n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Asante kwa taarifa.
Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Mahakama Kuu kwa vyombo vya habari
Yeyote mwenye wasifu wa Jaji huyu mpya atuwekee hapa ili tupate kumfahamu , Bali taarifa za awali zinaonyesha kwamba ALIAPISHWA KUWA JAJI NA RAIS WA AWAMU YA 5 , HAYATI JOHN MAGUFULI
Siyani ni muovu sana!Awali alijitahidi kusimama kwenye haki! Baada ya Chifu wako kugundua hatari iliyopo mbele yake (ya kuumbuka kutokana na ile interview yake na Kikeke) akaona ampe rushwa ya madaraka!
Na matokeo yake ndiyo hayo ya kutupilia mbali hiyo kesi ndogo! Na aibu ya milele amebaki nayo yeye Siyani! Na dhambi ya kupindisha sheria kwa sababu ya cheo, itamtafuna maisha yake yote.
Hakuna ugumu wowote, atende HAKI kwenye hiyo kesi ya Kidhalimu.Ajue amekabidhiwa fupa gumu. Muhimu amtangulize Mungu ili amuongoze kutenda haki.
Zote hizi Ni wale wale Hamna kitu hapo, UPE tupu..... Magu appointees Ni rubbish!
Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Mahakama Kuu kwa vyombo vya habari
Yeyote mwenye wasifu wa Jaji huyu mpya atuwekee hapa ili tupate kumfahamu , Bali taarifa za awali zinaonyesha kwamba ALIAPISHWA KUWA JAJI NA RAIS WA AWAMU YA 5 , HAYATI JOHN MAGUFULI
Hakuna Cha Mungu ameshapewa maelekezoAjue amekabidhiwa fupa gumu. Muhimu amtangulize Mungu ili amuongoze kutenda haki.
Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Mahakama Kuu kwa vyombo vya habari
Yeyote mwenye wasifu wa Jaji huyu mpya atuwekee hapa ili tupate kumfahamu , Bali taarifa za awali zinaonyesha kwamba ALIAPISHWA KUWA JAJI NA RAIS WA AWAMU YA 5 , HAYATI JOHN MAGUFULI
Kikubwa akatende Haki kwa mujibu wa Sheria.
Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Mahakama Kuu kwa vyombo vya habari
Yeyote mwenye wasifu wa Jaji huyu mpya atuwekee hapa ili tupate kumfahamu , Bali taarifa za awali zinaonyesha kwamba ALIAPISHWA KUWA JAJI NA RAIS WA AWAMU YA 5 , HAYATI JOHN MAGUFULI
Majaliwa,Samia,huna imani nao? miundombinu unayotumia huna imani nayo pia kwa vile vilifanywa na Mwendazake?Kama ni mabaki ya mwendazake sina imani naye,
Majaliwa,Samia,huna imani nao? miundombinu unayotumia huna imani nayo pia kwa vile vilifanywa na Mwendazake?
Siyani ni muovu sana!
Siyani ni muovu sana!
Mkuu, jaji yupi ungependa aendeshe kesi .?Hawa wote sina imani nao as long as ni wateule wa Magu.
Uko Gambia🙄halafu unabishia Mambo ya Tanzania?,Labda Gambia ya Tandale.miundo mbinu ipi mkuu? mi naishi Gambia huku hakuna mladi wowote wa jiwe, au unazani wote tupo tandale?
Uko Gambia[emoji849]halafu unabishia Mambo ya Tanzania?,Labda Gambia ya Tandale.