Mahakama kutoa hatma ya maombi ya kina Halima Mdee Julai 6, 2022

Mahakama kutoa hatma ya maombi ya kina Halima Mdee Julai 6, 2022

Mkuu tulia na andika ili ueleweke, hii ni mada iliyoletwa ili tujadili, na maoni tofauti na ya kwako ndio mjadala wenyewe, nimejitahidi kukusoma ili nikuelewe ili nisiulize maswali nimeshindwa, political party SIO taasisi ya serikali, na elewa serikali inakuja na kuondoka kutegemeana chama gani kimeshinda uchaguzi, ni katiba tuu ndio ipo, tumetawaliwa mno na ccm na inaonekana tunashindwa kutenganisha chama na serikali, vyama vyote vina katiba yake kuhusiana na wanayokubaliana ndio maana ccm ilimfukuza uanachama Mr.Membe na Mrs .Sofia Simba, ccm walitumia katiba ya chama chao SIO katiba ya nchi, Mdee&others ni walilia njaaa za matumbo, they're fighting to keep their MPs seats na SIO uanachama wa CDM,ndio maana tunahitaji kuwa na independent candidates kwenye katiba yetu ili kuepusha my kodi kutumiwa vibaya kama kwenye case hii.

Nimesema ni taasisi ya serikali Kwa sababu, chukua mfano wa nccr mageuzi now, Nani ameamua hatma Yao? Kama sio msajiri wa vyama and je msajiri wa vyama sio taasisi ya serikali?


Jambo la pili nyie mligoma kutambua uchaguzi, mligoma kutambua viti maalum ambavyo vipo Kwa mujibu wa katiba means na nyie mlivunja sheria

Now mnalialia ishu ya kina mdee mkiwa na ajenda yenu nyingine ndio maana hamtashinda

Wale watakuwa wabunge mpaka 2025
 
Nimesema ni taasisi ya serikali Kwa sababu, chukua mfano wa nccr mageuzi now, Nani ameamua hatma Yao? Kama sio msajiri wa vyama and je msajiri wa vyama sio taasisi ya serikali?


Jambo la pili nyie mligoma kutambua uchaguzi, mligoma kutambua viti maalum ambavyo vipo Kwa mujibu wa katiba means na nyie mlivunja sheria

Now mnalialia ishu ya kina mdee mkiwa na ajenda yenu nyingine ndio maana hamtashinda

Wale watakuwa wabunge mpaka 2025
Uwe unatumia Akili unapo changia sio mihemuko. Hakuna sheria inayo kulazimisha kumtambua mtu anaye kuja kwako akakulazimisha umuite baba na umpe matunzo japo ni mwanaume ili hali wewe humjui na hujui katoka wapi na ukikataa hakuna sheria uliyo vunja.

CHADEMA wamekataa kutambua Matokeo ya uchaguzi na pia wamekataa kuchukua fedha za ruzuku zinazotolewa na Serikali kwa Vyama vya siasa kwa kuwa hakukuwa na uchaguzi bali ni uchafufuzi wa uchaguzi. Na kwa kutaa huko CHADEMA hawajavunja sheria yeyote na ndio maana hawajashitakiwa sehemu yeyote bali wanapaswa kupongezwa kwa kuwa sheria zinasema ukiona uharifu umefanyika na wew ni raia mwema unapaswa kuupinga aidha kwa kumkamata muharifu CCM anaye lindwa na Dora au kutoa taarifa tuu kuwa ma CCM ni majizi ya kura ili watu wajue hivyo na Dunia ijue hivyo.
 
Uwe unatumia Akili unapo changia sio mihemuko. Hakuna sheria inayo kulazimisha kumtambua mtu anaye kuja kwako akakulazimisha umuite baba na umpe matunzo japo ni mwanaume ili hali wewe humjui na hujui katoka wapi na ukikataa hakuna sheria uliyo vunja.

