Uchaguzi 2020 Magufuli: Wapinzani wakishinda watavunja-vunja madaraja na kuuza scraper!

Uchaguzi 2020 Magufuli: Wapinzani wakishinda watavunja-vunja madaraja na kuuza scraper!

Twende taratibu, nikikuambia kuwa "baba yako ni kiwavi", utafuraha neno hilo? (twende taratibu, usichukie, natoa mfano wa lugha ya kuchukiza)
Inategemea wewe unamuonaje,ka unamuona Yuko na tabia za viwavi basi ni sawa kumuita kiwavi,chadema ni viwavi tukiwapa nchi watapukutisha kila kilicho machoni mwetu

Hawafai inapaswa kwa kila raia awaye kuwapinga hawa viwavi
 
Hizi hoja za maendeleo ya watu au vitu kidogo huwa zinanichanganya, sababu siamini kama kuna maendeleo ya watu bila vitu au maendeleo ya vitu bila watu.
1. Hivi daraja hujengwa kwa ajili ya nani?
2. Ndege hununuliwa kwa ajili ya nani?
2. Umeme ni kwa ajili ya nani?
Labda nimeenda mbali sana.
Hivi unaponunua makochi ndani kwako, vitanda, nguo hivi vyote ni vitu. Lakini vitu hivi ni kwa ajili ya watu. Naamini kwamba tunaposema mtu fulani ameendelea ni pamoja na vitu anavyomiliki.
Nimejiuliza sana kwamba hivi maendeleo ya vitu yakoje? Sanamu huvishwa nguo? Sanamu hupelekwa shule na watu kuachwa nyumbani! Wanasiasa wananichanganya kidogo. Kwa mbali ni kama nimekimbia mada lakini nahitaji msaada.
Umeme upi Stiglaz????
 
Hata kama ni kusema uongo basi na uongo wenyewe uwe na ushawishi kidogo.

Kauli kama hizi zinaonyesha kwamba Jpm hana hoja, lakini pia amewadharau wapiga kura.

Kwanini asijikite kuwaeleza atawafanyia nini waTz ktk miaka 5 inayokuja, na badala yake anashambulia wapinzani kwa hoja za uongo?

Tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe ni mpinzani gani ameharibu miundombinu ya nchi hii?

Kuhusu kulinda rasilimali zetu, kila mmoja anajua mikataba yooote mibovu ya kifisadi ilisainiwa baina ya serikali za ccm na makampuni ya kibeberu.

Video hii hapa msikilize tangu dakika ya 4:00.



Badala yake Lissu anatakiwa anene kwenye Kampeni kuwa FlyOver na SGR zikikamilika kama yeye akiingia madarakani ataziita Magufuli Flyover na Magufuli SGR! Itakuwa imetulia sana hiyo!
 
Hata kama ni kusema uongo basi na uongo wenyewe uwe na ushawishi kidogo.

Kauli kama hizi zinaonyesha kwamba Jpm hana hoja, lakini pia amewadharau wapiga kura.

Kwanini asijikite kuwaeleza atawafanyia nini waTz ktk miaka 5 inayokuja, na badala yake anashambulia wapinzani kwa hoja za uongo?

Tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe ni mpinzani gani ameharibu miundombinu ya nchi hii?

Kuhusu kulinda rasilimali zetu, kila mmoja anajua mikataba yooote mibovu ya kifisadi ilisainiwa baina ya serikali za ccm na makampuni ya kibeberu.

Video hii hapa msikilize tangu dakika ya 4:00.



Uzuri mwenyewe amekiri kuwa mikopo wanatoa kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ingawa sio wengi
 
Baada ya cheche za Lissu naona mapovu yamekuwa ya kumwaga. Jana nikasikia rais amepewa barua ya mapema kwenye mkutano
 
Et huyo ndio Rais wa JMT!! Rais unakua na propaganda za kishamba namna hiyo!!

Et mkichagua wapinzani watavunja vunja madaraja!! . Upumbavu mtupu.

Huyu jiwe mbona ana siasa za kitoto sana!! Asifikiri WaTz wa sasa ni kama wale wa vizazi vilivyopita.

Presidential rubbish!!.
 
Lissu amewashika vibaya! haya siyo maneno ya kusemwa na Rais! Ni dalili za kuhangaika and the last outcome ni kuwapiga watu risasi!
Mkuu salama,
Yaani kwa akili zako unategemea outcome mpya?
 
Huenda aliongea kisiasa tu kama utani sidhani kama kuna mpinzani anaweza kuvunja miundombinu hata kuharibu tu hawawezi maana ni watu wenye akili timamu.
Utani gani? Hana hoja. Amezoea kuswaga ng'ombe. Hawezi kuongoza watu.
 
Hata kama ni kusema uongo basi na uongo wenyewe uwe na ushawishi kidogo.

Kauli kama hizi zinaonyesha kwamba Jpm hana hoja, lakini pia amewadharau wapiga kura.

Kwanini asijikite kuwaeleza atawafanyia nini waTz ktk miaka 5 inayokuja, na badala yake anashambulia wapinzani kwa hoja za uongo?

Tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe ni mpinzani gani ameharibu miundombinu ya nchi hii?

Kuhusu kulinda rasilimali zetu, kila mmoja anajua mikataba yooote mibovu ya kifisadi ilisainiwa baina ya serikali za ccm na makampuni ya kibeberu.

Video hii hapa msikilize tangu dakika ya 4:00.




Hii ni hoja dhaifu kabisa isiyo na mashiko huyu ni mwepesi Sana kwenye hoja jukwaani zaidi ya mabeberu, SGR,ndege,bwawa Hana kingine tena Cha kuongea cha kuwashawishi wapiga kura
 
Magufuli ni moja ya viongozi wachache saana ambao utawapata Afrika.

Uongozi wake sio wa nadharia.... unaongea matatizo halisi yanatukabili na kadri ya uwezo wako unayafanyia kazi.
Ndo maana uchumi wetu unakufa maana rais yupo busy na petty issues.probably uwezo wake upo kwenye kudeal na hizi petty issues
 
Back
Top Bottom