Mahad Nur: Msomalia Wa City Mall na Victoria Plaza, Vijana wa Kitanzania tuko wapi?

Mahad Nur: Msomalia Wa City Mall na Victoria Plaza, Vijana wa Kitanzania tuko wapi?

Watoto wa Baba hao
Hata Darfur wapo ukienda Mosul utawakuta wana hotel
Torabora wana malori ya kubeba chakula cha UN kwa ajili ya walioathirika na vita

Yaani kama ni survival hawa jamaa hawanaga msalie

Nyie kaeni vijiweni mjadili nani mganga mkali wa kukupa utajiri wakati yeye mwenyewe akitegemea mali yako ili aishi
Unacho sema ni kweli. Jamaa wana pambana sana na wana Umoja sana nazani Umoja wao ndo siraha inayo wasaidia.
 
Akili za wabongo zitaishia kusema wanapata fedha kutokana na ugaidi au pirates hatuendi mbali zaidi ya hapo na hapo ndipo wenzetu wanapotuacha, fursa zipo nyingi ila hatuzioni wao wanakuja kutoka kwao kwenye matatizo wanapofika huku wanapiga fedha tu.
Mkuu ndo mwisho wa kuwaza kwetu sasa tufanyeje?
 
Hakuna utekaji meli sikuhizi,kuna patrol za kutosha,
jamaa wana akili kubwa wale,
ukiwakuta wanapiga story ndo utaona tofauti yao na sisi,
wanaongelea mambo makubwa ,ishu za mbele,
jamaawanaweza kukesha usiku kucha na asubuhi ukawakuta kama ulivyowaacha saa nane za usiku ukienda kulala,
mradi pawepo na coca baridi,miraa na Tv,
hawaangalii sijui ITV,STARTV,
wanaangalia discovery,series za law etc
 
Baada ya kuangalia documentary hii ya kijana huyu wa kisomalia Mahad Nur na ndugu yake Mohamed Nur, wanaomiliki City Mall , Victoria Plaza na Africa flight Service, a cargo company , nimejiuliza inakuwaje vijana wa kisomalia kama hawa wanatoka mogadishu wanakuja na kufanikiwa hapa hapa kiasi hiki lakini sisi tupo tu wala hatuzioni hizi fursa sana sana , vijana wamebaki kusubiria ajira.

Kweli hii ni changammoto kubwa sana kwa nchi yetu.

Tusaidiane mawazo


Vijana wa bongo wapo sana tu,hiyo ni sekta moja wapo tu,ukitaka kujua vijana wabongo wanavyofanya makubwa,chungulia kidogo kwenye sekta ya telecom na mawasiliano,yapo makampuni kibao ya vijana wazawa 30+years,wanapiga hela kibao,
Nenda pande za kahama,kalumwa,busolwa Shinyanga,kanda ya ziwa hiyo,vijana wanapiga shughuri za madini,na real estates hatari sana,
Usitishwe na hao wenzetu wasomali,tunakubali ni wapambanaji,kama wakinga,wa chaga,
 
Vijana wa bongo wapo sana tu,hiyo ni sekta moja wapo tu,ukitaka kujua vijana wabongo wanavyofanya makubwa,chungulia kidogo kwenye sekta ya telecom na mawasiliano,yapo makampuni kibao ya vijana wazawa 30+years,wanapiga hela kibao,
Nenda pande za kahama,kalumwa,busolwa Shinyanga,kanda ya ziwa hiyo,vijana wanapiga shughuri za madini,na real estates hatari sana,
Usitishwe na hao wenzetu wasomali,tunakubali ni wapambanaji,kama wakinga,wa chaga,
Real estate KAHAMA?
 
Ahsanteeen Sana'a

Ndg zangu

Nawangaliaaa tu

Leo mtuongelea positiveway

Shukran

But kila MTU anaweza kuwa kama yule au were

Kujitambua tu
 
Wametajirishwa na uzaifu wa sheria za mifuko yetu ya hifadhi za jamii
 
Pirates?
Hakuna mashujaa kama hawa
Laiti wasiojua wangejua jinsi utekaji ulivyoanza
Jamaa wanajiamini na wana qhalb haswa oops moyo
 
Unacho sema ni kweli. Jamaa wana pambana sana na wana Umoja sana nazani Umoja wao ndo siraha inayo wasaidia.
Yaani nimetembea nchi zaidi ya 20 sijawahi kuona msomali anaomba omba yaani utawakuta ni mishemishe ya utafutaji tu
Nimewaona kila mahali na wakiamua kubukua wanakipaji ila wengi ni biashara tu
Wana vipaji sana na wako sharp sana
 
Wasomali ni damu nyingine, acha kabisa hao jamaa, angalia ,,the pirates of Somalia" ndo utaelewa!
Sijawahi lumumbaa mkono ila kwa hili naku support hawa Jamaaa Wanajua sana kutakasa pesa......na kuzifanyia Mambo mengine

Ova
 
Unawaponza sasa maana zee la kamera zee la kupozwa litawazengea sasa hivi na kuwachomekea ishu yoyote mf kutelekeza watoto ili lipate pasu pasu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom