Mahakama Kuu Dar, imetupilia mbali kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa dhidi ya Spika Ndugai kwa kumtambua Mwambe kama Mbunge baada ya Kujiuzulu

Hii nchi imekufa imeoza vibaya sana ! ni kituko kuliko nchi yoyote duniani
 
Da Mkuu mbona hii ngum kumeza sasa
Mpaka machozi yani kwa nini tunafanyiwa
Hivi da inauma sana yan kama ni kweli
 
Kuna jamaa moja ni dikteta lijinga lisilotumia akili. Kwa hiyo yanataka yavunje katiba na kukandamiza wananchi?
 
WAJAMENI,

Viongozi wa awamu hii ya tano wana mambo mabovu makuu mawili

1.Wanapenda na wana tamaa sana kutawala, lakini
2.Hawapendi na wala hawataki kabisa kuwajibika kwa matendo yao.

Hivi bado tunahitaji watu wa aina hii kuendelea kuiongonza JMTZ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…