Tuanzie hapa: baada ya Kikwete kuwa rais alimuondolea ulinzi Magufuli ( baada ya kutaka kuuliwa Mkapa alikuwa amempa walinzi)Hao mawaziri waandamizi waliomchukia ni kina nani?
Hapana.Alichanganya kupitia mwanaye George
Kifo cha Magufuli kichunguzwe
Yeye hakuwa sehemu ya wale waliompa jiwe tuzo ya kupambana na Corona?RIP baba askofu Prof Mwenesongole!
Sikuwahi kukushuhudia ukichanganya dini na siasa.
Ukiwa muuaji jiandae kuuliwa tuView attachment 2058384
Serikali ya Tanzania inao wajibu wa kuchunguza na kuweka bayana kifo cha Magufuli na si vinginevyo.
Utetezi na kupuuzwa kwa namna yeyote uchunguzi wa kifo cha Magufuli ipo siku huko mbeleni jambo hilo litaleta matatizo makubwa!
Magufuli maisha ya uongozi wake yalijawa kutishwa kuuawa na hilo aliliweka bayana yeye mwenyewe tena mbele ya Viongozi wakuu wastaafu na hakumng'unya kutamka.
Kifo cha Magufuli kichunguzwe kwa sababu kilijawa na sintofahamu kubwa!
Kabla ya ombi lako kufikirika.View attachment 2058384
Serikali ya Tanzania inao wajibu wa kuchunguza na kuweka bayana kifo cha Magufuli na si vinginevyo.
Utetezi na kupuuzwa kwa namna yeyote uchunguzi wa kifo cha Magufuli ipo siku huko mbeleni jambo hilo litaleta matatizo makubwa!
Magufuli maisha ya uongozi wake yalijawa kutishwa kuuawa na hilo aliliweka bayana yeye mwenyewe tena mbele ya Viongozi wakuu wastaafu na hakumng'unya kutamka.
Kifo cha Magufuli kichunguzwe kwa sababu kilijawa na sintofahamu kubwa!
RIP baba askofu Prof Mwenesongole!
Sikuwahi kukushuhudia ukichanganya dini na siasa.
Kwa nini? Kwa faida ya nani?Kifo cha Magufuli kichunguzwe
Acha unafiki wewe, akiwa hai alizuia uchunguzi wa wote waliouawa chini ya utawala wake na pia alizuia uchunguzi kuhusu nani aliyehusika kumpiga risasi zaidi ya 30 Tundu Antipas Lissu.View attachment 2058384
Serikali ya Tanzania inao wajibu wa kuchunguza na kuweka bayana kifo cha Magufuli na si vinginevyo.
Utetezi na kupuuzwa kwa namna yeyote uchunguzi wa kifo cha Magufuli ipo siku huko mbeleni jambo hilo litaleta matatizo makubwa!
Magufuli maisha ya uongozi wake yalijawa kutishwa kuuawa na hilo aliliweka bayana yeye mwenyewe tena mbele ya Viongozi wakuu wastaafu na hakumng'unya kutamka.
Kifo cha Magufuli kichunguzwe kwa sababu kilijawa na sintofahamu kubwa!
Magufuli anawatesa sana nyie watu. Inaonekana hamlali usiku wakati yeye keshalala usingizi wa milele.View attachment 2058384
Serikali ya Tanzania inao wajibu wa kuchunguza na kuweka bayana kifo cha Magufuli na si vinginevyo.
Utetezi na kupuuzwa kwa namna yeyote uchunguzi wa kifo cha Magufuli ipo siku huko mbeleni jambo hilo litaleta matatizo makubwa!
Magufuli maisha ya uongozi wake yalijawa kutishwa kuuawa na hilo aliliweka bayana yeye mwenyewe tena mbele ya Viongozi wakuu wastaafu na hakumng'unya kutamka.
Kifo cha Magufuli kichunguzwe kwa sababu kilijawa na sintofahamu kubwa!
Hao waliofanya hivyo watakuwa wazalendo....KAMA NI KWELI SUMU IMETUMIKA..SAFI SANAView attachment 2058384
Serikali ya Tanzania inao wajibu wa kuchunguza na kuweka bayana kifo cha Magufuli na si vinginevyo.
Utetezi na kupuuzwa kwa namna yeyote uchunguzi wa kifo cha Magufuli ipo siku huko mbeleni jambo hilo litaleta matatizo makubwa!
Magufuli maisha ya uongozi wake yalijawa kutishwa kuuawa na hilo aliliweka bayana yeye mwenyewe tena mbele ya Viongozi wakuu wastaafu na hakumng'unya kutamka.
Kifo cha Magufuli kichunguzwe kwa sababu kilijawa na sintofahamu kubwa!
Hao waliofanya hivyo watakuwa wazalendo....KAMA NI KWELI SUMU IMETUMIKA..SAFI SANA