Mahakama itamleta IGP Sirro na Sabaya Mahakamani kama ilivyoombwa na Wakili Kibatala

Mahakama itamleta IGP Sirro na Sabaya Mahakamani kama ilivyoombwa na Wakili Kibatala

mimi nathani mbowe na sabaya waungane then walipize machungu kwa waliowauza na kuwachezea akili
 
Hakuna awezaye kupinga wito wa Mahakama m, hakuna na hatakuwepo. Late president Ben Mkapa ashawahi kuitikia wito wa Mahakama...
huu mchezo wasipokaa vyema CHADEMA Watakimbiana MAHAKAMANI.
Ila uwepo wa KIBATALA ni hatari, jamaa ana akili kubwa sana na anapenda sana kutumia Akili yake kama silaha yake
mboni husemi hiyo sirikale yako nayo ispoangalia na huu usanii wao wanaofanya watapoteana?
 
Yeye anawataka wawalete hao kama nani? Ni maamuzi ya anayeshtaki kuamua ni shaidi gani amlete ili ku prove fact gani. Asije akawa kiherehere wa kuwaelekeza prosecution wata prove vipi kesi yao. Mzigo wa ku prove (onus probandus) upo kwa jamuhuri na tayari wamekwisha kujiandaa kwa hilo
 
Hizi kesi mbili zimetengenezewa connection ambayo itasababisha ucheleweshaji wake ili kumuondoa Mbowe na Chadema kwenye kupigania Katiba Mpya, na hiyo connetion imetengenezwa kwa kumtumia Sabaya, bahati mbaya jamhuri wamesahau kwamba mashtaka dhidi ya Sabaya hayafanani na ya Mbowe.
 
M

Dhuruma tu, watawala wanatenda DHURUMA sana.
Samia asome alama za nyakati.

wakifaga wanataka tuwe wamoja , tuwalilie . MaCCM yakifa mimi nafurahia sana.
Sabaya alimvamia Mbowe na mabunduki halafu leo ty ndiye shahidi. Ndiyo maana huwa hizi kesi serikali huwa wanatepweta
 
Aisee elimu muhimi .............😀

bila shaka umeelewa vingine...
tafsiri: moja ya watu walioisumbua Serikali ya mwendazake na kuifanya ipige pin matumizi ya mitandao hasa twieter basi namba moja anaweza kuwa KIGOGO.... hii ilifanya watanzania wengi wafahamu uwepo wa VPN na kuipakua kwenye simu yao ila kabla ya hapo matumizi na ufahamu wa VPN ulikuwa mdogo miongoni wa watanzania...

bila shaka umeelewa kidogo sasa..
 
Hakuna awezaye kupinga wito wa Mahakama m, hakuna na hatakuwepo. Late president Ben Mkapa ashawahi kuitikia wito wa Mahakama...
huu mchezo wasipokaa vyema CHADEMA Watakimbiana MAHAKAMANI.
Ila uwepo wa KIBATALA ni hatari, jamaa ana akili kubwa sana na anapenda sana kutumia Akili yake kama silaha yake
Hakuna lolote akili kubwa ipi?
Hata kigogo mlikuwa mnamwita akili kubwa mpaka akawa mungu wenu mtu ila sasa hivi mmepoteana mumfauate kigogo au chadema
 
Wakili Peter Kibatala kwa niaba ya jopo ameiomba Mahakama imlete IGP Sirro na Ole Sabaya kuja Mahakamani kutoa ushahidi katika kesi ya Freeman na wenzake Aidha.

Pia Washtakiwa watatu wamekataa maelezo yaliyosomwa Mahakamani hapo na kusema sio maelezo waliyotoa.

Je, Mahakama itaridhia na kumuita IGP kuja kuhojiwa na kina Kibatala, kuna uwezekano wa Sabaya pia kuletwa kwa maombi hayo?

Kuna mambo mengi kwenye hizi kesi mbili.

