Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikojo ya wanaume imekuathiri sana choko weweShoga katika ubora wako
Nadhani hizo zingine ni siasa, official statements zipo clear and to the points...It was sealed 2020...Mwenye kuelewa ataelewa!Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO,
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC,
Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote,chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli,,kwanini asitajwe,,shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia.
Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine.
Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭
Hivi mama Janet wamekualika kweli????
Yaani leo watu wame underline kabisa....Dots zote wamezi connect na kuzi bold wenyewe...Du saaad!Eh kumbe kuna ligi
Ova
Unajua nini wameona kila akitajwa shangwe lake ni kubwa kwa hyo bora kukaa kimya maana ni kama wao hawaonekaniWatanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO,
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC,
Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote,chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli,,kwanini asitajwe,,shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia.
Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine.
Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.[emoji24]
Hivi mama Janet wamekualika kweli????
Keshavuta mkuu. Kabaki historiaWanajaribu kujifariji ila ukweli ni kwamba ikulu ya Dodoma ilijengwa na chuma JPM.
Mpe hongera msimamizi wa kodi yako, wengine wanazito.....,mbea tuSukuma Gang wacheni kubweka bweka kama mbwakoko,Ikulu imejengwa kwa kodi zetu.
Wanaogopa wananchi kushangilia kwa shangwe na nderemo kila wakilisikia jina la Magufuli kama ilivyotokea kule Rufiji wakati wa uzinduzi wa Bwawa la kuzalisha umeme.Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO,
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC,
Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote,chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli,,kwanini asitajwe,,shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia.
Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine.
Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭
Hivi mama Janet wamekualika kweli????
unawashwa nini, ikulu imejengwa kwa pesa za watanzania, huyo marehemu wako hakutoa mshahara wala posho yake sana sana alituibia pesa nyingi sana.Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO,
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC,
Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote,chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli,,kwanini asitajwe,,shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia.
Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine.
Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭
Hivi mama Janet wamekualika kweli????
Kuna watu Magufuli akitajwa mnakurupuka kama mmepigwa dol..la taco.Hata stendi ya mabasi Chato kajenga Magufuli, usisahau.
Mwandiko wako kama umekalia nyama ngumu ikiwa imezama maungoni mwako kabisa.Kuna watu Magufuli akitajwa mnakurupuka kama mmepigwa dol..la taco.
Magufuli kajenga au serikali imejenga?Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO,
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC,
Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote,chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli,,kwanini asitajwe,,shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia.
Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine.
Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭
Hivi mama Janet wamekualika kweli????