Mahafali UDSM: Hawa ndiyo Wanafunzi wa Kike waliopata ufaulu Mzuri

Mahafali UDSM: Hawa ndiyo Wanafunzi wa Kike waliopata ufaulu Mzuri

Leo katika Mahafali ya UDSM, Hawa Mabinti ndio Wamekuwa Wanafunzi Bora Kupita wanafunzi Takribani Elfu 4 na wote wamepata GPA ya 4.7.

Wa Kulia anaitwa Bi Irene Cristopher Msengi aliyefuzu Digrii ya Awali ya Biashara katika Uhasibu,

Wa kushoto anaitwa Bi Edina Davis Meela aliyefuzu Digrii ya Awali ya Sayansi Katika Uhandisi Kemikali na Usindikaji.

Naona watani Chagga vs Pare

Hongereni sana

View attachment 1976838
View attachment 1976857
Watoto wanaonekana wako very smart, < 22 years! Hongera zao
 
Leo katika Mahafali ya UDSM, Hawa Mabinti ndio Wamekuwa Wanafunzi Bora Kupita wanafunzi Takribani Elfu 4 na wote wamepata GPA ya 4.7.

Wa Kulia anaitwa Bi Irene Cristopher Msengi aliyefuzu Digrii ya Awali ya Biashara katika Uhasibu,

Wa kushoto anaitwa Bi Edina Davis Meela aliyefuzu Digrii ya Awali ya Sayansi Katika Uhandisi Kemikali na Usindikaji.

Naona watani Chagga vs Pare

Hongereni sana

View attachment 1976838
View attachment 1976857
Hogera nyingi sana kwa mabinti hawa
 
Na uandishi JF tukawakilishwa na mwanadada Abrianna , team ya taifa ya wanawake nayo ndio vile. Na taifa linaongozwa na mama tozo, baasi tuseme Amen[emoji120]
 
Mkuu

Wala haina uhusiano na juhudi zozote,maana alikua na wenzake wanasoma masaa mengi na kwa juhudi zaidi yake,ila yeye kafaulu zaidi

Hiyo ni biological lottery,ni kama mtu kazaliwa mrefu ni mrefu tu hata useme ufanye mazoezi sana na wewe uwe mrefu,haiwezekani

Hizi extraordinary offshoot za academic performances infact ni kutokana na wingi wa brain volume na discipline kidogo tu....ndio maana hata walale vipi kesho akiingia kwenye pepa ni 100%

You cant teach height,height is height,it is a biological lottery toka kwa wazazi wao
Nimependa hapo kwenye discipline kidogo....that is what am referring to, chief,it's all about discipline kidogo which anyone can give it a try katika nyanja tofautitofauti ikiwemo utunzaji wa papuchi....sijui umenipata hapa japo nimejibu nje ya hoja yangu ya Kwanza(hawa ndo wa kuona Kwa maana wanajitambua)
 
wahenga wa kileo wanasema mwanamke mwenye tako kubwa mjini, anajiamini kuliko PhD holder.

Kwahiyo hapo bado, walau wakaongeze elimu wawe maprofesa inaweza saidia.
 
Ukioa hao utapata tabu sana!

Akili zao za kwenye vitabu wanataka walete hadi kwenye ndoa.

Sasa ndoa ukiiendea hivyo lazima ikupige chini
Hebu jaribu kuwa na mtazamo chanya ndugu.
 
wahenga wa kileo wanasema mwanamke mwenye tako kubwa mjini, anajiamini kuliko PhD holder.

Kwahiyo hapo bado, walau wakaongeze elimu wawe maprofesa inaweza saidia.
Hilo tako kubwa lina uhusiano gani na kujiamini?
 
Hawa ndo wakuoa sasa...sio makima yanayojua kudanga tu na kupiga vizinga...toto zina akili hizo nadhani hata papuchi zako hazijatembea kilomita nyingi😁😁😁
Hawana sura za kulika. Yaani wangekuwa pisi kali wangesumbuliwa Sana na wasingeweza kupata nafasi ya kupiga hizo alama. Mademu wazuri Sana yaani sana hawasomi kozi za pcm ama unakuta ufaulu wao wa kawaida Sana.ila hao wanaofaulu Sana wanapata muda wa kujisomea Mana hawasumbuliwi na wanaume so muda mwingi Sana wanakomalia Sana kitabu
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wanawake wapenda shule wengi huwa si wahuni hata ukiangalia hii picha hasa huyo black beauty inaonyesha bado bikra
Ya masikio labda.....
Aaagh,hata nayo hamna aisee!
 
Back
Top Bottom