Hehehe waha kuchekesha wewe, Mtanzania ndio mtu wa mwisho kuongea mambo ya justice, huko kwenu DC anatuhumu na kutoa hukumu na kuitekeleza kwa kupiga wana biashara viboko, tena kwa kuwapangisha foleni mmoja baada ya mwingine, ila ujamaa ni laana, mumefanywa waoga kichizi kwa kweli.