Mahakama kuu imesema msanii Elizabeth Michael (Lulu) ana kesi ya kujibu

Kosa kubwa ni la mama lulu. Alimpa uhuru mkubwa sana mwanae na mzigo wa kuilea familia tangu mdogo. Lulu ndio mlipa ada na mambo yote ya familia yake tangu kitambo. Mama mtu hana sauti kwa bintie

Binti anapata msala ila anashindwa kukimbilia nyumbani au kumpigia simu mama yake kwa msaada zaidi aiseeee ulimwengu unafunza mengi
 
Exactly huyu mama ndo alipaswa afungwe
 
Na pombe alizokua analewa mpaka kuzima. Kuna article global kuwa lulu alipigwa stop kuingia club bills ila bint akajigamba hakuna wa kumzuia maana kakua
Hivi unajua lulu alisherehekea bday ya 18yrs 2011?
 
alikuwa anajikuza tu ili wakubwa wampapatikie kiurahisi maana kudet na minor ni ishu hapa tz
Hakuwa anajikuza huo neo umri wake sahihi amezaliwa 1993 kipindi anatangaza ITV alikua na six to 7yrs
 
Na pombe alizokua analewa mpaka kuzima. Kuna article global kuwa lulu alipigwa stop kuingia club bills ila bint akajigamba hakuna wa kumzuia maana kakua
Yap kumbe u do remember!! Goood!!!hatujasahau jamani
 
Kama mahakama ikiutaka umri halisi wa lulu waende kaole waonane na uongozi utakua na kumbukumbu wanazoweka za wasanii wao au pale itv. Au shule ya msingi aliyosoma lulu
Hakuwa anajikuza huo neo umri wake sahihi amezaliwa 1993 kipindi anatangaza ITV alikua na six to 7yrs
 
Nakumbuka kila hatua,pia lulu alishawahi kuwa na kesi mahakaman ya ugomvi,hakimu akamwaonya kuhusu mavazi yake aliyoyavaa siku hio kwenye usikilizaji wa kesi
Yap kumbe u do remember!! Goood!!!hatujasahau jamani
 
Kama mahakama ikiutaka umri halisi wa lulu waende kaole waonane na uongozi utakua na kumbukumbu wanazoweka za wasanii wao au pale itv. Au shule ya msingi aliyosoma lulu
Magazeti yapo na kipindi cha mkasi kipo na yeye mwenyewe alivyokamatwa aliandika 18 baadae tunaskia 17 jamani tunakumbuka vzr
 
Nakumbuka kila hatua,pia lulu alishawahi kuwa na kesi mahakaman ya ugomvi,hakimu akamwaonya kuhusu mavazi yake aliyoyavaa siku hio kwenye usikilizaji wa kesi
Ahsanteee
Apambane na hali yake
 
Umeandika vizuri ndugu
atakua ameelewa lakn ulivyoanza hapo.... duh

naamin unaweza kumuelewesha bila kumshusha kwanza kwa maneno

Naomba usinielewe vibaya na nisamehe kama ntakua nimekukwaza
 
Na kweli
yule mama bado ana kinyongo na aloshayasema live kuwa hafurahii kuona aliyemuua mwanae anakula anashiba anapendeza mtaani

Unaweza jiuliza.... Lulu akifungwa kanumba anarudi? au filamu za kampuni yao ndio zitauza?

Wakati mwingine Mungu anakupa jaribu.... naamin hili lilikua jaribu lake huyu mama na hajaweza kulishinda.... Inabidi asamehe ili Mungu aseme nae na kumuinua. Japo ni ngumu sana kibinaadamu
 
mahakama ikishakuambia una kesi ya kujibu,hapo ni saw ushawashiwa indicator kwamba kuna hatari mbele yako...ila mimi niko upande wa huyo binti,namuombea tu hiki kikombe kimuepuke...jela ukikaa hata mwaka tu,unalost kabisa.
 
ndugu huyo mama kanumba hata angeamua kumsamehe lulu,lakini bado lulu hashtakiwi na mama kanumba anashtakiwa na jamhuri..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…