Uchaguzi 2020 Magufuli: Wapinzani wakishinda watavunja-vunja madaraja na kuuza scraper!

Uchaguzi 2020 Magufuli: Wapinzani wakishinda watavunja-vunja madaraja na kuuza scraper!

Hata kama ni kusema uongo basi na uongo wenyewe uwe na ushawishi kidogo.

Kauli kama hizi zinaonyesha kwamba Jpm hana hoja, lakini pia amewadharau wapiga kura.

Kwanini asijikite kuwaeleza atawafanyia nini waTz ktk miaka 5 inayokuja, na badala yake anashambulia wapinzani kwa hoja za uongo?

Tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe ni mpinzani gani ameharibu miundombinu ya nchi hii?

Kuhusu kulinda rasilimali zetu, kila mmoja anajua mikataba yooote mibovu ya kifisadi ilisainiwa baina ya serikali za ccm na makampuni ya kibeberu.

Video hii hapa msikilize tangu dakika ya 4:00.


Karltika wagombea wote wa Uraisi , JPM ndiye aliyekuja na hoja za maendeleo, Lissu alichukua muda wote wa hotuba zake kwenye mkutano wa KM ya Chadema, kuelezea yaliyomkuta na kuzungumzia uogozi wa magufuli, na alipoalikwa ACT, hotuba yake ilikuwa ileile ya kumshutumu Magufuli na kueneza uongo, eti TZ haina marafiki na haipendwi, na hilo aliliona alipotembea Ulaya na Umarekani. Kwanza Lissu katika safari zake zote hizo hakukutana na kiongozi yoyote wa maana, ni afadhali ya Zitto alikutana na kiongozi wa Labout Party ya UK.

Lissu alizidi na kusema eti viongozi wa EA hawakuja kwenye Mazishi ya Mkapa kwa sababu ya uhusiano mbaya na magufuli, huu ni wakati wa Maradhi ya Corona viongozi wengi hawaruhusiwi na katiba kufanya safari za njee na wanachungwa. K.m.: Raisi uhuru ameweka nchi yake kwenye Lock Down, alafu yeye asafiri itakuwaje.

Ukiangalia kwa upande wa ACT, inasikitisha kuwa Membe sio mzungumzaji mzuri, na speech yake haikuwa ya kuvutia, naye ilikuwa ya kilio, lakini ilikuwa na afadhali kwani alikipongeza sana Chama chake Kipya na kukipigia debe.
 
Hata kama ni kusema uongo basi na uongo wenyewe uwe na ushawishi kidogo.

Kauli kama hizi zinaonyesha kwamba Jpm hana hoja, lakini pia amewadharau wapiga kura.

Kwanini asijikite kuwaeleza atawafanyia nini waTz ktk miaka 5 inayokuja, na badala yake anashambulia wapinzani kwa hoja za uongo?

Tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe ni mpinzani gani ameharibu miundombinu ya nchi hii?

Kuhusu kulinda rasilimali zetu, kila mmoja anajua mikataba yooote mibovu ya kifisadi ilisainiwa baina ya serikali za ccm na makampuni ya kibeberu.

Video hii hapa msikilize tangu dakika ya 4:00.





Hivi,

Muda wa KAMPENI UMEFIKA?
 
Alimaanisha hata angekuja kiongozi yeyote tofauti na yeye kwa kipindi hata kama ni CCM wangeweza wasimalizie muradi hii kama wao waliyoiasisi.Kwahyo usipotoshe
Twambie ni nani aliyeua mradi wa kufua umeme kwa kutumia gas asilia kutoka Mtwara?

Ni chama gani kilitumia jeshi kuwaadhibu raia waliotaka mitambo ya kufua umeme ijengwe Mtwara?

Na ni chama gani kimetupilia mbali na kuacha miradi iliyogharimu utu na maisha ya watu wa kusini?

Je, tuna uhakika gani kuwa chama chenye tabia ya kuanzisha na kutelekeza baadhi ya miradi hakitatelekeza na hii ya sasa?
 
Mzee wa kutengeneza movieView attachment 1529034
Hapo eti kuwaaminisha watu kuwa anapendwa!
Ajabu akishapita watu wa eneo husika wanaulizana, yule mzee aliyetoa jogoo anakaa wapi hapa? Au kijana mchoma mahindi huwa anachomea wapi? Hakuna awajuaye na hitimisho ni kuwa "wanatufanya mafala sio?"
 
Hata kama ni kusema uongo basi na uongo wenyewe uwe na ushawishi kidogo.

Kauli kama hizi zinaonyesha kwamba Jpm hana hoja, lakini pia amewadharau wapiga kura.

Kwanini asijikite kuwaeleza atawafanyia nini waTz ktk miaka 5 inayokuja, na badala yake anashambulia wapinzani kwa hoja za uongo?

Tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe ni mpinzani gani ameharibu miundombinu ya nchi hii?

Kuhusu kulinda rasilimali zetu, kila mmoja anajua mikataba yooote mibovu ya kifisadi ilisainiwa baina ya serikali za ccm na makampuni ya kibeberu.

