Magufuli: Wapinzani wanawaza Ipo Siku Watatawala, Wasahau

Magufuli: Wapinzani wanawaza Ipo Siku Watatawala, Wasahau

Freudian slip?

Ila Magufuli achunge kauli zake aisee.
Upinzani Upo na utaendelea kuwepo acheni kujidanganya
Halafu bwana mkubwa huyu si ndiye aliye ahidi kuwa kiongozi mwenye kuwajali Watanzania wote bila kujali itikadi zao sijui amesahau? kuli kuwa na hadithi ya Paka aliye jifanya mtawa hali panya na akitembea mitaani na misahafu kwapani na Tasbihi ya dagaa mkononi kiasi cha kuaminiwa na panya awasomeshee watoto wao yaliyo tokea ni kama naya fananisha fananisha hivi.
 
nenda kamuulize. si rais wa nchi lakini au umesahau.
swali hilo labda umuulize Lowasa ana cheo gani kwa sasa ndani ya chadema au ukawa? ?
mwenzenu babu Duni baada tu ya uchaguzi akajua basi biashara kwisha. akasepa zake.
siamini kama rais wa nchi anaweza kutoa kauli kama hiyo...labda mwenyekiti wa chama lkn si kwa raisi
 
Pamoja na Kwamba namkubali Magu, akumbuke Kwamba wapinzani wataanza Kutawala Zenji
 
Magufuli daah.. this is very very Low.... Ghadaffi aliongea sana na alikuwa uwezo wa matrilioni but ALIOKOTWA KTK MTARO AKIWA MFU...

Kauli hizi huwa zinakuja geukaga kuwa kinyume kabisa... Rais Magufuli kapitiwa hapa... He went OFF TRACK sana... so DEMOCRASIA IKO wapi..? Hakupaswa sema hivyo.. sbb yanajenga hisia mbaya hata kwa wale wanaompenda... Hii si kauli ya KI RAIS anaeamini ktk democrasia... Kagame alisema.. PREACHING DEMOCRACY is one thing, PRACTISING Democracy is another thing...!!
 
Rais magufuli akihutubia kwenye maadhimisho ya miaka 39 ya CCM amesema "Kama kuna chama kina ndoto ya kutawala nchi hii wafute ndoto hiyo''.

Maana hakuna mtawala anayependa kutawaliwa,ameenda mbali na kusema. Hawa wenzetu wapinzani wanawaza ipo siku watatawala nchi hii wasahau hilo.

Dah nimejiuliza ina maana hata hao wapinzani wakishinda kwenye box waendelee kusahau? Nimeanza kupata picha ya kule visiwani,Pole sana Maalim.


Kuitamka demokrasia ni jambo moja,Kuitekeleza ni jambo jingine-Kagame



Wakosoaji wakisema ni dikteta anakataa.
 
Hata kama ni 500 ni sawa tu kwa maana CCM ni Chama cha kidemokrasia ambacho Viongozi wake wanapatikana kwa njia ya Kidemokraisa na ya wazi, na ni cha Watz na kina Sura ya Watz hivyo basi ni Watz ndiyo wanatawala!
Maneno mengi wewe ukitajiwa tume huru ya uchaguzi unakimbia kama swala anakimbizwa na chui .ukitajiwa katiba mpya yawarioba unaharisha bila kula papai
 
Magufuli huwa anaropoka sana! Mbaya zaidi huwa anamaanisha yale anayoropoka! Sijawahi kumuunga mkono na sitothubutu kufanya hivyo! Kwa anayoendelea kudhihirisha nadhani na kwa kweli niko sahihi kabisa!
 
Rais magufuli akihutubia kwenye maadhimisho ya miaka 39 ya CCM amesema "Kama kuna chama kina ndoto ya kutawala nchi hii wafute ndoto hiyo''.

Maana hakuna mtawala anayependa kutawaliwa,ameenda mbali na kusema. Hawa wenzetu wapinzani wanawaza ipo siku watatawala nchi hii wasahau hilo.

Dah nimejiuliza ina maana hata hao wapinzani wakishinda kwenye box waendelee kusahau? Nimeanza kupata picha ya kule visiwani,Pole sana Maalim.


