Tuwekee kifungu kabisa tukajiridhishe.Cha ajabu Yesu Mnazarethi ya Galilaya ya Mfalme Herode, alikataa ku submit kwa Mfalme huyo mwovu alipopata habari kuwa anataka kumuua, akisema: "Nendeni mwambie yule mbweha..."
Alieandika hii habari mzee alipochukua tu nchi,alifungasha haraka sana vitu vyake pale ikulu mara ya mwisho nimekutana nae ngala nilipokuwa kwenye mkutano wa kichama
Member since 2007. Kwa hiyo nilikuwepo!Wakati tunabadili jina kutoka Jambo forums ulikuwepo?
For sure..inawezekana ni UONGO.
..I dont believe this guy.
Kwa hio huu ugonjwa wa akili ni kabla ya sumu, nilidhani ulisababishwa na sumu.Hapa ndo huwa tunasema when GOD chose you nothing bad will hapen to you
Wewe ni mchaguliwa
am proud of you Sir
Kosa la jinai halina mwisho , hakuna limit ya kusema baada ya muda flani kosa linakufa. Halafu yeye kisheria hana mamlaka na hakua na mamlaka ya kusamehe na kuzuia jamhuri kushtaki hao watuhumiwa.Acheni kumlisha maneno alisema kabla ya kuupata ndio alikutana na dhahma hiyo kaamua kusamehe fimbo watachapwa na Mungu
Majamaa maviazi sana wanaleta story za kuumwa wakati wa vipindi cha bunge wakati wa utawala wa JK, wakati yeye amesema alipewa sumu kipindi cha mkapa.Hilo ni tukio la juzi tu we kiazi
bado wapo nchini na hawajapata madharaNi akina nani hao?mhh siasa hizi🤦🏼♀️
naweza kuitumiaMbona unasaga kwamba sio uzalendo kutumia lugha ya mabeberu...!!
Leo nini kimekusibu ndugu..??
only fools can not understandWhat is this ? Do you even understand this ?
[IMG alt="Kawe [ATTACH type="full"]1261670[/ATTACH]
[B][USER=571458]Kawe Alumni
JF-Expert Member[/B]
Joined Mar 20, 2019
3,982 2,000
wewe umeingia juzi tu hapa JF labda una yako kwa kubadili ID
km hujatumwa basi alisafirishwa nje na akatibiwa ,Tafuta post za Mwanakijiji
hajawahi kuugua tena zaidi ya pale Bungeni
post ya
Magufuli augua ghafla, alazwa
- Thread starternyasaland
- Start dateApr 18, 2012
Mbona wengine wanashambuliwa kwa Risasi 38 halafu hakuna uchunguzi?
uchunguzi upo ndio maana amewaweka waziSio tu hakuna uchunguzi sema pia na hii mbona hawàkuongezewa ulinzi