CHADEMA wamekataa kutambua Matokeo ya uchaguzi na pia wamekataa kuchukua fedha za ruzuku zinazotolewa na Serikali kwa Vyama vya siasa kwa kuwa hakukuwa na uchaguzi bali ni uchafufuzi wa uchaguzi. Na kwa kutaa huko CHADEMA hawajavunja sheria yeyote na ndio maana hawajashitakiwa sehemu yeyote bali wanapaswa kupongezwa kwa kuwa sheria zinasema ukiona uharifu umefanyika na wew ni raia mwema unapaswa kuupinga aidha kwa kumkamata muharifu CCM anaye lindwa na Dora au kutoa taarifa tuu kuwa ma CCM ni majizi ya kura ili watu wajue hivyo na Dunia ijue hivyo.

Achana matusi basi
Chadema hamuwez kuongea bila matusi ? Nyie watu hamna wakubwa huko kwenu?

Lete hoja tuongee Kwa hoja

Nyie mlikataa uchaguzi, means kila kitu kinachohusiana na uchaguzi ule hamtaki

Sasa why mnahangaika na wakina mdee ambao wao wameamua kukubali matokeo ya uchaguzi?
 
Chama cha siasa ni taasisi ya serikali, inafata mifumo ambayo serikali imeweka

Wanachama sio kama kuku unaowafuga nyumbani kwako kwamba unaamua Tu kuwachinja au kuwauza

Utaratibu ambao ulitumika kuwafukuza uanachama Kwa mara ya kwanza ndio walifeli, na hii kesi wakina mdee wanashinda Kwa ujinga wa kukurupuka Kwa chadema kufanya maamuzi

Mfano juzi Tu, mahakama imeakua kitu kingine na myika katoa report nyingine
Wewe huna hoja, unawashwa tu na nadhan mumeo kakuacha kwa mda sasa ivyo kiboga tu kt ute....lezi wako utashika adabu
 
Mahakama Kuu ya Dar es Salaam, Masijala Kuu inatarajia kutoa uamuzi wa maombi ya Mbunge wa Viti Maalum kupitia CHADEMA, Halima Mdee na wenzake 18 mnamo Julai 6, 2022.

Wabunge hao wameomba kibali cha Mahakama ili kuwasilisha mapitio ya kimahakama wakipinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho.

Video: Azam TV
Mbona waliitwa na Kamati kuu wakagoma kuja kusikilizwa?

Waliitwa kuongea kwenye baraza kuu Nako wakagoma

Sasa walitaka wasikilizwe kwenye macorridor au kwenye vikao halali vya chama??

CHADEMA waachane na hii kesi, kama walivyompotezea Shibuda na Zitto hadi wenyewe wakaondoka kimya kimya kwa aibu!!
 
Achana matusi basi
Chadema hamuwez kuongea bila matusi ? Nyie watu hamna wakubwa huko kwenu?

Lete hoja tuongee Kwa hoja

Nyie mlikataa uchaguzi, means kila kitu kinachohusiana na uchaguzi ule hamtaki

Sasa why mnahangaika na wakina mdee ambao wao wameamua kukubali matokeo ya uchaguzi?
Kinachopingwa ni utaratibu, lazima Kamati kuu ndio ichague na Katibu Mkuu ndio awasilishe barua. Sasa Made ana mamlaka kuliko Kamati kuu?? Minutes za kikao kilichoridhia hayo majina kikwapi??
 
Chama cha siasa ni taasisi ya serikali, inafata mifumo ambayo serikali imeweka

Wanachama sio kama kuku unaowafuga nyumbani kwako kwamba unaamua Tu kuwachinja au kuwauza

Utaratibu ambao ulitumika kuwafukuza uanachama Kwa mara ya kwanza ndio walifeli, na hii kesi wakina mdee wanashinda Kwa ujinga wa kukurupuka Kwa chadema kufanya maamuzi

Mfano juzi Tu, mahakama imeakua kitu kingine na myika katoa report nyingine
Walikataa kusikilizwa wenyewe, waliitwa kwa barua ila wote waligoma kuja so hukumu ikatolewa in absentia. Lissu alifukuzwa bila kusikilizwa na mahakama haikutengua maamuzi ya spika na NEC!! Hii nchi double standards ni nyingi sana
 
Walikataa kusikilizwa wenyewe, waliitwa kwa barua ila wote waligoma kuja so hukumu ikatolewa in absentia. Lissu alifukuzwa bila kusikilizwa na mahakama haikutengua maamuzi ya spika na NEC!! Hii nchi double standards ni nyingi sana

Double standard Kwa ishu ambayo haipo upande wako
 
Achana matusi basi
Chadema hamuwez kuongea bila matusi ? Nyie watu hamna wakubwa huko kwenu?

