Magwiji wa IT wazifutilia mbali acount za kimbeya inster imo na ya mwana dada mange

Picha mbili passport size,na barua ya mtendaji Wa kijiji basi account saa hiyo,Ila ATM card itabidi kusubiri kidogo,NMB bank lkn benki zingine sijui wana utaratibu gani kwa kweli.
umesahau na taratibu za kufungua account za insta?

msaada
 
acha kushabikia mambo ya kishoga hayooo!!!! wewe umepata faida gani ktk hilo???? kama sio ujinga kichwani mwako!!!
 
IT my foot waendelee kula hela za bashite tu
 
Wabongo bwana wengine wanam miss mdada wa watu hadi akili zimewaruka, wengine hasa chama cha mbogamboga walifurahi sana maana kiki yao kwa Wema ilibumburushwa mapema
 
acha kudanganya watu.unapo kuwa reported sana.admin anaweza kukuondoa.unapo kiunga kwenye mitandao ya kijamii usomagi policy and term
 
Picha mbili passport size,na barua ya mtendaji Wa kijiji basi account saa hiyo,Ila ATM card itabidi kusubiri kidogo,NMB bank lkn benki zingine sijui wana utaratibu gani kwa kweli.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Ngoja Mange afanikiwe kuirudisha, moto wake itabidi wakamnyang'anye na simu tu
 
Picha mbili passport size,na barua ya mtendaji Wa kijiji basi account saa hiyo,Ila ATM card itabidi kusubiri kidogo,NMB bank lkn benki zingine sijui wana utaratibu gani kwa kweli.

hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa umepinda mkuu
 
Kama tayari hizo acc. Zina wafuasi watakutana mahali pengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…