Mahakama imemuachia huru Julius Wambua baada ya kusota jela miaka 8 kwa ushahidi wa uongo wa kosa la kumbaka Binti yake

Yaani yule jamaa sijui hata kama amesoma. halafu linajitetea kuwa lilikua sahihi. Anayewateua ana-entertain hivyo vitu ndio maana vinajirudia na usishangae baada ya miaka 2 kuna mjinga mwingine atafanya tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…