Magwanda ya jeshi yamponza Diamond, Sasa ni jela miaka 15

Magwanda ya jeshi yamponza Diamond, Sasa ni jela miaka 15

Wacheni hizo.
Diamond hakuvaa nguo za jeshi la JWTZ .Amevaa nguo style ya coamaflag ya jeshi ambazo wasanii wengi hutumia na hata actors wengine hutumia.
Jeshi JWTZ lilikataza kuvaa nguo zao uraiani na pia ukivaa uniform za usa au france au uganda hawawezi kukataza mavazi hayo hayawahusu kutumiwa na wasanii

Na zoezi zima lenyewe halina mshiko kikatiba na hakuna sheria inayokataza wasanii kutovaa nguo hizo katika kazi zao.
Amri za jeshi sio msahafu nchi haindeshwi kijeshi kuna katiba na sheria na mahakama.
Mtu kuvaa nguo za jeshi mitaani hapo sio sawa kwani raia watashindwa kutambua kama ni raia au mjeshi.
Kwenye usainii hili ni jambo la kawaida sana ndio maana tuna movies full combat.
Kuna movies navy seal ni real USA combat
Kuna us-vietcom films za kina rambo na chuck norris ni full real combat.
Mnajaribu kuwashawishi JWTZ Kufanya kitu kinyume kwa chuki.
In fact wenzetu hutumia Holywood kupromote nguvu ya jeshi lao na mwelekeo wa jeshi lao.
Sioni tatizo wasanii kutumia sare za jeshi .
Wasanii hutumia nguo za mapadri au masheikh au za majaj katika lazi zao na sio nongwa.
Ukivaa uraiani hapo hatukuelewi na utakua kituko
 
Una lako jambo.
1. Kwani ni wongo kama ndoma hana mjengo mkubwa kabisa wenye swimming pool unaogoma kumalizika hadi leo?
2. Je ni uongo kuwa ma PRO wake akina hOD wamekuwa hawaji hapa na kusema ndomo ameombwa namba za simu na lundo la wasanii wa marekani kama akina chris lakini amekuwa akiwakatalia.
3. Je ni uongo kuwa PRO wake huwa hasemi kuwa bosi wake ndomo ndio msanii ghali afrika mashariki?
4. Je ni uongo kuwa mbeya nzima hakuna hoteli ya kulala msanii wenu kwa sababu ya hadhi yake?
5. Je si kweli kuwa domo alisema atamsaidia mfalme wa tanzania kimziki ali kiba eti akihitaji collabo lakini sisi tukamwonesha yeye ni nani na kiba ni nani katika tanzania hii tena mbele ya swahiba wake davido na TI!

Du na juzi kwenye sephora show kasema kuwa rais JK huwa anampigia simu mara kwa mara kumsalimia du
 
CAN U ALL F.U.C.K.E.N People, Stop Talking About that F.U.C.K.E.N diamond Boy, We are All F.U.C.K.E.N tired of Hearing is .F.U.C.K.E.N name, all the F.U.C.K.E.N time, I think iam going mental any F.U.C.K.E.N time now, if i hear that .F.U.C.K.E.N #shitt about Leaders AGain, Ya'll .F.u.c.k.e.n. People Need to Grow Some F.u.C.k.E.N balls and tell the boy Face to Face, instead of using .F.U.C.K.E.N. Fake ID. For F.u.c.k.Sake...#iam ..f.u.c.k.e.n..outchea
 
CAN U ALL F.U.C.K.E.N People, Stop Talking About that F.U.C.K.E.N diamond Boy, We are All F.U.C.K.E.N tired of Hearing is .F.U.C.K.E.N name, all the F.U.C.K.E.N time, I think iam going mental any F.U.C.K.E.N time now, if i hear that .F.U.C.K.E.N #shitt about Leaders AGain, Ya'll .F.u.c.k.e.n. People Need to Grow Some F.u.C.k.E.N balls and tell the boy Face to Face, instead of using .F.U.C.K.E.N. Fake ID. For F.u.c.k.Sake...#iam ..f.u.c.k.e.n..outchea

Umelazimishwa kusoma uzi huu?

Kimekuwasha nini kuingia kusoma, kama una stress zako taguta wasanii wengine wa kuwaongelea wapo wengi au ziba madirisha ya unapoishi na matofali usione na giza.

Wivu.com

Inaelekea haupatiwi yanayostaili kupatiwa wanawake embu kasawazishe matatizo yako.
 
