Sagungu 1914
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 938
- 581
haya waliokuwa wanamtetea enzi hizo njooni mjibu hoja za CCTV CAMERA au mmemuacha ajifie mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu habari za siku tele sijakusoma siku nyingiMamlaka mkuu,so ilikuwa ni kama halali kwao kufanya hivo
Unaweza kuweka ka clip tuone domo lake alivyokuwa akipayuka!Yani sabaya na hao wapambe wake hawana akili kabisa... unafanyaje uporaji kama huo nje ya benki, mahali ambapo unajua kuna cctv cameras zinamulika wakati wote!!
Yale machozi aliyotoa mwenye msiba wa jiwe yalikuwa na sababu kubwa sana,
alijua kinga yake imeondoka na hakuna atakayemtetea kwenye haya maupuuzi yake aliyofanya....
Watetezi wa Legacy leo hii hamjui huyu maamuma aliupateje uDC?Hivi sabaya ilikuaje akaupata ukuu wa wilaya, naona mambo yake alikua anayafanya kishamba sana?
Alijua atadumu kwenye ukuu wa wilayaYani sabaya na hao wapambe wake hawana akili kabisa... unafanyaje uporaji kama huo nje ya benki, mahali ambapo unajua kuna cctv cameras zinamulika wakati wote!!
Yale machozi aliyotoa mwenye msiba wa jiwe yalikuwa na sababu kubwa sana,
alijua kinga yake imeondoka na hakuna atakayemtetea kwenye haya maupuuzi yake aliyofanya....
Nami kwa moyo mweupe kabisa nimefuta kauli na kumwaomba radhi nyoka koboko kwa kumvunjia heshima...Hata huyo nyoka koboko amewazidi akili
Huyu mpuuzi na hii kesi hachomoki tenaHahahaha, piga ubwa huyooo
Alikuwa anapeleka mgawomteuzi wake alipendezwa na roho chafu ya sabaya.
Kila nikijaribu kufikoria sabaya na makonda wameua na kutesa watu wangapi na kwann walikuwa uswahilini naogopa hata kuandika la JPM. Inamaana walikuwa hawajuiNdiyo maana MUNGU alimlamba mapema sn
Anasema yote aliyokua anafanya mpango anafahamu ndiye alimtumaHivi sabaya ilikuaje akaupata ukuu wa wilaya, naona mambo yake alikua anayafanya kishamba sana?
ALikuwa anawatumaKila nikijaribu kufikoria sabaya na makonda wameua na kutesa watu wangapi na kwann walikuwa uswahilini naogopa hata kuandika la JPM. Inamaana walikuwa hawajui
A common criminal, gangster, chaguo la mwendazake.Mahakama kanda ya Arusha jumatano oktoba 27, 2021 imekubali kupokea kielelezo namba 4 kama ushahidi toka kwa Afisa tehema wa CRDB tawi la kwa Mrombo bwana Geoffrey Abimiel Nko ambaye ni shahidi namba saba wa Jamuhuri Katika kesi ya uhujumu Uchumi inayomkabili Lengai Ole Sabaya.
Francis Mrosso analalamika kuwa aliporwa pesa zake alizotoa toka Bank ya CRDB tawi la kwa Mrombo huku wasaidizi wa Sabaya walisubiri mzigo huo wa pesa hapo Bank.
Hakimu mkazi wa kanda ya Arusha Bwana Kisinda alipinga pingamiza lililoletwa na upande wa utetezi wa Sabaya kuwa halina mashiko, Ambapo wakili wa Sabaya aliomba mahakama taarifa ya CCTV isitumike mahakamani kwa kuwa haina ubora na inaonyesha picha hafifu.
CCTV camera hiyo ilichukuliwa January 22 mwaka huu kuanzia 4:09 jioni mpaka saa 5:05 jioni ikionyesha Vijana wa Sabaya wakizikwapua pesa toka kwa Bwana Francis Mrosso hapo kwa Mrombo tawi la CRDB.
Sabaya aliamini Rais atamkingia kifua na ushamba ulichangia viongozi wakubwa huwa ni wajanja hutuma watu kufanya uhalifu then wao ndio hulaumiwa, I'm sure wizi alioufanya bank hakutumwa na magufuliYani sabaya na hao wapambe wake hawana akili kabisa... unafanyaje uporaji kama huo nje ya benki, mahali ambapo unajua kuna cctv cameras zinamulika wakati wote!!
Yale machozi aliyotoa mwenye msiba wa jiwe yalikuwa na sababu kubwa sana,
alijua kinga yake imeondoka na hakuna atakayemtetea kwenye haya maupuuzi yake aliyofanya....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Basi nafuta kauli, na namtaka radhi nyoka koboko kwa kumvunjia heshima
Yani sabaya na hao wapambe wake hawana akili kabisa... unafanyaje uporaji kama huo nje ya benki, mahali ambapo unajua kuna cctv cameras zinamulika wakati wote!!
Yale machozi aliyotoa mwenye msiba wa jiwe yalikuwa na sababu kubwa sana,
alijua kinga yake imeondoka na hakuna atakayemtetea kwenye haya maupuuzi yake aliyofanya....
Akili za kinyesi- kunuka.Kwa nn umefananisha akili zao na za nyoka koboko ilhali koboko ana akili kubwa sana?