Video hii hapa msikilize tangu dakika ya 4:00.




Yeye anaamini kuwa ni peke yake dunia nzima kuwa ndiye mwenye maono na uwezo wa kufanya ya maana. Wala siyo CCM Ila yeye binafsi.

Binafsi kweli kweli hili jamaa.
 
Yawezekana wakavunja kweli, mbona wimbo wa Taifa wanataka kurekebisha?
Hata kama ni kusema uongo basi na uongo wenyewe uwe na ushawishi kidogo.

Kauli kama hizi zinaonyesha kwamba Jpm hana hoja, lakini pia amewadharau wapiga kura.

Kwanini asijikite kuwaeleza atawafanyia nini waTz ktk miaka 5 inayokuja, na badala yake anashambulia wapinzani kwa hoja za uongo?

Tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe ni mpinzani gani ameharibu miundombinu ya nchi hii?

Kuhusu kulinda rasilimali zetu, kila mmoja anajua mikataba yooote mibovu ya kifisadi ilisainiwa baina ya serikali za ccm na makampuni ya kibeberu.

Video hii hapa msikilize tangu dakika ya 4:00.


 
Karltika wagombea wote wa Uraisi , JPM ndiye aliyekuja na hoja za maendeleo, Lissu alichukua muda wote wa hotuba zake kwenye mkutano wa KM ya Chadema, kuelezea yaliyomkuta na kuzungumzia uogozi wa magufuli, na alipoalikwa ACT, hotuba yake ilikuwa ileile ya kumshutumu Magufuli na kueneza uongo, eti TZ haina marafiki na haipendwi, na hilo aliliona alipotembea Ulaya na Umarekani. Kwanza Lissu katika safari zake zote hizo hakukutana na kiongozi yoyote wa maana, ni afadhali ya Zitto alikutana na kiongozi wa Labout Party ya UK.

Lissu alizidi na kusema eti viongozi wa EA hawakuja kwenye Mazishi ya Mkapa kwa sababu ya uhusiano mbaya na magufuli, huu ni wakati wa Maradhi ya Corona viongozi wengi hawaruhusiwi na katiba kufanya safari za njee na wanachungwa. K.m.: Raisi uhuru ameweka nchi yake kwenye Lock Down, alafu yeye asafiri itakuwaje.

Ukiangalia kwa upande wa ACT, inasikitisha kuwa Membe sio mzungumzaji mzuri, na speech yake haikuwa ya kuvutia, naye ilikuwa ya kilio, lakini ilikuwa na afadhali kwani alikipongeza sana Chama chake Kipya na kukipigia debe.
Na wewe unakubaliana na huyu jamaa?
Screenshot_2020-08-07-01-45-52-1.png
 
Wewe daby ni sh.ger nenda kajadili mapenzi kule uliko jikita jukwaa la mapenzi. Wewe unawaza ngono tu mambo ya nchi huwezi kujua mkuu.
Mkuu nadhani uwezo wako wa kupambanua mambo ni mdogo saana. Matusi ya nini sasa.
 
Wapinzani ni viwavi,hawapaswi kupewa nchi kwa namna yoyote iwayo
 
Hata kama ni kusema uongo basi na uongo wenyewe uwe na ushawishi kidogo.

Kauli kama hizi zinaonyesha kwamba Jpm hana hoja, lakini pia amewadharau wapiga kura.

Kwanini asijikite kuwaeleza atawafanyia nini waTz ktk miaka 5 inayokuja, na badala yake anashambulia wapinzani kwa hoja za uongo?

Tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe ni mpinzani gani ameharibu miundombinu ya nchi hii?

Kuhusu kulinda rasilimali zetu, kila mmoja anajua mikataba yooote mibovu ya kifisadi ilisainiwa baina ya serikali za ccm na makampuni ya kibeberu.

Video hii hapa msikilize tangu dakika ya 4:00.



Very low Mgombea kiti!
 
Hizi hoja za maendeleo ya watu au vitu kidogo huwa zinanichanganya, sababu siamini kama kuna maendeleo ya watu bila vitu au maendeleo ya vitu bila watu.
1. Hivi daraja hujengwa kwa ajili ya nani?
2. Ndege hununuliwa kwa ajili ya nani?
2. Umeme ni kwa ajili ya nani?
Labda nimeenda mbali sana.
Hivi unaponunua makochi ndani kwako, vitanda, nguo hivi vyote ni vitu. Lakini vitu hivi ni kwa ajili ya watu. Naamini kwamba tunaposema mtu fulani ameendelea ni pamoja na vitu anavyomiliki.
Nimejiuliza sana kwamba hivi maendeleo ya vitu yakoje? Sanamu huvishwa nguo? Sanamu hupelekwa shule na watu kuachwa nyumbani! Wanasiasa wananichanganya kidogo. Kwa mbali ni kama nimekimbia mada lakini nahitaji msaada.
Elewa maana ya
Human development
Economic development na economic growth ..
Kabla ya kuuliza hayo maswali yako soma hivyo vitu hapo kwanza .
 
Back
Top Bottom