Ha ha poor argument ndo mana nimekwambia usiki judge kitabu kwa cover umejuaje na chuki? Siwezi kuumia na mtu ambaye hana shule na hawezi ni pga bao hata chembe ndo mana hata anafanya ujinga akiambiwa mnakimbilia chuki maneno kibao angeenda shule angekuwa far kuliko alipo sasa anakimbilia maneno na malalamiko ha ha am far kuliko yeye ndo mana mashabiki wamemzomea mnakimbilia kuambiwa watu wana chuki kwa lipi hasa alokua nalo hivi angekua na level ya Jide ingekuwaje more than ten years kwenye game rudini shule ili hata muwe mna argue kiakili hiyo ya gap sijui nini ni nonsense walioenda shule wakiteleza wana seek advice sio kukimbilia kulaumu wengine

naona gazeti reeeeefu,,,,unachomchukia nini au ukweli gani unaomwambia ambao unaona anakosea! nijibu tu usilete gazeti
 
Wabongo viroho vinawapaa dogo kupiga mpunga wakati nyie mkipiga majungu kitaa!!!
 
CAN U ALL F.U.C.K.E.N People, Stop Talking About that F.U.C.K.E.N diamond Boy, We are All F.U.C.K.E.N tired of Hearing is .F.U.C.K.E.N name, all the F.U.C.K.E.N time, I think iam going mental any F.U.C.K.E.N time now, if i hear that .F.U.C.K.E.N #shitt about Leaders AGain, Ya'll .F.u.c.k.e.n. People Need to Grow Some F.u.C.k.E.N balls and tell the boy Face to Face, instead of using .F.U.C.K.E.N. Fake ID. For F.u.c.k.Sake...#iam ..f.u.c.k.e.n..outchea

Njoo nikubanjue hiyo k yako upesi.
 
CAN U ALL F.U.C.K.E.N People, Stop Talking About that F.U.C.K.E.N diamond Boy, We are All F.U.C.K.E.N tired of Hearing is .F.U.C.K.E.N name, all the F.U.C.K.E.N time, I think iam going mental any F.U.C.K.E.N time now, if i hear that .F.U.C.K.E.N #shitt about Leaders AGain, Ya'll .F.u.c.k.e.n. People Need to Grow Some F.u.C.k.E.N balls and tell the boy Face to Face, instead of using .F.U.C.K.E.N. Fake ID. For F.u.c.k.Sake...#iam ..f.u.c.k.e.n..outchea

Acha kubwabwaja kama umekojoa kitandani bhana au ndio nyie kitu iko kwenye k afu upo jf hahshahahag stop taking ur rubbish.


CAN U ALL F.U.C.K.E.N People, Stop Talking About that F.U.C.K.E.N diamond Boy, We are All F.U.C.K.E.N tired of Hearing is .F.U.C.K.E.N name, all the F.U.C.K.E.N time, I think iam going mental any F.U.C.K.E.N time now, if i hear that .F.U.C.K.E.N #shitt about Leaders AGain, Ya'll .F.u.c.k.e.n. People Need to Grow Some F.u.C.k.E.N balls and tell the boy Face to Face, instead of using .F.U.C.K.E.N. Fake ID. For F.u.c.k.Sake...#iam ..f.u.c.k.e.n..outchea
 
naona gazeti reeeeefu,,,,unachomchukia nini au ukweli gani unaomwambia ambao unaona anakosea! nijibu tu usilete gazeti

Ndo uwezo wako wa kufikiria chuki ulipoishia poor mind huyu domo mashabiki zake sijui wakoje kila kitu chuki wivu hamnaga point nyingine hunijui unakuja na nyimbo za chuki nendeni shule mkaongeze uelewa ndo mana hata barua mlishindwa kuandika vzuri kubishana na poor mind ni shida ua not my level ku discuss na wewe njoo na point nyingine ndo tu argue
 
Ndo uwezo wako wa kufikiria chuki ulipoishia poor mind huyu domo mashabiki zake sijui wakoje kila kitu chuki wivu hamnaga point nyingine hunijui unakuja na nyimbo za chuki nendeni shule mkaongeze uelewa ndo mana hata barua mlishindwa kuandika vzuri kubishana na poor mind ni shida ua not my level ku discuss na wewe njoo na point nyingine ndo tu argue
ha ha ha naona gazeti jingine tena! Eti una shule,,my foot! Mwenye shule anakuwa kama wewe?
Umesema huna chuki nae ila ukweli mnasema,,,ss ndo uniambie ukweli gani dhidi yake?
 
Back
Top Bottom