Wapeleke wote TAKUKURU na Msajili wa vyama vya siasa.Zilikua kwenye cm iliyoibiwa na Mchadema mwingine tena.
Anamatusi ya rejareja kwa wapiga kura wakeJana tuu kauliza wananchi eti wanataka kupanuliwa wapi. japo alikuwa sahihi ila aliuliza kama kumaanisha fulani
Huna hoja !Mkuu leo habari ya mjini vijana wanasema #Lisu_katoa_boko kwa adui.
Nitarudi kujadili hoja baadaye kidogo.
Kweli sina hoja zaidi ya kuwakumbusha watu leo #Lissu_katoa_boko kwa adui.Huna hoja !
Mkuu inaposemwa maendeleo ya vitu maana yake ni vitu visivyo na tija kwa jamii pana. Mfano unanunua ndege huku sekta ya kilimo iko hoi ambayo ikiboreshwa ingegusa maisha ya zaidi ya 75% ya watz.Hizi hoja za maendeleo ya watu au vitu kidogo huwa zinanichanganya, sababu siamini kama kuna maendeleo ya watu bila vitu au maendeleo ya vitu bila watu.
1. Hivi daraja hujengwa kwa ajili ya nani?
2. Ndege hununuliwa kwa ajili ya nani?
2. Umeme ni kwa ajili ya nani?
Labda nimeenda mbali sana.
Hivi unaponunua makochi ndani kwako, vitanda, nguo hivi vyote ni vitu. Lakini vitu hivi ni kwa ajili ya watu. Naamini kwamba tunaposema mtu fulani ameendelea ni pamoja na vitu anavyomiliki.
Nimejiuliza sana kwamba hivi maendeleo ya vitu yakoje? Sanamu huvishwa nguo? Sanamu hupelekwa shule na watu kuachwa nyumbani! Wanasiasa wananichanganya kidogo. Kwa mbali ni kama nimekimbia mada lakini nahitaji msaada.
Unachekesha
Bila picha hainogi! Huu nao ni utopolo Kama wa huyo msingiziaji!Kuna mnyanyembe mmoja alikua amevaa tshirt ya Chadema.aling'oa alama ya barabarani.tulimgongesha kichapo cha kimataifa kisha tukampeleka ngomeni kwa pilato.
Corona ipo au imekwishaLissu amewashika vibaya! haya siyo maneno ya kusemwa na Rais! Ni dalili za kuhangaika and the last outcome ni kuwapiga watu risasi!
"UCHAGUZI WA MWAKA HUU NI MGUMU SANA"BY TUNDU LISUHata kama ni kusema uongo basi na uongo wenyewe uwe na ushawishi kidogo.
Kauli kama hizi zinaonyesha kwamba Jpm hana hoja, lakini pia amewadharau wapiga kura.
Kwanini asijikite kuwaeleza atawafanyia nini waTz ktk miaka 5 inayokuja, na badala yake anashambulia wapinzani kwa hoja za uongo?
Tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe ni mpinzani gani ameharibu miundombinu ya nchi hii?
Kuhusu kulinda rasilimali zetu, kila mmoja anajua mikataba yooote mibovu ya kifisadi ilisainiwa baina ya serikali za ccm na makampuni ya kibeberu.
Video hii hapa msikilize tangu dakika ya 4:00.
AsanteUkiwa verified user unakuwa useless! You will never speak your true mind!
mzee maghu bwana amenifannya nicheke na kutoa hasira zangu za siku ya leo , binfsi naona siku za kampeni kama zinachelwa ,uchaguzi huu mtam haitasauliaka kamwe da mungu ibarik tzHata kama ni kusema uongo basi na uongo wenyewe uwe na ushawishi kidogo.
Kauli kama hizi zinaonyesha kwamba Jpm hana hoja, lakini pia amewadharau wapiga kura.
Kwanini asijikite kuwaeleza atawafanyia nini waTz ktk miaka 5 inayokuja, na badala yake anashambulia wapinzani kwa hoja za uongo?
Tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe ni mpinzani gani ameharibu miundombinu ya nchi hii?
Kuhusu kulinda rasilimali zetu, kila mmoja anajua mikataba yooote mibovu ya kifisadi ilisainiwa baina ya serikali za ccm na makampuni ya kibeberu.
Video hii hapa msikilize tangu dakika ya 4:00.
JPM hana muda wa kuongea atawafanyia nini Watanzania, bali ana muda wa kuwatumikia kwa vitendo!Hata kama ni kusema uongo basi na uongo wenyewe uwe na ushawishi kidogo.
Kauli kama hizi zinaonyesha kwamba Jpm hana hoja, lakini pia amewadharau wapiga kura.
Kwanini asijikite kuwaeleza atawafanyia nini waTz ktk miaka 5 inayokuja, na badala yake anashambulia wapinzani kwa hoja za uongo?
Tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe ni mpinzani gani ameharibu miundombinu ya nchi hii?
Kuhusu kulinda rasilimali zetu, kila mmoja anajua mikataba yooote mibovu ya kifisadi ilisainiwa baina ya serikali za ccm na makampuni ya kibeberu.
Video hii hapa msikilize tangu dakika ya 4:00.
Dr Bashiru yeye amefika mbali na kusema eti hao wanaosema kazi na bata wanalala na bata wachafu 🤣🤣Halafu nilimsikia msajili wa vyama vya siasa akiwaeleza wagombea kueleza wao watafanya nini endapo watachaguliwa na si kuwaponda wenzao lakini huyu mchattle anakwenda kinyume mapema mapema sana