Aman iwe nanyi wapendwa
Kama kichwa kichwa kinavyosomeka hapo juu
Wale magwiji na wababe wa vita za kiait huko inster wamefutilia mbali acount zenye wafuas wengi za kimbeya mbeya
Acount ya mange nayo pia imefutiliwa mbali na kwa sasa ni marue rue tu
LONDON BABY
Aman iwe nanyi wapendwa
Kama kichwa kichwa kinavyosomeka hapo juu
Wale magwiji na wababe wa vita za kiait huko inster wamefutilia mbali acount zenye wafuas wengi za kimbeya mbeya
Acount ya mange nayo pia imefutiliwa mbali na kwa sasa ni marue rue tu
LONDON BABY
Mkuu watalamu wangu?Instagram wenyewe ndiyo wame I shutdown kwa muda baada ya kuripotiwa mara nyingi kuwa na content zisizofaa!! Hao wataalamu wako "waait" hawawezi kupunguza wala kuongeza chochote kwenye mtandao wa mtu! Hao ni machoko tu!
Hizi ndo akili za watu wa kijijini unadhani kuifuta acnt ya mtu inst ni sawa na kulima matuta ya viazi [emoji15][emoji13][emoji13]kweli wewe ni kilaza [emoji23][emoji23]Aman iwe nanyi wapendwa
Kama kichwa kichwa kinavyosomeka hapo juu
Wale magwiji na wababe wa vita za kiait huko inster wamefutilia mbali acount zenye wafuas wengi za kimbeya mbeya
Acount ya mange nayo pia imefutiliwa mbali na kwa sasa ni marue rue tu
LONDON BABY