Mahakama kuu imetoa hati kukamatwa Nabii na Mtume Josephati Mwingira

MAJIBU
MAANDIKO YA KUKATAZA WANAWAKE KUVAA SURUALI/MAVAZI YAWAPASAYO WANAUME NA WANAUME KUTOVAA MAVAZI YA WANAWAKE.
Hilo andiko liko katika kumbukumbu la torati 24.15 kama sikosei, sina Biblia hapa inaeleza wazi kuwa mwanamke haruhusiwi kuvaa mavazi ya mwanaume na pia mwanaume hatakiwi kuvaa mavazi ya kike. Tena kuna andiko katika vitabu vya warumi, yeremia ambayo yanaeleza bayana kuwa je ww uliyefinyangwa unawezaje kumwambia aliyekufinyanga amekufinyanga vibaya au hana ufahamu, kisha linaeleza kuwa kufanya hivyo ni chukizo mbele za Mungu.

Sasa tutumie akili ya kawaida, unapovaa wigi- haumwambii Mungu kuwa alikosea kukufinyanga hivyo bali alitakiwa kukupatia nywele kama za wigi? je Yesu angekuwepo au Mungu mwenyewe anaweza kufanya hayo unayotaka? je dhamiri yako inasemaje/ inakushuhudiaje?

pili, akili ya kawaida, katika kitabu cha wakorintho kuna sehemu moja inatuagiza kutumia akili na pia sehemu nyingine inasema maumbile yetu yatufundishe jinsi inavyotupasa kuwa, sasa je kama ww mwanamke ukivaa suruali ukabanwa na haja ndogo unaweza kujisaidai kwa uhuru kama ilivyo kwa wanaume, jibu ni hapana. lakini kwa mwanmke aliyevaa sketi/gauni anaweza akachuchumaa chini kama anaandika kitu kumbe anapata haja yake kwa raha kabisa bila hata watu kujua. hIVYO, wanwake kuvaa suruali ni chukizo mbele na tambua kuanzia leo kuwa hakuna suruali za kike ile nio mbinu ya shetani kuwadhalilisha wanawake na utu wao huku wakimchukiza Mungu

Andiko lingine linasema ni chukizo kwa Mungu kumkwaza ndugu, ss angalia mwanamke akivaa suruali, haiwezi kukaa kama inavyoweza kukaa suruali kwa mwanaume, sehemu ya mbele hukaa vibaya kiasi kwamba mtu akiangalia anaweza kuona hata kiungo chake cha siri kilivyokaa, na akiangalia nyuma ndo usiseme, sasa hapa huoni hilo vazi sio la wanawake. mith 7 10 yako mavazi ya kikahaba hilo la suruali kwa wanawake ni moja ya vazi la kikahahaba kwani huonyesha jinsi umbile zima la mwanamke jinsi lilivyo na kutangaza kwa watu wanaoptaka bidhaa hiyo wainunue.

Mwanamke acha kujitetea yako maandiko mengi, ningekuwa na Biblia ningekujazia kurasa usome mpaka uchoke,KILA AVAAYE SURUALI AU MAWIGI au au heleni au mikufu au pete hana tofauti na mchawi na ni machukizo mbele za Mungu. Ukitaka soma pia Mungu alipokuwa anataka kuongea na Waisraeli alimwagiza Musa nini kifanyike ili aonane na wana wa Israeli walipokuwa wanaelekea kanaani, aliwaambia hata mapambo ya kikahaba yawaondoe katika miili yao

mwingira kama anakataza watu kuvaa mawigi na wanavaa mm namshauri awafukuze kanisani kwani wanamletea mashetani na kuichafua nyumba ya Mungu na jina lake kama ww.

Kumbuka kinyonge hakitaingia katika ufalme wa Mungu, acha ukahaba ili upate kupona
 
KWANI nan asiyejua viongozi wetu wana pete na mikufu ya kichawi wanayopewa aidha baada ya kulala makaburini au baada ya kunyweshwa vitu vichafu na kuchanjwa chale, kawaambia ukweli, wasimlaumu, ndivyo walivyo, ndio maana hata kikwete na pinda hawajui kwann watanzania ni maskini ilihali nchi imejaa utajiri tele
 

Siku hiyo mwisho wa dunia nahisi huko mbinguni kutakuwa na mishangao mingi sana pale tutakapowaona tusiowatarajia katika ufalme wa Mungu.Vipi kuhsu zile jamii zenye utaratibu huo unaoupinga wewe?au kutakuwa na hukumu tofauti kwa kila kabila?Masikini na wazee wetu wa zamani bila shaka wote wataenda motoni kwa hoja hii ,maana walikuwa hawavai nguo kabisaaaaa afadhali na makahaba.
 
Kuna mgongano wa maslahi kati ya kanisa LAKE na baadhi ya viongozi wa serikali legelege

.
Nani kasema yule ni mkewe? Yaani maandiko matakatifu yatenguke kwa kumwogopa mwingira? Labda mseme kuwa ilimruhusu mwingira tu kufafanya atakavyo. Kila kitu kitapita, dunia na vyote viijazavyo lakini neno la Mungu halitatanguka hata nucta moja.
.
 

