Alilishwa sumu ya aina gani...aseme kama ni Cyanide au ni nini? Hayo mambo ya kusema " Nililishwa sumu" au "nililogwa " au nini sijui halafu unashindwa kutoa details huo ni uongo mtupu, Alikuwa na ugonjwa wake ambao hataki kuusema aache uongo au kusingizia. Hatua gani ilichukuliwa baada ya yeye kulishwa sumu??? Au ndiyo anawalipizia akina Lissu, Ben Saanane, Azzory na wengine anaoendelea kuwapoteza. HAYO NI MANENO YA MKOSAJI....Magonjwa yako yanafahamika tangu ulivyokuwa unaenda kwa babu wa Loliondo