Hili ndilo kubwa kwe siri ya utajiri waoSomalia kuna mambo mengi sana na huwezi jua pesa wametoa wapi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ndilo kubwa kwe siri ya utajiri waoSomalia kuna mambo mengi sana na huwezi jua pesa wametoa wapi!
Wasomali wanapiga kazi balaa, kuna mama bilioner wa kisomali kawekeza Kenya shida tupu, sasa hivi anajenga kiwanda cha sukari uganda analima miwa kijiji hapo uganda kwa ajili ya kiwanda chake..Jamaa wanafanya kazi.achana na story kwamba sijui wanateka Meli. Guys hata Kenya wao ndo wanaimilik Nairobi kwa Real estata na biashara zingine
yeah,mwekezaji mzuri ni yule anaetumia pesa za watu kuwekeza na sio zake,Wasomali wanapiga kazi balaa, kuna mama bilioner wa kisomali kawekeza Kenya shida tupu, sasa hivi anajenga kiwanda cha sukari uganda analima miwa kijiji hapo uganda kwa ajili ya kiwanda chake..
Vijana wa bongo wanapo nikasirisha ni kujifariji kwa maneno ya kipumbavu, watakwambia hao vijana walikuwa mapirates,
Hakuna mwekezaji anae kuja nchini kwako na hela kwenye mabegi hela zote wanazichukua kwenye mabenk yenu ya ndani...
Vijana waache wasubirie ajira za magufuli na kushinda kwenye vijiwe vya siasa na magrup ya whatsapp,
Tanzania atafika siku 96% ya uchumi wa Tanzania utashikwa na raia wa kigeni
yeah,mwekezaji mzuri ni yule anaetumia pesa za watu kuwekeza na sio zake,Wasomali wanapiga kazi balaa, kuna mama bilioner wa kisomali kawekeza Kenya shida tupu, sasa hivi anajenga kiwanda cha sukari uganda analima miwa kijiji hapo uganda kwa ajili ya kiwanda chake..
Vijana wa bongo wanapo nikasirisha ni kujifariji kwa maneno ya kipumbavu, watakwambia hao vijana walikuwa mapirates,
Hakuna mwekezaji anae kuja nchini kwako na hela kwenye mabegi hela zote wanazichukua kwenye mabenk yenu ya ndani...
Vijana waache wasubirie ajira za magufuli na kushinda kwenye vijiwe vya siasa na magrup ya whatsapp,
Tanzania atafika siku 96% ya uchumi wa Tanzania utashikwa na raia wa kigeni
Mahad umemfahamu leo Mkuu!?Baada ya kuangalia documentary hii ya kijana huyu wa kisomalia Mahad Nur na ndugu yake Mohamed Nur, wanaomiliki City Mall , Victoria Plaza na Africa flight Service, a cargo company , nimejiuliza inakuwaje vijana wa kisomalia kama hawa wanatoka mogadishu wanakuja na kufanikiwa hapa hapa kiasi hiki lakini sisi tupo tu wala hatuzioni hizi fursa sana sana , vijana wamebaki kusubiria ajira.
Kweli hii ni changammoto kubwa sana kwa nchi yetu.
Tusaidiane mawazo
Watanzania tunapenda sana kujifariji.Kuna watu Humu naona hawawajui wasomali Vizuri msomali chanzo kikubwa ya hela yake kupata ni chafu badaye anaisafisha .....sasa nyie mnaotaka kuwekewekeza wafatisheni Muone.....
Ova