Magwanda ya jeshi yamponza Diamond, Sasa ni jela miaka 15

Magwanda ya jeshi yamponza Diamond, Sasa ni jela miaka 15

Tutaandamanaaa police weeeeee
Wathubutu kumfanyia hivyoo
 
huyu c ndo swahiba wa mzee wa kaya hata collabo za nje mzee wa kaya huwa anasimamia na mzee wa kaya cndo general wa majesh ya ulinzi na usalama sasa ngoja uone kama ataguswa
 
Yani nimecheeka,kupenda misifa kunamponza!Ila simwombei mabaya apige tu push up,sidhani kama Mfalme mwenyewe anapendezwa na hili,jamani akiwa huko akitoka atasema mfalme kabebwa,bora abaki nje wapige kazi tuburudike

hahahaaaaaa
 
ivi ameshahukumiwa

Mahakama ya Jf imeamuru bila huruma miaka 15 jela na viboko 24,12 siku anaingia jela,12 siku anatoka akamuonyeshe Wema Sepetu.Cooooooouurtt....
 
Diva Beyonce bila kusahau warumi na matola msanii wetu bilionea anaenda kunyea debe segerea na viboko thirty wakati wa kuingia na thete wakati wa kutoka.
Hata laki si pesa kanga moko ndembe ndembe nakuita huku nyumba inaungua!
 
Last edited by a moderator:
Tutolee ujinga hapa..............

miaka 15 utaendelea kuiskia hapa hapa JF

pamoja na kwamba nakupenda sana ila nashindwa kuongea lakini kuhusu swala la ndomo na mfalme Kiba mimi na wewe ni mbingu na ard...eh kuna boda boda inapiga mwana hapa, ngoja niserebuke kidogo.
 
Yule msanii anayesemekana kuwa ni bilionea kuliko msanii mwingine yeyote Tanzania ambaye pia ameanza kujenga hekalu lake huku likiwa halijakamilika kwa mvua tatu sasa (miaka mitatu)
ambaye pia amekuwa akiwafunika wasanii wote wa tanzania kwa shoo kali na ghali, ambaye pia amekuwa akiombwa namba za simu pamoja na collabo na wasanii wa marekani akiwemo chriss breezy mkali wa so cold na with you bila kusahau forever, lakini yeye huwakatalia kutoa namba na collabo kwa sababu ni mkali mno.
Msanii ambaye vilevile Mbeya nzima hakuna Hotel ya kulala yeye wakati huo huo amepanga magheto mawili yenye price ya thirty five thousands huko maeneo ya Sinza, sasa mashabiki kama si wa keko, Ukonga au Segerea, nyimbo kama kamwambie, my number one na kitorondo hazitakuwa ngeni masikioni mwao kwa sababu burudani hiyo mujarabu watakuwa wakiipata face to face tena bure kabisa kutoka kwa Diamond kwa sababu sasa atakuwa akilala na kuamkia jela kwa kwa fifteen years period na hata uji wa mahindi wa kesho uliowekwa chumvi ataanza kuuupata huko na kama hili litafanyika, basi atatoka akiwa na umri wa january makamba.


Hii imetokana na msanii huyo nguli kabisa kutinga gwanda za kijeda na kukatia miuno jukwaani wakati wa shoo fiesta mwishoni mwa wiki jana.
Pamoja na mbwembwe hizo, mashabiki walionekana kumzomea na kutaja jina la mfalme Kiba mzee wa cinderela macmuga na mwana.

Kwa mujibu wa magazeti, inasemekana jamaa zake wa karibu walimwambia kuhusu hizo gwanda lakini alitia ngumu.
Kwa undani wa habari hizi jisomee gazeti la leo la lete mambo na Visa.

unnamed%2B%2814%29.jpg
 
Back
Top Bottom