Mahakama Kenya yafuta Kandarasi ya Uchapishaji karatasi za kura. Mchakato kurudiwa

Mahakama Kenya yafuta Kandarasi ya Uchapishaji karatasi za kura. Mchakato kurudiwa

Sasa hayo maswali ni ya kurudishana darasani.
Wewe lete ushahidi wa kuonesha ya kuwa as you go north the iq tends to increase.

Nani nitakuonesha kuwa wote we have the same brain but the difference is on using them.

....Ukisikia watu darasani wanasema fulani ana akili sanaa maana yake ni kwamba ingawa wote mna brain (ubongo) ndani ya vichwa vyenu uwezo wa kutumia huo ubongo between individual ndiyo issue. Mfano mkaitwa wafanyakazi 1000 wote mkapewa 10mill mkafanye same investment utashangaa after 2 yrs mwingine akawa na 20mill mwingine ukamkuta ni omba omba etc....
 
....Ukisikia watu darasani wanasema fulani ana akili sanaa maana yake ni kwamba ingawa wote mna brain (ubongo) ndani ya vichwa vyenu uwezo wa kutumia huo ubongo between individual ndiyo issue. Mfano mkaitwa wafanyakazi 1000 wote mkapewa 10mill mkafanye same investment utashangaa after 2 yrs mwingine akawa na 20mill mwingine ukamkuta ni omba omba etc....

Kwa hiyo study gani iliyo justify kuwa watu wa South ni ombaomba.
 
Matokeo ya urais Tz 2015 yalitangazwa kila kituo cha uchaguzi. Ukitoa tuhumu zilizo jaa uongo unakuwa huna jipya zaidi ya propaganda mfu.
Vipi na ballot paper mnapritia wapi?
Tume ya uchaguzi je!! Mnachaguanaje?
Wakurugenzi nao mnawaita mawakala wa NEC wako huru kweli?

tuna mengi ya kujifunza kuhusu democracy kutoka Kenya
 
Hao wameathiriwa na vita ya wenyewe vinginevyo wangekuwa mbali.

Mcheki Bashe Bungeni ukilinganisha na wabunge wenzake wa CCM.
Wewe mwenyewe una IQ finyu sana, sasa hivyo vita ni akina nani wanauana, mbona hizo IQ zao zisitatue hayo mauaji ya wao kwa wao, aloo una IQ finyu sana, na central African republic wapo kaskazini zaidi ya bongo na wanauana kisa ukristo na uislamu.
Mfungage mabakuli yenu sometimes mnajiaibisha tu.
 
Back
Top Bottom