The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Mbona sekta ya kilimo Bongo ndiyo kwanza inazidi kudhoofika!!Kafanya research mbali mbali ambazo ziliisaidia serikali ya Tanzania hususani sekta ya kilimo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona sekta ya kilimo Bongo ndiyo kwanza inazidi kudhoofika!!Kafanya research mbali mbali ambazo ziliisaidia serikali ya Tanzania hususani sekta ya kilimo
Serikali ya Tanzania imesaidika nini katika kilimo? kuna jambo gani jipya katika kilimo cha Tanzania? KAma kilimo chetu hapa kilipo ni kwaajili ya reseach za huyu bwana, basi anafaa kufungiwa shingoni jiwe la kusagia na kutupwa kwenye kilindi cha bahari.Kafanya research mbali mbali ambazo ziliisaidia serikali ya Tanzania hususani sekta ya kilimo
Lolote lawezekana!Huyu mtu nahisi anatumika!