Mahafali UDSM: Hawa ndiyo Wanafunzi wa Kike waliopata ufaulu Mzuri

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Leo katika Mahafali ya UDSM, Hawa Mabinti ndio Wamekuwa Wanafunzi Bora Kupita wanafunzi Takribani Elfu 4 na wote wamepata GPA ya 4.7.

Wa Kulia anaitwa Bi Irene Cristopher Msengi aliyefuzu Digrii ya Awali ya Biashara katika Uhasibu,

Wa kushoto anaitwa Bi Edina Davis Meela aliyefuzu Digrii ya Awali ya Sayansi Katika Uhandisi Kemikali na Usindikaji.

Naona watani Chagga vs Pare

Hongereni sana


 
Hongera zao nyingi sana na wasiishie hapo.

 
Bonge ya jicho
 
Mnawatangaza? Subirini muone
 
Hawa ndo wakuoa sasa...sio makima yanayojua kudanga tu na kupiga vizinga...toto zina akili hizo nadhani hata papuchi zako hazijatembea kilomita nyingi[emoji16][emoji16][emoji16]
Ukioa hao utapata tabu sana!

Akili zao za kwenye vitabu wanataka walete hadi kwenye ndoa.

Sasa ndoa ukiiendea hivyo lazima ikupige chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…