Magufuli: Nikiwa Waziri nilinyweshwa sumu na viongozi waliochukia utendaji kazi wangu, nilitaka kujiuzulu

Mpaka sasa nimejiuliza maswali mengi bila kupata majibu. Sijui kama lengo ilikuwa ni kutujulisha au ni kupata sympathy. All in all, in my opinion it was given at the wrong platform .
 
Kutokana na kukwepa kifo kwa sumu ile na kupewa ulinzi, yawezekana ndio maana ulinzi wake kama Rais upo hivi (angalia picha). Hapa ni kwenye mazingira haya ambayo huashiria kwenye mazingira mengine hali ni hii hii au zaidi.





 
Kuna vigogo Wa CCM walihusika, mbaya zaidi mmoja ameshakwenda Ikulu Mara kadhaa
 
Jonh usijali,we are with you and praying for you real hard,The God of Jacob and Isack never fails.
 
Hata Tundu Lissu atakuja kusimulia alivyopigwa risasi kibao hadharani wakati Wa utawala wa Magufuli!
Siku hazigandi!
 
Mungu alimlinda Mja wake Mkuu, Mungu alimuandaa Magufuli kuwa Rais wa Tanzania
Kuja kuikomboa Tanzania kutoka kwenye mikono ya Mafisadi, wauza madawa ya kulevya na wapiga dili

Magufuli ni sauti ya wanyonge zandrano,
 
Wakuu Jana nilisikia mojawapo wa Mawaziri waliomuonea wivu JPM kupendwa na Rais Mkapa, wakati akiwa waziri na Askari mwavuli, basi Mawaziri wa ngazi za juu na hali iliyosababisha yeye kulishwa sumu.

Swali langu; Je, Kuna ngazi za Mawaziri zaidi ya WM then Mawaziri? Au ilikuwa inamlenga mtu Fulani? Nani alikuwa waziri wa ngazi ya juu wakati huo?
Tuko huru kujadili kwa sababu Kama ilikuwa classified, basi JPM amefanya declassified jana.

Kwa kweli nchi za ulimwengu wa 3, bado hatujui kufanya declassification. Tukifanya declassification tunaweza kuishia kutengeneza tatizo kubwa zaidi. Ticha tu ndo alikuwa anajua kufanya declassification kwa maslahi ya Taifa na siyo kwa maslahi binafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…