Wateule wa Magufuli walifanana naye kitabia. Na yeye aliwapenda upeo kama huyu Sabaya. Kama ya Sabaya yanakushangaza mbona ya Magufuli hayakushangazi?Hivi sabaya ilikuaje akaupata ukuu wa wilaya,naona mambo yake alikua anayafanya kishamba sana?
Boss wao mbona nae alikua mshamba zaidiHivi sabaya ilikuaje akaupata ukuu wa wilaya,naona mambo yake alikua anayafanya kishamba sana?
Hii ni namna teuzi za hovyo zinavyojidhihirishaHivi sabaya ilikuaje akaupata ukuu wa wilaya,naona mambo yake alikua anayafanya kishamba sana?
MaCCM wote walitakiwa wazikwe wakiwa hai, MaCCM ni LAANAKUM katika nchi yetu.
Mamlaka mkuu,so ilikuwa ni kama halali kwao kufanya hivoYani sabaya na hao wapambe wake hawana akili kabisa... unafanyaje uporaji kama huo nje ya benki, mahali ambapo unajua kuna cctv cameras zinamulika wakati wote!!
Yale machozi aliyotoa mwenye msiba wa jiwe yalikuwa na sababu kubwa sana,
alijua kinga yake imeondoka na hakuna atakayemtetea kwenye haya maupuuzi yake aliyofanya....
Mahakama imaekana kupokea ushahidi wa CCTV unaomwonesha Sabaya akiingia au kuvamia benki ya CRDB kama ilivyoripotiwa na wewe sijui umetoa wapi taarifa hizi? Uandishi uchwaraMahakama kanda ya Arusha jumatano oktoba 27, 2021 imekubali kupokea kielelezo namba 4 kama ushahidi toka kwa Afisa tehema wa CRDB tawi la kwa Mrombo bwana Geoffrey Abimiel Nko ambaye ni shahidi namba saba wa Jamuhuri Katika kesi ya uhujumu Uchumi inayomkabili Lengai Ole Sabaya
Francis Mrosso analalamika kuwa aliporwa pesa zake alizotoa toka Bank ya CRDB tawi la kwa Mrombo huku wasaidizi wa Sabaya walisubiri mzigo huo wa pesa hapo Bank
Hakimu mkazi wa kanda ya Arusha Bwana Kisinda alipinga pingamiza lililoletwa na upande wa utetezi wa Sabaya kuwa halina mashiko, Ambapo wakili wa Sabaya aliomba mahakama taarifa ya CCTV isitumike mahakamani kwa kuwa haina ubora na inaonyesha picha hafifu
CCTV camera hiyo ilichukuliwa January 22 mwaka huu kuanzia 4:09 jioni mpaka saa 5:05 jioni ikionyesha Vijana wa Sabaya wakizikwapua pesa toka kwa Bwana Francis Mrosso hapo kwa Mrombo tawi la CRDB
Hata huyo nyoka koboko amewazidi akiliSabaya na Meko wote walikuwa na akili za nyoka koboko
Unadhani aliyemteu hiyo nafasi alikuwaje!??Hivi sabaya ilikuaje akaupata ukuu wa wilaya,naona mambo yake alikua anayafanya kishamba sana?
Ukitaka kupima akili fupi za watu hapa utaona wakimshambulia Sabaya.
Sabaya alikuwa ni mkono wa kulia wa Bwana Chato.Kumshambulia Sabaya bila kumhusisha Bwana Chato ni akili fupi.
Wewe meko angekuambia umbake mamako ungefanya hivyo?Ukitaka kupima akili fupi za watu hapa utaona wakimshambulia Sabaya.
Sabaya alikuwa ni mkono wa kulia wa Bwana Chato.Kumshambulia Sabaya bila kumhusisha Bwana Chato ni akili fupi.
Hujaelewa hata nilichoandika hapo.Sijasema wala sijamaanisha kuwa kwa kuwa Sabaya alitumwa na Bwana Chato basi Sabaya hana hatia.Jitahidi kuelewa maana ya neno 'kuhusisha'.Wewe meko angekuambia umbake mamako ungefanya hivyo?
Hakuwa na wasiwasi kwasababu Hakukuwa na Shaka Wala mtu wa kupita mbele yake kumfatiliaHivi sabaya ilikuaje akaupata ukuu wa wilaya, naona mambo yake alikua anayafanya kishamba sana?
Imepokea CCTV, Ukweli ndio huoMahakama imaekana kupokea ushahidi wa CCTV unaomwonesha Sabaya akiingia au kuvamia benki ya CRDB kama ilivyoripotiwa na wewe sijui umetoa wapi taarifa hizi? Uandishi uchwara
Aliipata kwa kuteuliwa. Sasa jiulize kama mteuliwa alikua anatenda haya je mteuaji ilikuwaje. Kuna mengi watayafunika sasa hivi ila kama dunia itaendelea kudumu kuna siku hatutaamini masikio yetu. Nchi ilipitia kipindi kigumu sanaHivi sabaya ilikuaje akaupata ukuu wa wilaya, naona mambo yake alikua anayafanya kishamba sana?
Hakujua kama mungu wake anaweza mwacha kirahisi hivi.Asee! Sabaya alijisahau mpaka akawa anajiachia kiasi Cha kukwapua pesa benk? Alishindwa kabisa kufanya kwa kificho?
Hata mimi ningeukwaa udc nisingefanya mambo kama hayo, pesa ningekuwa napiga kiakili na najua mpaka sahv ningekuwa na bln hata 50
Ova