Maguire ndio mchezaji muhimu kuliko wote ndani ya Man U

Maguire ndio mchezaji muhimu kuliko wote ndani ya Man U

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Wewe endelea hivyo hivyo kumchukulia poa Maguire.

Kwa taarifa yako, kibiashara Maguire ndio mchezaji muhimu kuliko wote pale Man U ndio maana haachwi wala hawekwi benki.

Kwanini ? Uwepo wa Maguire kikosini umeongeza maradufu mapato ya Man U kwa sababu sasa hivi mabilioni ya watu duniani wanafuatilia mechi za Man U ili kutazama vituko vya Maguire.

Inatajwa kwamba sasa hivi Man U ndio timu inayo ongoza mechi zake kutazamwa duniani jambo ambalo limeiongezea club mapato mengi huku sababu kuu ikiwa ni Maguire.

Mimi ni shabiki wa Arsenal, Man U ni timu ambayo inaboa sana kuitazama ikicheza lakini kwa sababu ya Maguire nimekuwa nikitazama mechi za Man U kila inapo cheza ili nione vituko vya Maguire.

Maguire mbele kwa mbele
 
Mtuachie beki wetu...sio mchezaji mbovu na hajawai kuwa mbovu ni vile Dunia ya sasa kitu kidgo knakuzwa kuwa kikubwa tu...pale Leicster amekiwasha sana na Kuna beki mbovu Man U kama Lindelof,jones,Bailly ila sio Maguire.......Kuhusu kuangaliwa na idadi kubwa ni kwasababu Man U ndio team inayoongoza kwa mashabiko weng duniani kote So mechi lazma zitazamwe na pia uwepo wa Legend GOAT CR7 unachangia mechi zitazamwe BTW namtakia Beki kisiki Harry Maguire Maisha Mapya leo 26/05/22 kafunga ndoa Rasmi kaachana na mambo ya Nyeto labda atawaonesha zaidi kwamba yeye sio mbovu
20220625_222112.jpg
 
Mtuachie beki wetu...sio mchezaji mbovu na hajawai kuwa mbovu ni vile Dunia ya sasa kitu kidgo knakuzwa kuwa kikubwa tu...pale Leicster amekiwasha sana na Kuna beki mbovu Man U kama Lindelof,jones,Bailly ila sio Maguire.......Kuhusu kuangaliwa na idadi kubwa ni kwasababu Man U ndio team inayoongoza kwa mashabiko weng duniani kote So mechi lazma zitazamwe na pia uwepo wa Legend GOAT CR7 unachangia mechi zitazamwe BTW namtakia Beki kisiki Harry Maguire Maisha Mapya leo 26/05/22 kafunga ndoa Rasmi kaachana na mambo ya Nyeto labda atawaonesha zaidi kwamba yeye sio mbovuView attachment 2272207

" The most worst opponent I have ever had in my all career is Harry Maguire". De Gea
 
kuna mechi moja badala ya kuokoa mpira yeye kutandika shuti golini kwake na bado anaonekana muhimu kwenye timu.
 
Back
Top Bottom