Sasa mlifata nini mahakamani kupoteza muda?Sikutegemea kitu tofauti na hicho.
Usumbufu upi wakati kazi yao ndio kutafsiri sheria, waambie waache viburi.Mimeipenda hii " Lengo la kusababisha usumbufu kwa Mahakama"
Ulicheki pmHahahaha chadema hawajawahi kuanzisha jambo likafanikiwa
Ukiacha kufuatikia chombo cha kukutungia sheria kinaendaje, hujaendelea na maisha yako.Ok noted and thanks
Wanasiasa wanapotezea watu muda wa kufanya kazi
Kila mtu apambane na hali yake
Liwe Bunge au Mwambe kila mtu anaangalia familia yake
Kwa ufupi wananchi angalieni maisha yenu
Sasa Kuna gharama za kesi sijui Nani analipa. Chadema au hao waliofungua kesi?Mimeipenda hii " Lengo la kusababisha usumbufu kwa Mahakama"
Sasa mlifata nini mahakamani kupoteza muda?
Ok noted and thanks
Wanasiasa wanapotezea watu muda wa kufanya kazi
Kila mtu apambane na hali yake
Liwe Bunge au Mwambe kila mtu anaangalia familia yake
Kwa ufupi wananchi angalieni maisha yenu
Inakuwaje hawa watu wa upande wa opposition kesi zao nyingi uwaga zinaishia kwenye legal technicalities tu. Media Lawyers ni shida sana, ninamuamini sana Adv. daimu kumbe nae daaaaaah.Mahakama ime-site vifungu na ibara za katiba juu ya kutupilia mbali shauri hilo na imeshauri utaratibu ambao ulipaswa kufuatwa. Sasa ni kazi kwako kujibu kwa kupangua vifungu hivyo na sio porojo.
kAMA NI KESI YA KIKATIBA, FACTS ZA HIYO KESI KUWA YA KIKATIBA NI ZIPI MKUU?Acha Usanii na ubabaishaji wewe.
Watz Wana Haki ya kuhoji na kuona Sheria na Katiba inazingatiwa pale WATAWALA WA CCM. wanapoingia Sheria na taratibu za nji kwa interests zao.
Cecil Mwambe hakupaswa na hapashwi kuwa Bungeni kwa mujibu wa Katiba ya JMT. Yeye alishajiuzulu Uanachama wa Chama kilichomtokea Bungeni kwa kura za Wananchi...!
Tatizo ni kwamba JIWE na Serikali yake ya majambazi ya CCM wamaiteka mihimili ya Mahakama na Bunge kiasi kwamba inacheza ngoma inayosikika na JIWE....!!
Hii ilikuwa ni kesi ya Kikatiba na kulikuwa na hoja ya msingi kabisa hata kama Kuna dosari za kiufundi katika kufungua shauri hili!! lakini kwa vile waloguswa ni Vigogo wa Chama Twawala lazima kesi itupuliwe mbali ili kulinda maslahi ya majambawazi ya CCM!
Hahaha nilijua tu, mahakama zenyewe zimejazwa makada wa CCM ulitegemea nini
kWANI hapo petitioner/Plaintiff ni Chadema au Adv. Kaunda? Atazilipa yye aliefungua kesi, kama wapo waliomtuma kama ni chadema watashirikiana kuzilipa tuSasa Kuna gharama za kesi sijui Nani analipa. Chadema au hao waliofungua kesi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawakili wengi wakiongozwa na Kibatala ni Media LawyersTatizo wafungua kesi hawajui taratibu za kisheria kuhusu bunge ila wanakurupuka tu kwa mihemko ya wanasiasa, sasa mawakili wasomi wanaangukia pua hii ni aibu sana kwao
Pole Mkuu na kunywa Mmaa π π π πSikutegemea kitu tofauti na hicho.
kAMA NI KESI YA KIKATIBA, FACTS ZA HIYO KESI KUWA YA KIKATIBA NI ZIPI MKUU?
Hicho kinachoitwa technicalities, ndo kinafanya vyombo vya kutoa haki vionekane Kama hata hiyo haki hawaijui. Naona ile dhana ya justice doesn't necessarily mean lawful inaanza kuondoka kwenye legal fraternity. My heart is really crying for justice and not this animal" technicalities".