Mahakama Kuu: Freeman Mbowe (CHADEMA) afungua shauri kupinga mashtaka dhidi yake

Mahakama Kuu: Freeman Mbowe (CHADEMA) afungua shauri kupinga mashtaka dhidi yake

1August 2021

VUGUVUGU LA CHADEMA KANDA YA VICTORIA


Chadema kanda ya Victoria wameamua kutumia ibada ya Jumapili kwa kujumuika na wananchi wengine kuwafanyia maombi maalum kwa watu wote wenye uhitaji mbalimbali akiwemo Mh. Freeman Aikael Mbowe.
source: chadema media tv
Ibada iliambatana na Maombi Maalum kwa watu wote wenye mahitaji mbalimbali
 
Yaweza kuwa ni mbinu ya serikaki ya kurudisha imani ya mahakama na majaji
 
Atatoka mbona mapema tu
Atatoka kwenda wapi.ugaidi sio shitaka lelemama.Mbowe anatafuta njia za mkato tu kukwepa sheria
Anatakiwa ajitetee na kupangua mashitaka sio kukimbilia kufungua kesi
 
Atatoka kwenda wapi.ugaidi sio shitaka lelemama.Mbowe anatafuta njia za mkato tu kukwepa sheria
Anatakiwa ajitetee na kupangua mashitaka sio kukimbilia kufungua kesi
Kwi Kwi Kwi
 
Historia ni somo zuri lakini wenye mamlaka na hata wananchi barani Afrika tuna hulka ya kupuuza wakati wengine ktk mabara ya Amerika ya Kaskazini, Ulaya, Marekani ya Kusini, Mashariki ya Kati, Asia, Oceania na Mashariki ya Mbali somo la historia linatiliwa maanani na wote wananchi wa kawaida na watawala kwani huwa na mtindo wa kuonesha kuwa matukio hujirudia .

Iwe historia juu ya utawala, vita , uongozi, tamaduni, maamuzi ya Mahakama za Juu, michezo, au hadithi ktk Quran tukufu, Biblia takatifu n.k kote huonesha matukio yakijirudia na hivyo somo la historia ni muhimu .

THE TRIAL OF J.J.RAWLINGS: A Revolutionary Moment in Post-Colonial Ghana​




THE TRIAL OF J.J.RAWLINGS, narrates the extraordinary circumstances under which a young military officer, Flight Lieutenant Jerry John Rawlings,
shot into the limelight to change the course of Ghana’s history.

After three coups d’etat by senior military officers, the image of the military had sunk so low that the promise of a general election in June 1979 was not enough to assuage Ghanaians.

Feeling that it was necessary for the military to cleanse itself and restore its image, a group of young officers and other ranks of the Ghana Armed Forces mutinied. The leader, J.J.Rawlings, and six others were put on trial by a military tribunal.

Rawlings’ bold statements at the trial stirred the conscience of other ranks in the military and civil society.
The result was a midnight release of all the accused from prison, followed by a campaign to ‘clean-up the military’ before handing over power to a civilian government.

The inability of the elected government to maintain the tempo and spirit of the ‘June 4 Revolution’ saw Rawlings return to power in December 1981. He went on to become Ghana’s longest serving Head of State.
 
Kiongozi_bora.jpg
 
Back
Top Bottom