Magufuli will allow Kenyans into Tanzania if I become president- Raila

Dada wa ughaibuni? Pole sana kama mawazo yake ndo unatembelea!
 
Siasa za mswahili shida uhusiano wa kimataifa unategemea siyo sera bali urafiki na kushibana kwa marais husika.
 
Aise wenzako wanaingia kwa wingi sana Tz.Gari zenye number plate za kenya zimejaa Dar

Hamna kitu cha ovyo kama kuendesha gari lenye usajili wa namba za Kikenya kwenye barabara zenu, utaagizwa utoe hela za maji hadi utakoma, kwanza kuna jamaa yangu alinyang'anywa simu na hao maaskari.
 
Hayo maoni odinga kayapata kutoka kwa wakenya wenzio!

Hapo atakua amechemsha maana sijui ni Wakenya gani hao, ifahamike sio kwamba mpaka wa Kenya na Tanzania umefungwa, kuna wale bado tunaingia na kutoka bila issues, juzi nimekua Singida, Tabora, Dodoma, Morogoro, Dar na Zanzibar.
Sasa hao Wakenya anaotaka kuwaombea waingie Tanzania sijui ni kina nani. Bora angeomba twende Marekani tukapige hela kiulaini bila usumbufu lakini sio nchi maskini kama Tanzania. Watanzania wamejaa Kenya wengine wameajiriwa kama walinzi, na kama nilivyosema tunao wengi kwenye barabara zetu kama omba omba na pia pale Gikomba ni kama Dar, na ndio machangudoa wengi pale Majengo.

Mkenya anayekwenda Tanzania labda awe mtaalam au mwana biashara yenye hadhi, na wa aina hiyo hawajazuiwa, mpaka upo wazi ilmradi unafuata vigezo, masharti na sheria za Tanzania.
 
Hii riwaya yako haibadili ukweli kuwa hayo ni maoni ya wakenya wenzio! Kama wewe uliingia jua wako wenzio au mali zao zinazuiliwa!

Watz waajiriwe Kenya kama walinzi ilihali unemployment rate iko juu Kenya kuliko tz, hayo ni maajabu ya Kenya na misifa mlozoea!
 
Hamna kitu cha ovyo kama kuendesha gari lenye usajili wa namba za Kikenya kwenye barabara zenu, utaagizwa utoe hela za maji hadi utakoma, kwanza kuna jamaa yangu alinyang'anywa simu na hao maaskari.
Mimi nilifikiri labda tatizo ni kuendesha gari lenye namba za nchi yoyoye ya nje! Kumbe tatizo ni namba za kenya tu?

Nyie mtakuwa wakorofi sana barabarani ndo maana mnapata shida
 

Mwanasiasa anapotafuta kura anaweza kusema chochote. Hata kwenu tuliona wakipiga push up kana kwamba zinahusiana na uboreshaji wa nchi.

Nimekwambia mpaka wa Kenya na Tanzania upo huru na wengi tunaingia na kutoka. Watu ambao hupitia magumu wakati wanaingia Tanzania ni Wasomali wenye paspoti za Kenya. Labda hao ndio Raila atawatetea.
 

Kupiga push up ni kufanya sio kusema!

Hapa tunaongelea kusema na siku zote wanasema mambo yanayosibu jamii kama matatizo wakiahidi kuyatatua!


Halafu ndo maana nyie hamuishi kubaguana! Hao unaowaita wasomali wenye passports za kenya ni raia wa Kenya! Lakini hapa unawabagua kwa kuwaita wasomali!

Dhambi ya ubaguzi haiwaishi nyie watu!
 
Mimi nilifikiri labda tatizo ni kuendesha gari lenye namba za nchi yoyoye ya nje! Kumbe tatizo ni namba za kenya tu?

Nyie mtakuwa wakorofi sana barabarani ndo maana mnapata shida

Kwenu askari walipata ridhaa kutoka kwa mkulu kwamba wawe wanapewa hela ya kiwi.
 
Aisee umemugusa huyu jamaa mahali ambapo hakujua panaonekana wakati anaandika

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nyie ndio huwa mnawabagua, kwanza kuna hoteli Tanzania haziwapokei Wasomali hata kama wana stakabadhi zote.

Wanaitwa Wasomali kama jinsi tunao Wamakonde na Wahindi Kenya na Tanzania.

Kuna watu hutajwa sana na asili yao kwa mfano hapo Tanzania nimeona Wamaasai wakiwa wamevalia yale mavazi yao ya kitamaduni hamuwaiti kwa majina bali mnaita Mmaasai
 
Kwenu askari walipata ridhaa kutoka kwa mkulu kwamba wawe wanapewa hela ya kiwi.
Sasa kama walipewa unakuja na kigari chako cha nini kama huna hiyo ya kiwi?

Police wa kenya ndo wanaongoza kwa kuomba rushwa, ujue hilo maana kenya iko juu ya tz kwa corruption
 
Kenyan!! Days are numbered!!! Get prepared and make the right decision!! Muachieni kijana amalizie kiporo kilicho bakia!! Ila chondechonde vurugu hapana!!
 
Wakenya wamezuiliwa kuingia Tanzania lini? Siku zote nawaona wanajaza entry form mpakani na passport zao kupigwa muhuri wa visa. Taratibu ndio hiyo hiyo kwa Watanzania wanapoingia Kenya.
 
Huyu Raila anataka kutufanya kuonekana kama tupo desperate sana kuingia Tanzania. Aongee kuhusu sera za kubuni ajira ili wataalam wetu wabaki ndani.
kwa sera hiyo, kakosea sana.labda timu yake ya campaign imegundua kuwa vijana wengi waliokosa ajira Kenya wanafikiria kuja tanzania.

waambieni ukweki hao madogo wanaomaliza vyuo,kwamba hata tz kuna uhaba wa ajira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…