Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure mkuu hata mastori yake zilipendwaShida sio kuwa haeleweki, huyu jamaa anaishi ulimwengu wa zamani. bado anafikiri yupo ulimwengu wa akina nyerere na kwame nkuruma.
Huyo asie ongea katenda lipi la maana??Kuna Prof mmoja hapa SUA anakwambia huyu mtu is too much talking haeleweki
...rising?Africa raising dictator
Kafanya research mbali mbali ambazo ziliisaidia serikali ya Tanzania hususani sekta ya kilimoHuyo asie ongea katenda lipi la maana??
Just typo.....rising?
Hiki cha jembe la mkono?Kafanya research mbali mbali ambazo ziliisaidia serikali ya Tanzania hususani sekta ya kilimo
Ha ha ha.Just typo..
Co cha jembe la mkono tu peke yake cha kukota na ng'ombe,punda mpaka cha trektaHiki cha jembe la mkono?
Ahsante kwa majibu mazuri kaka. Lkn jua tunashida kubwa ya wasomi wetu kushindwa kulisaidia taifa letu kupitia taaluma zao. Labda ktk kipindi hiki cha Magufulication ndio wanaanza kuamka.Co cha jembe la mkono tu peke yake cha kukota na ng'ombe,punda mpaka cha trekta
Kizazi chenye mentality ya wizi hakiwezi kumuelewa. Huyu jamaa anaongelea maadili ya uongozi na akitolea mfano akina Nyerere nkShida sio kuwa haeleweki bali huyu jamaa anaishi ulimwengu wa zamani sana. bado anafikiri yupo ulimwengu wa akina nyerere na kwame nkuruma.
...rising?
Kuna Prof mmoja hapa SUA anakwambia huyu mtu is too much talking haeleweki