n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Asante kwa taarifa.
Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Mahakama Kuu kwa vyombo vya habari
Yeyote mwenye wasifu wa Jaji huyu mpya atuwekee hapa ili tupate kumfahamu , Bali taarifa za awali zinaonyesha kwamba ALIAPISHWA KUWA JAJI NA RAIS WA AWAMU YA 5 , HAYATI JOHN MAGUFULI