digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Inategemea wewe unamuonaje,ka unamuona Yuko na tabia za viwavi basi ni sawa kumuita kiwavi,chadema ni viwavi tukiwapa nchi watapukutisha kila kilicho machoni mwetuTwende taratibu, nikikuambia kuwa "baba yako ni kiwavi", utafuraha neno hilo? (twende taratibu, usichukie, natoa mfano wa lugha ya kuchukiza)
Hawafai inapaswa kwa kila raia awaye kuwapinga hawa viwavi