Magufuli will allow Kenyans into Tanzania if I become president- Raila

Wanaitwa Wasomali kama jinsi tunao Wamakonde na Wahindi Kenya na Tanzania.

Hapa tunaongelea wakenya na watanzania, kwa maana nyingine tunaongea taifa moja na jingine! Kwenye maongezi kama haya hatuangalii asili ya mtu!

Halafu nikukumbushe kuwa Tukisema wasomali tunamaanisha wana asili ya somalia lakini sio makabila yao. Ukienda Somalia utakuta makabila yako pia!

Hivyo kitendo chako cha kuwaita wasomali kwenye mijadala kama hii ni mwendelezo wa sera zenu zanubaguzi!


Kuhusu eti kuna sijui hotel hao wasomali hawaruhusiwi kuingia, kama ipo hiyo hotel basi ni ya mkenya mwenzio maana nyie ndo mnawabagua! Kama sisi tumewaruhusu kuingia nchini baada ya kujirishisha kuwa wana nyaraka zote muhimu iweje tuwazuie baadhi ya hotel!

Huyo ni mkenya mwenzio anaendeleza ubaguzi wenu! Nyie ni wabaguzi kweli kweli
 
Hizi nisiasa za uchonganishi
Hazifai
Unahisi kaanzisha nani? Zilikuepo kabla ya 2015 ,huyu mkulu kazima bunge anasheria zake za mfukoni hasafiri hata iweje haendi kwenye maafa hatoi kauli zakufariji anatudanganya kila kukicha " unategemea atawafanyia majirani ? Kama walojisumbua kumpigia kura waliambiwa mwafwaa .......
 
Uhuru bado namwona ni kiongozi anaefaa bado kuliongoza taifa la kenya

Ila naamini maamuzi yapo kwa wapiga kura wa kenya..
 

Somalia hakuna makabila
Kuna watu hutajwa na asili yao, ukikutana na mtu aliyevalia asili ya Kimaasai hapo Bongo huwa mnawaita Wamaasai, au hata mara nyingi unaskia 'Wamaasai wametokea Kenya na kuja Tanzania kufuata nyasi za mifugo'.

Mkenya akiwa na hoteli Bongo hatokua na haja ya kuchagua nani wala nani atakayelala humo, maana anasaka hela.
 
kwa sera hiyo, kakosea sana.labda timu yake ya campaign imegundua kuwa vijana wengi waliokosa ajira Kenya wanafikiria kuja tanzania.

waambieni ukweki hao madogo wanaomaliza vyuo,kwamba hata tz kuna uhaba wa ajira.

Sasa basi inafaa kuboresha sera ili wabaki Kenya badala ya kuja Bongo. Hatuna haja ya kuwaambia, cha msingi ni uchumi uzidi kuboreshwa, maana mwisho wa siku dogo anayekuja Tanzania lazima atakua sio mtaalam maana umri wake wa kupata ujuzi utakua bado, hivyo atakuja kubanana na madogo wa Kitanzania kwenye kubeba mabox na hiyo italeta chuki.
 
Utawala wa magu ameanza kuwafagia taratibu wote mnarudi kwenu Hanna cha maana mnachotuletea zaidi ya HIV tu....[emoji2] [emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunataka kila nchi ibaki na watu wake cc tubaki na umasikini wetu tusiwaone huku tutawakata vichwa na nyny bakini na viwanda vyenu...[emoji35] [emoji35] [emoji35]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe jamaa unajitutumua ila huna hata hoja aisee, unaandika pumba sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…