zipo clear and to the points...It was sealed 2020...Mwenye kuelewa ataelewa!

Kiongozi wetu mkuu ameonyesha uanadiplomasia wa hali ya juu na in between lines utasikia sauti yake iki insist, nani aliamua utekelezaji uanze, mama you are super intelligent...Be blessed!
 
Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO,
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC,
Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote,chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli,,kwanini asitajwe,,shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia.
Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine.
Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.[emoji24]
Hivi mama Janet wamekualika kweli????
Unajua nini wameona kila akitajwa shangwe lake ni kubwa kwa hyo bora kukaa kimya maana ni kama wao hawaonekani
 
Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO,
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC,
Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote,chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli,,kwanini asitajwe,,shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia.
Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine.
Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭
Hivi mama Janet wamekualika kweli????
Wanaogopa wananchi kushangilia kwa shangwe na nderemo kila wakilisikia jina la Magufuli kama ilivyotokea kule Rufiji wakati wa uzinduzi wa Bwawa la kuzalisha umeme.
 
Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO,
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC,
Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote,chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli,,kwanini asitajwe,,shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia.
Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine.
Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭
Hivi mama Janet wamekualika kweli????
unawashwa nini, ikulu imejengwa kwa pesa za watanzania, huyo marehemu wako hakutoa mshahara wala posho yake sana sana alituibia pesa nyingi sana.
 
Hilo lipo wazi mkuu.

Mafisadi ya msoga Yana wivu na marehemu.
 
Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO,
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC,
Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote,chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli,,kwanini asitajwe,,shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia.
Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine.
Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭
Hivi mama Janet wamekualika kweli????
Magufuli kajenga au serikali imejenga?
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom