Naanza kuamini chi inaongozwa nan vichaa na wajinga. Mtu mwenye akili timamu hawezi kutamka maneno kama hayo hadharani. Lakini waru lama Hitler, idi amin na john komba walikuwa na imani kama ya jpmMpaka pale mbadala wa CCM atakapopatikana na kwa hali jinsi ilivyo simuoni siku za usoni!