Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa yatupilia mbali mapingamizi 2 kesi ndogo ya Mbowe na Wenzake. Jaji Siyani ajitoa kuendelea na kesi

Sawa.....

Madaraka na tawala hulindwa kwa nguvu zote.....

Dunia haijaanza jana.....
 
Na haki ya kukata rufaa iko wapi?
 
Mimi staki chama
Na usithubutu kabisaaah, hata Baba D mwambie asithubutu maana utaishi maisha ya roho juu juu Kama sio kuokota maiti ya mumeo ikielea katika moja ya mito maarufu hapa nchini!
 
Ndiyo maana naye alikufa
 
Hawa wahuni ni kupambana nao kupitia waganga wa kienyeji
waganga wakienyeji hamna kitu hapo, ila watoe fundisho kwa wahuni wenzao waliosambaratishwa, wakasambaratika kama ndege, kwa kisingizio cha korona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…