Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kama kura unajipigia mwenyewe. Usiote.Miaka mingapi tangu kuanzishwa vyama vingi. Ni utapeli tuu wa kisiasa unaoendeleaUmuhimu wa Katiba ni Huo, Mahakama zina heshima
Kama Tanzania kura za Uraisi zikitangazwa vituoni, CCM chali asb
Subirini uchaguzi ufanyike mshindi apatikane, ndo muanze kusifia katiba.
Uchaguzi utafanyika tena kwa amani kama unategemea mengine. Binafasi mimi sio shabiki wa upinzani kwetu Kenya lakini hapa napata raha kuona mihimili iliyobuniwa na katiba ikitumia uhuru wake bila kuingliwa. Kwamba leo mahakama imetoa maamuzi dhidi ya mategemeo ya serikali na uamuzi wao ukaheshimiwa.
Isingekua kwa nguvu za katiba, basi haya yote hatungeyaona maana hapo awali tuliishi kwenye dhuluma za chama kimoja, mahakimu walizoea kupata maagizo kutoka ikulu, lakini leo hii wanazingatia sheria neno kwa neno. Binafsi nashangilia maana haya ni baadhi ya matunda ambayo nilihusika katika upaliliaji wake, miaka ya tisini nilichezea mabomu ya machozi na vibano vya polisi wakati tulikua tunajitokeza barabarani kudai haki.
Hivyo nchi yetu inaendelea vizuri sana na kuwa mfano kwa mataifa mengi Afrika kwamba inawezekana na imewezekana. Mshindi atakayeshinda, atatangazwa na atakua rais wetu kwa miaka mitano.
Kadri unavyo-move kuelekea kaskazini mwa bara la Afrika, IQ ya watu huongezeka hivyo sishangai sana.
Hao wameathiriwa na vita ya wenyewe vinginevyo wangekuwa mbali.Hadi Sudan kusini, Sudan, Somali na Eritrea.
Lazima povu liwatoke.We ni taahira
Uchaguzi lazima ufanyike kwa amani. Lakini baada ya uchaguzi je wahataheshimu hiyo katiba kulingana na matokeo? Ndiyo naamini ungefunga breki kidogo tuone hiyo litmus test.
Labda kama kura unajipigia mwenyewe. Usiote.Miaka mingapi tangu kuanzishwa vyama vingi. Ni utapeli tuu wa kisiasa unaoendelea
IEBC inamtetea aliyepewa Tenda...Kichekesho Africa
Fishy Business
....What is IQ? Tuanzie hapo.Labda iq yako ndiyo ndogo kuliko mtu yeyote wa north.
Mimi ninacho amini ni kuwa wote duniani wana same brain but the difference is on how to use them.
....Tukubali tuu kwamba kwa hili la uhuru wa mahakama bila kuingiliwa na serikali wako vizuri, mwenzio akifanya jema mtuze,hongereni majirani.Uchaguzi lazima ufanyike kwa amani. Lakini baada ya uchaguzi je wahataheshimu hiyo katiba kulingana na matokeo? Ndiyo naamini ungefunga breki kidogo tuone hiyo litmus test.
Kweli kabisa, na wala haumsikii Rais akitishia mahakama kama afanyavyo Sizonje.....Tukubali tuu kwamba kwa hili la uhuru wa mahakama bila kuingiliwa na serikali wako vizuri, mwenzio akifanya jema mtuze,hongereni majirani.
Usilolijua nisawa nausiku wa gizaMatokeo ya urais Tz 2015 yalitangazwa kila kituo cha uchaguzi. Ukitoa tuhumu zilizo jaa uongo unakuwa huna jipya zaidi ya propaganda mfu.
....What is IQ? Tuanzie hapo.