NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Usinipangie cha kupost.Punguza post za kishamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinipangie cha kupost.Punguza post za kishamba.
Vijana wa chadema dharau ndio hobby yenu, unaulizwa swali unaleta jazba sijui hata mitihani darasani mnajibu vipiNimeitoa wapi?!!
For asking such a question, nimegundua kumbe nabadiishana mawazo na mtu ambaye si sahihi, not only absent minded but also narrow minded person.
Hata kama ni kusema uongo basi na uongo wenyewe uwe na ushawishi kidogo.
Kauli kama hizi zinaonyesha kwamba Jpm hana hoja, lakini pia amewadharau wapiga kura.
Kwanini asijikite kuwaeleza atawafanyia nini waTz ktk miaka 5 inayokuja, na badala yake anashambulia wapinzani kwa hoja za uongo?
Tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe ni mpinzani gani ameharibu miundombinu ya nchi hii?
Kuhusu kulinda rasilimali zetu, kila mmoja anajua mikataba yooote mibovu ya kifisadi ilisainiwa baina ya serikali za ccm na makampuni ya kibeberu.
Video hii hapa msikilize tangu dakika ya 4:00.
Mbona taarifa zinasema uchumi unakua wewe zako unazitoa wapi mkuu?Ndo maana uchumi wetu unakufa maana rais yupo busy na petty issues.probably uwezo wake upo kwenye kudeal na hizi petty issues
Hata kama ni kusema uongo basi na uongo wenyewe uwe na ushawishi kidogo.
Kauli kama hizi zinaonyesha kwamba Jpm hana hoja, lakini pia amewadharau wapiga kura.
Kwanini asijikite kuwaeleza atawafanyia nini waTz ktk miaka 5 inayokuja, na badala yake anashambulia wapinzani kwa hoja za uongo?
Tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe ni mpinzani gani ameharibu miundombinu ya nchi hii?
Kuhusu kulinda rasilimali zetu, kila mmoja anajua mikataba yooote mibovu ya kifisadi ilisainiwa baina ya serikali za ccm na makampuni ya kibeberu.
Video hii hapa msikilize tangu dakika ya 4:00.
Hata mimi hiyo kauli naiwekea alama yaa kiulizo ? ' lakini kwavile jamii zetu unafiki ni sehemu ya maisha basi inabidi tushangilie tu!
Hivi wapinzani kweli wanaweza kuvunja madaraja? ama wewe uamue uvunje nyumba yako 'are you normal' je una hofu ya Mungu..hivi wakati akisema URONGO wa waziwazi namna hiyo alikuwa amemtanguliza MUNGU mbele?
Tulizeni vishundu hivyo mchezo haujaanza. Bunduki hatutaki hoja zijibiwe kwa hoja.Nyie ndo mnamjaza ujinga lisu ajione tembo kumbe chawa tu
Hapana sio utani mwanakampeni mwenzake katoa mpya ya kijinga kama hiyo. Yuko tume sijui inaitwa ya uchaguzi eti kadai Lissu kasema akishindwa ataingiza watu barabarani wakati Lissu alisema atafanya hivyo akiibiwa kura.. Unaona jinsi alivyoigeuza sentenso kwaajili ya kuwachota akili wabongo wenye akili za kupima?Huenda aliongea kisiasa tu kama utani sidhani kama kuna mpinzani anaweza kuvunja miundombinu hata kuharibu tu hawawezi maana ni watu wenye akili timamu.
Hutaki??Unachekesha
Kwani wewe wametanguliza MUNGU katika ulevi?..hivi wakati akisema URONGO wa waziwazi namna hiyo alikuwa amemtanguliza MUNGU mbele?
Njaa mbaya sana aiseeKuna mnyanyembe mmoja alikua amevaa tshirt ya Chadema.aling'oa alama ya barabarani.tulimgongesha kichapo cha kimataifa kisha tukampeleka ngomeni kwa pilato.
Punguza ushamba binti.Usinipangie cha kupost.