Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
hahahahah endelea na dhihaka zako utakuja ulie siku Moja Kwa kumwagiwa povu la buku jero shauri zakoWameenda Azania industry kununua canter 6 za povu la space na clubhouse jioni leo
nipo mahakamani, kwani mkeo naye yupo hapa? au unasemea Jesca wa Sabaya? sijamwona ameketi pande ipi.Msalimie shemeji yangu hapo....
Kwa vipi?Hii nchi kuna haja ya kutawaliwa tena. Atafutwe mkoloni mzuri haraka. Imeshindwa kujiendesha
Chadema mnajionaga kama Mungu ni wenu peke yenu au nyie ni wema na wasafi hata Sabaya anatetewa na Mungu piaMungu mbariki Mbowe mtetee, muokoe, pia mtoe katika mikono ya watesi wake!
Mungu ibariki CHADEMA!
Wale beberu uchwara waliomtuma na kumpa vijisenti vya kukataa hata ruzuku wako wanamcheki mpaka mahakamani,atakubalije amekula vya watu?kwani haiwezekani Mbowe akakiri makosa ili kupunguza usumbufu?
Utakuwapo space ama clubhouse?hahahahah endelea na dhihaka zako utakuja ulie siku Moja Kwa kumwagiwa povu la buku jero shauri zako
ππππ
Nje ya Mada.Ingia barabarani kamanda ukinukishe ili Mbowe atoke
Jiwe + Hangaya hii ilikua ajenda yao, fuatilia, kesi hii imepangwa toka jiwe yupo, huyu mwingine anakamilisha!!Sijui kwa nini mheshimiwa Mbowe aliamua kurudi bongo asee..yani hata jiwe hakuwahi kumtesa kiasi hiki kwa kumpa kesi ngumu namna hii..
Mbowe na Genge lake la kihalifu hawapo juu ya Sheria.
Kama ikithibitika kuwa alikuwa anachezea amani ya nchi yetu basi sheria ifanye kazi yake ili iwe fundisho kwa wengine ambao wanadhani amani yetu ni jambo la kuchezea.
aise!Wale beberu uchwara waliomtuma na kumpa vijisenti vya kukataa hata ruzuku wako wanamcheki mpaka mahakamani,atakubalije amekula vya watu?
Kichefuchefu kimekuisha hujajitapikia mkuu wangu ?!!nipo mahakamani, kwani mkeo naye yupo hapa? au unasemea Jesca wa Sabaya? sijamwona ameketi pande ipi.
Umeweka maneno ya kumpamba pamba.....Piga kazi Jaji Kiongozi Kijana. Ujue dunia nzima inakuangalia! Usibweteke na hongo ya Ujaji Kiongozi! Mind you: You are the very tender age! You have ladder to climb!
Alimgaidia nani??Unauhakika gani mbowe sio gaidi iache mahakama iamue uhuru wa mahakama
Msiba mwingine, baada ya msiba upi?Natabiri msiba mwingine mzito wa kitaifa unakuja subirini!!!!!
Mahakama ya umma. Umma ni lazima uamke na kuitafuta haki ambayo kwa sasa siyo rahisi kuipata kupitia mahakama ambayo imenajisiwa.Hizo jitihada nyingine Ni zipi ndg, Kama katiba mpya ndiyo hyo inakula msoto gerezani , na jaji kiongozi + Hangaya ndiyo wanaikanyaga!!