Kuitamka demokrasia ni jambo moja,Kuitekeleza ni jambo jingine-Kagame

Kwa mantiki hiyo hakuna haja ya hata kujiandikisha kupiga kura!

Tukiamua kutokupiga kura atachaguliwa nani?
 
Chama kikikata pumzi ndio matokeo take haya
Magufuli tunakumbuka haya;

* waziri wa maji asipotatua kero ya maji Tanzania angalau basi Dar ulisema atageuka kuwa maji tunasubiri

Pili, ulisema utaboresha mazingira ya kujifunza na kujifunzia, walimu wanasubiri nyumba za khishi,

Kuna Siku ulisaini mradi wa kujenga flyover, tunaisubiri ila LA zaidi

Uhuru wa vyombo vya habari utapatikana lini?

Mbwembwe za Asha Mashauzi
 
...ni rahisi sana kuwasoma watawala waliolewa madaraka....maana huwa wanajisahau haraka mno...tayari JPM amesahau kuwa wao ccm walikoswakoswa sana na Lowassa uchaguzi uliopita (na kuna fununu walibebwa na NEC)...sasa amekalia ikulu amejiasahau...hata mtangulizi wake alikuwa hivyo...wanajisahau mapema mno maana wamelewa madaraka....lakini wanasahau precedent kwenye nchi za wenzao kama Nigeria na Kenya ambako watawala wao walikua na jeuri hiyo hiyo lakini mwisho wananchi waliwatoa kwa kura....Namwona JPM anafanya hivyo kujifagilia apewe uenyekiti wa ccm mapema ili nako apasue majipu...maana huko ccm ni mengi kuliko serikalini...anataka apewe kiti haraka ashughulike na team Lowassa waliopo ccm....yeye anawaita wanafiki wanaokula ccm mchana na kulala ukawa usiku...ccm wanasahau kwamba kama uchaguzi utafanyika leo na tume huru na ya haki wao hawana chao....
 
Amesema yeye ni rais aliochsguliwa na wana ccm sio watanzania
 
Rais magufuli akihutubia kwenye maadhimisho ya miaka 39 ya CCM amesema "Kama kuna chama kina ndoto ya kutawala nchi hii wafute ndoto hiyo''.

Maana hakuna mtawala anayependa kutawaliwa,ameenda mbali na kusema. Hawa wenzetu wapinzani wanawaza ipo siku watatawala nchi hii wasahau hilo.

Dah nimejiuliza ina maana hata hao wapinzani wakishinda kwenye box waendelee kusahau? Nimeanza kupata picha ya kule visiwani,Pole sana Maalim.


Kuitamka demokrasia ni jambo moja,Kuitekeleza ni jambo jingine-Kagame



Tumekusikia ,tutayafanyia kazi.Kama demokrasia imeshindikana tutaangalia njia mmbadala kwa sababu kama kiongozi utakuwa umetufundisha hivyo.
 
nyie ndio wachonganishi....hajaishia apo amesema kwa kua ccm wanafanya yale ambao wananchi wanayahitaj so wapinzan hawatakua na nafasi yakuchaguliwa...wewe naona unaandika ujinga ujinga tu
Hii mijamaa ina kazi sana mkuu...inaandika lile gazeti lao la machweo...
 
Kwa sera zipi walizonazo hadi washinde? Kama tu suala la ufisadi ambalo ndilo liliwaimarisha wameshindwa kulisimamia sasa watashinda kwa sera ipi.
Tunapozungumzia upinzani hatuizungumzii chadema pekee wewe kenge!!!..
 
Hakuna chama kitakacho bakia milele ipo siku kitatoka madarakani tu unadhani kule Zanzibar ccm itakaa milele siku sio mbali mtakuja shangaa na hutoamini kitakufa na kusambaratika na hapo ndio utakapo ona Drna hata siku moja cuf kwenda ccm ila ccm ndio huenda cuf shein akipanda kizimbani na mtakuja mruka Zanzibar sio bara sumu huoteshwa hadi kwa vijukuu na vitukuu hutoo
 
Back
Top Bottom