Magufuli: Wapinzani wanawaza Ipo Siku Watatawala, Wasahau

Magufuli: Wapinzani wanawaza Ipo Siku Watatawala, Wasahau

Kweli nyerere atabakia kuwa kiongozi mwenye akili na busara siku zote,kama hadi rais anatoa speech ya namna hii.ndugu zangu hatuna viongozi tuna watafuta sifa na cheap populality
 
Hizi kauli huwa zinachochea vurugu katika nchi. Bulembo kipindi cha kampeni alisema hatutawaruhusu kuingia ikulu leo Magufuli anasema waache hizo ndoto. Wapinzani wao 2010&2015 walilalamika kuibiwa kura na CCM lakini wanalinda amani ya nchi. Naanza kuelewa kuwa wapinzani wa nchi hii ni kama hawajielewi maana haiwezekani ninyi mlinde amani ya nchi wakati mnaibiwa kura na wapinzani wenu wakati wote malengo ni kushika dola. Siungi mkono upinzani wa kulinda tu amani wakati upande wa pili wanawaza tu kushika dola lazima mbadilike vinginevyo muwapongeze wenzenu kukubali kushindwa.
 

Attachments

  • Screenshot_2016-02-07-12-30-48.png
    Screenshot_2016-02-07-12-30-48.png
    129.4 KB · Views: 25
Hujaona na Museveni ameiga style ya ushindi ya Tanzania kwa kuagiza magari ya kuwasha kwa ajili ya kuwatisha waganda pindi atakapolazimisha ushindi!!

Hakuna demokrasia Africa, watanzania tujifariji tu kwa sasa kwa vile raisi tuliyempata ana uelekeo wa uchapakazi na uadilifu hakuna cha kutegemeo kwa vile demokrasia haipo Africa
 
Jamani katika hali ya kawaida ni rahisi zaidi kumtoa Rais madarakani anayemaliza muda wake kikatiba kwa kutumia kura,kuliko Rais aliye tumikia kipindi cha muhula mmoja tu.
Japo upo uwezekano pia wa kumtoa ndani ya mhula mmoja endapo wananchi wataamua iwe hivyo kupitia box la kura.
Sasa najiuliza,kwa kauli ya Rais Magufuli kuwa,Wapinzani wasahau kuitawala nchi hii.Je,Ipi nafasi ya vyama hivi 2020?
Vitaingia kwenye uchaguzi kushindana ili vishinde au kutimiza wajibu?Maana kama ni kusinda washaambiwa wasahau.
Kumbuka na wakati huo ndio utakuwa muhula wa kwanza wa miaka 5 kwa JP umemalizika.Akiwa na muhula mwingine mmoja mkononi,Hivi ikitokea watanzania wakasema kwenye ballot box mzee kapumzike tuangalie na hii timu nyingine,Atakuwa tayari?Ataheshimu maamuzi ya wananchi?
Bado natafakari ile kauli ya wapinzani wasahau,Hivi ilikuwa ya ki siasa au Rais alimanisha?
 
Wakifanya uchaguz wenye uhuru,sio wa kutumia vyombo vya dola,ccm atashindwa.
 
Jamani katika hali ya kawaida ni rahisi zaidi kumtoa Rais madarakani anayemaliza muda wake kikatiba kwa kutumia kura,kuliko Rais aliye tumikia kipindi cha muhula mmoja tu.
Japo upo uwezekano pia wa kumtoa ndani ya mhula mmoja endapo wananchi wataamua iwe hivyo kupitia box la kura.
Sasa najiuliza,kwa kauli ya Rais Magufuli kuwa,Wapinzani wasahau kuitawala nchi hii.Je,Ipi nafasi ya vyama hivi 2020?
Vitaingia kwenye uchaguzi kushindana ili vishinde au kutimiza wajibu?Maana kama ni kusinda washaambiwa wasahau.
Kumbuka na wakati huo ndio utakuwa muhula wa kwanza wa miaka 5 kwa JP umemalizika.Akiwa na muhula mwingine mmoja mkononi,Hivi ikitokea watanzania wakasema kwenye ballot box mzee kapumzike tuangalie na hii timu nyingine,Atakuwa tayari?Ataheshimu maamuzi ya wananchi?
Bado natafakari ile kauli ya wapinzani wasahau,Hivi ilikuwa ya ki siasa au Rais alimanisha?
Huwezi Kujiita kua wewe ni mpole sio dictator huku unawaambia wapinzani wasahau kiutawala nchi! Stueleze wasahau vipi? Kuna mwenye hatimiliki ya nchi hii?
 
Huwezi Kujiita kua wewe ni mpole sio dictator huku unawaambia wapinzani wasahau kiutawala nchi! Stueleze wasahau vipi? Kuna mwenye hatimiliki ya nchi hii?
Bado nafikiria mkuu
 
Kuna baadhi ya maneno umeyakata makusudi. Nikusaidie kibara! amesema kwasababu wamejipanga kwa operesheni yake ya tumbua majipu
 
Tulimtaka dictator na tumempata. Hana kauli za kidiplomasia wala kisiasa. Kuropoka ndo mtindo wa kiutendaji. Hii ni zamu yake nayo hatimaye itapita!
 
Huwezi Kujiita kua wewe ni mpole sio dictator huku unawaambia wapinzani wasahau kiutawala nchi! Stueleze wasahau vipi? Kuna mwenye hatimiliki ya nchi hii?
Halafu hivi "vyama vya hovyohovyo" ni vyama vya aina gani? Mbona hii kauli kama inakosa chembe ya uungwana na ubinadamu?
 
Udikteta wa Magufuli umeanza mapema sana hii ni dalili kupata kiongozi mbayya haijawahi kutokea katika maisha ya watanzania, Nadhan sasa mwenye panga, silaha za moto, jiwe, mshale, mikuki ni kujiweka tayari kwa mapambano this is a War, hivi ni vita Rais amewatangazia watanzania Rasmi. Ni kauli mbaya aliyowahi kutoa tokea awe Rais lakini pia kwa kule Zanzibar wamepata mwanga nini wafanye kama ccm watalazimisha Shein aendelee kutawala kwa mabavu.
 
Ni ya kisiasa. kumbuka hata Ben Mkapa aliwihi kusema kuwa upinzani utaishia kuyaona mapaa ya ikulu, but kuingia nooooop!!!!!
 
Ujumbe mahsusi kwa mzee wa monduli. Anashindwa kukubali kuwa jana haiwezi tena kurudi, tunaishi mara moja tu. Maisha hayana kitufe cha kubofya neno rewind, ikitoka inakuwa imetoka jumla, hairudi tena. Mzee wa monduli anaposhindwa kukubaliana na ukweli huo, anabakia kujipa matumaini mengi na kuwajaza imani ya kesho njema, wale wanaomuamini.
 
Sipendi kuona magufuli bado amekalia mambo ya siasa wakati kampeni zilikwisha siku nyingi,
 
Naona Pombe ameona utamu wa ikulu sasa hataki wengine waguse, usikute akawa Kagame wa tz, nyie ccm mnafikiri anawananga wapinzani tu, thubutu.
 
Mbona Lowassa na chadema yake waliongea kauli mfano wa hizo,mfano alikuwa anasema atatangazwa mshindi saa 3 asubuhi tu.
 
Tatizo kubwa la Magufuli ni kukosa weledi hasa katika masuala ya kijamii na kiuchumi.
 
Back
Top Bottom