Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hawa wahuni ni kupambana nao kupitia waganga wa kienyeji.Ndiyo maisha tunayo yaishi ndugu yangu
Unakumbuka kuhusu kosovo?jela ni mbayaaaaaaa jela matesooooooo
Sawa.....Ufunuo wa Yohana 21:8
Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
Kama Ni wa wote kwa Nini awapige kiberiti watu wa namna hii??
Haiwezekani uuwe, uchukize, uchukize afu Mungu akuchekee, NEVER'
Na bado mnastaajabisha Sana, yaani unanyanyasa mtu , unaua, kisa TU madaraka ya Duniani hapa!!!?
Hii nchi tumeikuta na tutaiacha pia Hakuna haja ya kuumizana na kuuana kwa sababu ya madaraka!!
Ona sasa upuuzi wako.Umechekea makatoni
Na haki ya kukata rufaa iko wapi?Ngumu kumeza ni kwamba:-
Tunajua kila kitu kimepangwa, Jaji atakayekuja ataendelea na shauri hili atajitoa dk za mwisho kwa sababu yoyote ile, then atakuja Jaji wa mwisho kumalizia kesi na kusoma hukumu ya kifungo cha maisha kwa Mh. Mbowe... Litafunguliwa shauri Mahakama Kuu la kuifuta CDM, kisha itafutwa kabla ya uchaguzi Mkuu ujao. Sabaya atatoka baada ya miaka 3 ama 4 hivi. Kama kawaida watanzania tutasahau na CCM itatawala kwa raha huku ACT akiwa ndiyo chama kibaraka wako mkuu ku-justfy upinzani nchini.
Na usithubutu kabisaaah, hata Baba D mwambie asithubutu maana utaishi maisha ya roho juu juu Kama sio kuokota maiti ya mumeo ikielea katika moja ya mito maarufu hapa nchini!Mimi staki chama
Mfungeni mbowe ili huku barabarani mtembee kwa amaniOna sasa upuuzi wako.
Ndiyo maana naye alikufaAlipewa rushwa ya cheo. Ametimiza matakwa ya mteule wake. Sasa atapewa jaji mwingine atakayepangwa na yule jaji miongoni mwa wasiojulikana, jaji simba.
Marehemu kwa kuwapachika wasiojulikana kuwa majaji, aliua kabisa mfumo wa mahaka huru.
Uharibifu wa marehemu kwenye maeneo mbalimbali ya taasisi za utawala na serikali, itachukua miaka mingi kuurekebisha. Na bahati mbaya Hangaya naye, anaenda kiunafiki kuihadaa jamii ya kimataifa huku moyoni akiwa hana dhamira ya dhati ya kuondoa uchafu walioutengeneza wakati wa awamu ua 5.
Tufanyeje sasa kamanda?!!Haya mashina ya CCM hayawezi kutoa haki
Hatuna amani tuna utulivu na uogaTufanyeje sasa kamanda?!!
Nasi ni raia tupendao amani na utulivu wa nchi hii.....
waganga wakienyeji hamna kitu hapo, ila watoe fundisho kwa wahuni wenzao waliosambaratishwa, wakasambaratika kama ndege, kwa kisingizio cha korona.Hawa wahuni ni kupambana nao kupitia waganga wa kienyeji
Kwa hiyo kwako wewe UOGA wowote ni UJINGA?!!!Hatuna amani tuna utulivu na uoga
Daaa huko ndiyo usiguse maana tayari wana uzoefu sanaHawa wahuni ni kupambana nao kupitia waganga wa kienyeji.
Mkuu wapo vizuri maana walimtandika dikteta akajifiawaganga wakienyeji hamna kitu hapo, ila watoe fundisho kwa wahuni wenzao waliosambaratishwa, wakasambaratika kama ndege, kwa kisingizio cha korona.
Ndiyo mkuuKwa hiyo kwako wewe UOGA wowote ni UJINGA?!!!
Mbona dikteta alienda na maji pamoja na ubabe wake woteDaaa huko ndiyo usiguse maana tayari wana uzoefu sana
Daah kwa hiyo kila Kona TIGHT...nipe mawazo kamanda wangu tufanyeje sasa ?!!Daaa huko ndiyo usiguse maana tayari wana uzoefu sana
Alichokwa na kina kipara kipya maana ndiyo mwenyekiti wa vigaggulaMbona dikteta alienda na maji pamoja na ubabe wake wote