Mahafali UDSM: Hawa ndiyo Wanafunzi wa Kike waliopata ufaulu Mzuri

Mahafali UDSM: Hawa ndiyo Wanafunzi wa Kike waliopata ufaulu Mzuri

Shangaa na wewe na wengine wameenda mbali zaidi kuhusisha na makabila yao karne hii ya 21, miaka mingine yote haikuwa habari inawezekana kwa sababu hawakutoka 'kwao'

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Ni wa kuhurumia aisee kwa karne hii ambayo hata msomi anaonekana zoba, sidhani kama ni jambo la kupewa kipaumbele saaana na kuonekana big deal
 
COET kule mambo yao ni simple sana hakuna kukariri ni kuelewa tu halafu unaendelea na mambo yako mengine tofauti na CONAS mambo magumu kukariri kwingi na mambo yanapotea kichwani
simple basi kila mmoja angelipata 4.7
 
Back
Top Bottom