Mahafali UDSM: Hawa ndiyo Wanafunzi wa Kike waliopata ufaulu Mzuri

Ma-future jobless wengine wameingia mtaani

Hawa wote wameshapata ajira Price water house coopers PWC Tanzania. Wanakula milioni mbili zao net kila mwezi.

Baada ya 10 yrs utawakuta ma head wa vitengo nyeti katika makampuni na mashirika makubwa
 

Attachments

  • 1680599388638.jpg
    99.5 KB · Views: 6

Ameshaajiriwa big 4 PWC tanzania anaendelea kufanya wonders kwenye ulimwengu wa Audit
 
Hawa wote wameshapata ajira Price water house coopers PWC Tanzania. Wanakula milioni mbili zao net kila mwezi.

Baada ya 10 yrs utawakuta ma head wa vitengo nyeti katika makampuni na mashirika makubwa
Jamaa ana wivu sana huyo 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…