Lete hoja tuongee Kwa hoja

Nyie mlikataa uchaguzi, means kila kitu kinachohusiana na uchaguzi ule hamtaki

Sasa why mnahangaika na wakina mdee ambao wao wameamua kukubali matokeo ya uchaguzi?
Wameamua kukubali matokeo kupitia chama gani? Maana chama wanachojitambulisha nacho hakiwataki kimewafuta uanachama kama wangekuwa wanajitambulisha wao ni wabunge wa viti maalumu kupitia ccm au nccr hata mimi ningewashangaa chadema shida ni wao kujipa uanachama wa chadema wakati chadema haiwatambui.
Hujui kuna mbunge aliunga juhudi akajitoa bungeni ndugai akamrudisha bungeni kupitia chama kisichojulikana ww uliona chadema wanahangaika naye.
 
Kinachopingwa ni utaratibu, lazima Kamati kuu ndio ichague na Katibu Mkuu ndio awasilishe barua. Sasa Made ana mamlaka kuliko Kamati kuu?? Minutes za kikao kilichoridhia hayo majina kikwapi??

Minutes za kikao ambacho kiliwafukuza mara ya kwanza ziko wapi?

Akidi ilikuwa imetimia?
 
Wameamua kukubali matokeo kupitia chama gani? Maana chama wanachojitambulisha nacho hakiwataki kimewafuta uanachama kama wangekuwa wanajitambulisha wao ni wabunge wa viti maalumu kupitia ccm au nccr hata mimi ningewashangaa chadema shida ni wao kujipa uanachama wa chadema wakati chadema haiwatambui.
Hujui kuna mbunge aliunga juhudi akajitoa bungeni ndugai akamrudisha bungeni kupitia chama kisichojulikana ww uliona chadema wanahangaika naye.
Chadema walikosea kuwafukuza Ile ya kwanza kabisa pale ndio walifeli

Ndio shida ya mihemuko mingi
 
Minutes za kikao ambacho kiliwafukuza mara ya kwanza ziko wapi?

Akidi ilikuwa imetimia?
Ndio, Kamati kuu ilikua full na minutes ziliwasilishwa kwa baraza kuu na maazimio yakasomwa.

Sasa hao kina Mdee ni Kamati kuu gani iliketi kuwapendekeza waende bungeni?
 
Ndio, Kamati kuu ilikua full na minutes ziliwasilishwa kwa baraza kuu na maazimio yakasomwa.

Sasa hao kina Mdee ni Kamati kuu gani iliketi kuwapendekeza waende bungeni?
Ndugai aliomba minute za kikao na hamkupeleka

Sasa wakati wa case ndio mtajua
 
Ndio, Kamati kuu ilikua full na minutes ziliwasilishwa kwa baraza kuu na maazimio yakasomwa.

Sasa hao kina Mdee ni Kamati kuu gani iliketi kuwapendekeza waende bungeni?
Hapa sielewI, hawatakiwi bungeni kwa sababu sio wanachama au Kwakuwa hawakuchaguliwa na chama?
 
Mahakama Kuu ya Dar es Salaam, Masijala Kuu inatarajia kutoa uamuzi wa maombi ya Mbunge wa Viti Maalum kupitia CHADEMA, Halima Mdee na wenzake 18 mnamo Julai 6, 2022.

Wabunge hao wameomba kibali cha Mahakama ili kuwasilisha mapitio ya kimahakama wakipinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho.

Video: Azam TV
Kwanini juzi hauja ripitiwa na vyombo vya habari kama kawaida?
Au Ccm na serikaku yake wana ona aibu kuumbuka? Maana lazima Bwana Mahela mchafuzi wa uchaguzi, na mzee wa bakora Ndugai wasimame kuzimbani kuelezea jinsi hawa virus walivyo ingia bungeni.
Je? Ni nani alimtoa yule kurusi gerezani usiku na kwenda kuapushiwa guest??
 
Back
Top Bottom