N anweka Mkeka (Mechi hii haina Sare) kuwa Aidha SABAYA au MBOWE mmoja anakula mvua ya kutosha.

Kazi na iendelee!
Naona hili kama pigano la Twaha Kiduku na Dullah Mbabe round ya kwanza likiwa halina refa

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Bi Kidude akimaliza 2025 achinje mbuzi wa sadaka. Huu upepo wa katiba mpya nchi hii pamoja na vikwazo vya CCM wanavyomfanyia Bi Kidude patachimbika.

Bi Kidude hatokuja kuamini Halmashauri Kuu CCM itakavyo gawika vipande na zaidi ya robo tatu kutoku-muunga mkono kuendelea na kupeperusha bendera 2025.

Mawe ya Askofu Gwajima na Dk Mwigulu kwa kumgombanisha Bi Kidude na wananchi sio ya bahati mbaya, hio ni planned.

Kuna wana CCM wengi watamgeuka na kuanza kuungana na upinzani kuhubiri katiba mpya, Profesa Polepole + Dk Bashiru + Ben Membe + Dk Slaa + Nyalandu + Warioba + Makamba Sr.

In short, Bi Kidude kaishaingia chaka hata kabla hajamaliza mwaka mmoja ofisini, JK ndio anampoteza.
Hakuna wa kumzuia MWENYEKITI WA CCM ....

Huo ndio UTARATIBU WA CHAMA CHETU.......

Na mwenye kutaka KUUVUNJA utaratibu huo ,atavunjika yeye.....

#SiempreCCM
 
Bi Kidude akimaliza 2025 achinje mbuzi wa sadaka. Huu upepo wa katiba mpya nchi hii pamoja na vikwazo vya CCM wanavyomfanyia Bi Kidude patachimbika.

Bi Kidude hatokuja kuamini Halmashauri Kuu CCM itakavyo gawika vipande na zaidi ya robo tatu kutoku-muunga mkono kuendelea na kupeperusha bendera 2025.

Mawe ya Askofu Gwajima na Dk Mwigulu kwa kumgombanisha Bi Kidude na wananchi sio ya bahati mbaya, hio ni planned.

Kuna wana CCM wengi watamgeuka na kuanza kuungana na upinzani kuhubiri katiba mpya, Profesa Polepole + Dk Bashiru + Ben Membe + Dk Slaa + Nyalandu + Warioba + Makamba Sr.

In short, Bi Kidude kaishaingia chaka hata kabla hajamaliza mwaka mmoja ofisini, JK ndio anampoteza.

Pana kijana wake industrious hapa kutokea pande za makunduchi bwana Jumbe Brown.

Japo hili la mbuzi akiacha kumfikishia asije kusema hukuyajua wakati hata manabii mlinena.
 
Pana kijana wake industrious hapa kutokea pande za makunduchi bwana Jumbe Brown.

Japo hili la mbuzi akiacha kumfikishia asije kusema hukuyajua wakati hata manabii mlinena.
Ndugu yangu Brazaj utaacha lini kurudia yasiyo ya kweli ?!!!Khaaa😲😲😲🤣🤣

Mimi mbara ,huko Makunduchi "mwakakogwa" utaacha lini kunihusisha nako?!!!

Ama jina Jumbe asili yake ni Zenji pekeee?!!😲😲

SIEMPRE JMT
SIEMPRE MH.SSH

#KaziIendelee
 
Hakuna awezaye kupinga wito wa Mahakama m, hakuna na hatakuwepo. Late president Ben Mkapa ashawahi kuitikia wito wa Mahakama...
huu mchezo wasipokaa vyema CHADEMA Watakimbiana MAHAKAMANI.
Ila uwepo wa KIBATALA ni hatari, jamaa ana akili kubwa sana na anapenda sana kutumia Akili yake kama silaha yake
Chadema wamkimbie Sirro aliyepewa U IGP na makonda lakini akaapishwa na Magufuli ?
 
Back
Top Bottom