Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa yatupilia mbali mapingamizi 2 kesi ndogo ya Mbowe na Wenzake. Jaji Siyani ajitoa kuendelea na kesi

Tayari baadhi ya wanachama na viongozi mbalimbali wa Chadema pamoja na Wawakilishi wa Jumuiya ya Kimataifa wamewasili .

View attachment 1980432

========
Tunaomwamini Mungu wa Eliya hatuna wasi wasi kuwa Mungu wa Ibrahim na Isaka na Yakobo atawaongoza Mahakimu kutenda haki. Haki yote inayozidi ile ya mafarisayo
 
Namuona Mtumishi wa Mungu wa Kweli Yehova Jile, Askofu Emmaus Mwamakula..

Mungu wa mbinguni ambariki sana.
 
Asante Kaka, tayari nishawasha kiko langu... nipo chini ya muembe nasubiri uhondo wa Jtano. Leo naibatiza kuwa JTANO YA PGO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…