Mahakama kanda ya Arusha yakubali kupokea taarifa ya CCTV camera toka Benki ya CRDB kwenye kesi ya uhujumu Uchumi ya Ole Sabaya

Mahakama kanda ya Arusha yakubali kupokea taarifa ya CCTV camera toka Benki ya CRDB kwenye kesi ya uhujumu Uchumi ya Ole Sabaya

haya waliokuwa wanamtetea enzi hizo njooni mjibu hoja za CCTV CAMERA au mmemuacha ajifie mwenyewe
 
Yani sabaya na hao wapambe wake hawana akili kabisa... unafanyaje uporaji kama huo nje ya benki, mahali ambapo unajua kuna cctv cameras zinamulika wakati wote!!

Yale machozi aliyotoa mwenye msiba wa jiwe yalikuwa na sababu kubwa sana,
alijua kinga yake imeondoka na hakuna atakayemtetea kwenye haya maupuuzi yake aliyofanya....
Unaweza kuweka ka clip tuone domo lake alivyokuwa akipayuka!
 
Huyu sabaya, embu fukunyueni huko tabia za mzazi wake wakiume nasikia naye alikuwa na maajabu ya abuniwasi[emoji23]
 
Yani sabaya na hao wapambe wake hawana akili kabisa... unafanyaje uporaji kama huo nje ya benki, mahali ambapo unajua kuna cctv cameras zinamulika wakati wote!!

Yale machozi aliyotoa mwenye msiba wa jiwe yalikuwa na sababu kubwa sana,
alijua kinga yake imeondoka na hakuna atakayemtetea kwenye haya maupuuzi yake aliyofanya....
Alijua atadumu kwenye ukuu wa wilaya

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
 
people may forget, but technology never forgets. hiyo ndio raha na karaha ya teknolojia.

ndio maana wahalifu wakubwa duniani au majasusi wabobevu, wanachukua tahadhari zote kuepuka wasirekodiwe na vifaa vya kiteknolojia wanapokuwa katika mission zao.


sabaya alikuwa ni bonge la mshamba.
 
Mahakama kanda ya Arusha jumatano oktoba 27, 2021 imekubali kupokea kielelezo namba 4 kama ushahidi toka kwa Afisa tehema wa CRDB tawi la kwa Mrombo bwana Geoffrey Abimiel Nko ambaye ni shahidi namba saba wa Jamuhuri Katika kesi ya uhujumu Uchumi inayomkabili Lengai Ole Sabaya.

Francis Mrosso analalamika kuwa aliporwa pesa zake alizotoa toka Bank ya CRDB tawi la kwa Mrombo huku wasaidizi wa Sabaya walisubiri mzigo huo wa pesa hapo Bank.

Hakimu mkazi wa kanda ya Arusha Bwana Kisinda alipinga pingamiza lililoletwa na upande wa utetezi wa Sabaya kuwa halina mashiko, Ambapo wakili wa Sabaya aliomba mahakama taarifa ya CCTV isitumike mahakamani kwa kuwa haina ubora na inaonyesha picha hafifu.

CCTV camera hiyo ilichukuliwa January 22 mwaka huu kuanzia 4:09 jioni mpaka saa 5:05 jioni ikionyesha Vijana wa Sabaya wakizikwapua pesa toka kwa Bwana Francis Mrosso hapo kwa Mrombo tawi la CRDB.
A common criminal, gangster, chaguo la mwendazake.
 
Yani sabaya na hao wapambe wake hawana akili kabisa... unafanyaje uporaji kama huo nje ya benki, mahali ambapo unajua kuna cctv cameras zinamulika wakati wote!!

Yale machozi aliyotoa mwenye msiba wa jiwe yalikuwa na sababu kubwa sana,
alijua kinga yake imeondoka na hakuna atakayemtetea kwenye haya maupuuzi yake aliyofanya....
Sabaya aliamini Rais atamkingia kifua na ushamba ulichangia viongozi wakubwa huwa ni wajanja hutuma watu kufanya uhalifu then wao ndio hulaumiwa, I'm sure wizi alioufanya bank hakutumwa na magufuli
 
Yani sabaya na hao wapambe wake hawana akili kabisa... unafanyaje uporaji kama huo nje ya benki, mahali ambapo unajua kuna cctv cameras zinamulika wakati wote!!

Yale machozi aliyotoa mwenye msiba wa jiwe yalikuwa na sababu kubwa sana,
alijua kinga yake imeondoka na hakuna atakayemtetea kwenye haya maupuuzi yake aliyofanya....

Aliamini picha za CCTV zingepotezwa!
 
Back
Top Bottom