Bora wewe unaweza hata kuyasoma hayo maandishi ya kiarabu hadi unatetemeka,

mie huwa nadhani ni majina ya wamiliki wa hizo pete
 
 

duh, ni kweli. tafuta kuna kitabu kinaitwa "Heavens is so real" au "Kweli mbingu ipo" by Choo Thomas you will see...
 
Huyu mwingira Mbona anajitapa sana,na serikali inamtazama tu .kuna mtu anamsimamia nyumbani si bure!anafanya maovu wazi.hachukuliwi hatua. Kwa nini.?
 
 
Wiki iliyopita Mtumishi wa Mungu Nabii na Mtume Mwingira alikuwa anatafutwa na Jeshi la Polisi kituo cha Osterbay kutokana na wafuasi wake Nabii Mwingira kuwazuia wafanyakazi wa Afroplus kuingia ofisini kutokana na mgogoro unaoendelea kati ya Huduma ya Efatha na kiwanda hicho ambapo pamoja na mahakama kuzuia upande wowote kuleta usumbufu kwa mwingine bado Nabii huyo pamoja na wafuasi wake waliwazuia hao wafanyakazi kuingia Ofisini.

Baadhi ya magazeti yaliripoti kuwa kuna siku walizingira kanisa hilo ili kumdaka bila mafanikio lakini ikaelezwa kuwa aliwasiliana na kamanda Kinyera kuwa alipoti Jumatatu, Kama kuna mwenye habari za Nabii huyo kutii mamlaka na kwenda kujisalimisha Polisi atujuze ili tujiridhishe kuwa viongozi wetu wa dini wanatii mamlaka zilizoko duniani.
 

.
Ukiona kimya kingi ujue hajatii mamlaka. Na hivyo ndivyo ilivyo kwa baadhi ya watu waliojitukuza na kujiweka juu ya sheria na kanuni zinazoiongoza jamii ambayo wao binafsi ni miongoni mwao.
.
 
Nakupongeza sana kwa majibu yako mazuri.Ila umesema Mwingira anakataza kuvaa mawigi lakini waumini na mkewe wanavaa kwa utashi wao.Sasa Nabii Mwingira alikuwa anakataza Mawigi kwa kutaja neno gani ktk bible mpaka wewe hujui?Au hufuatilii vizuri maana kama alikuwa anahubiri ni kawaida yake kukataza kitu kwa kutaja neno kwenye Bible.Au hatumii bible
 
Mimi nadhani huyujamaa ameugua kichaa au ndodalili zakiyama

Neno la msalaba ni upuuzi kwa wanao potea bali kwetu ni ushindi na nguvu ya Mungu. ukristo si fasihi simulizi ambazo huanzia kwenye akili kwa tungo sinanazo na ukweli na kupelekea hata misisimko kutokea. U-kristo ni imani! Imani ni pale akili inapoishia zaidi ya hapo ndo imani huanza. ndo maana umemuona Mwingira hana akili kwakua yupo katika Imani anazungumza mambo ambayo akili haiyaelewi.
 
Pamoja na kwamba nimeunga mkono kauli ya mwingira( hata hivyo sijaona quotes zake) ila natoa rai kwa wakristo kutogombana katika mwili kwakua vita vyetu si juu ya damu na nyama bali katika roho juu ya falme za PEPO wabaya. hao ndo huwapotosha wanadamu walioumbwa kwa mfano wa MUNGU nae baada ya kuwaumba akasema 'Tazama kila kitu ni chema' hivyo wa kupambana nae ni ibilisi ambaye kawashika viongozi wetu na kuwatumainisha uchawi na nguvu za giza ili kuiongoza serikali. nasema Bwana atavunja vunja madhabahu zao nayo ikulu inatetemeka kwakua wamelitia taifa katika kuzimu na Mungu muumba mbingu na nchi anaabudiwa humu nchini. Mungu mwenye wivu hachangamani na hao kwakua humu nchini Mungu anawatu wanao mheshimu ambao hawam yamazi usiku wala mchana wakimtaka ajitukuze kama MUNGU katika Tanzania. nafuraha kumjua Mungu katika kristo Yesu yule ambaye si nabii issa bali ni mwana wa Mungu- Mungu mwenyewe.
 
Ipo kazi kubwa kutambua nabii wa ukweli na wa uongo. Mungu na atupe mafunuo..............
 

Suala si kushabikia Ubaya. Ila matendo ya mtu huyu yanaumiza wengine. Waulize wakazi wa mapinga- Bagamoyo alichowafanya, Waulize Afroplus alivyowabomolea kiwanda N.K.View attachment 45712View attachment 45713View attachment 45714View attachment 45715View attachment 45716View attachment 45716View attachment 45714View attachment 45714 Angalia jengo na mitambo ya uchapishaji vitabu ilivyovunjwa wk 2 zilizopita ktk picha.
 
hakuna kitu hapoo

mbona Jpili alikuwa kanisani na hakuna aliyekwenda kumkamata

mahakama inashindwa kukamata wezi wa mali zetu na wanaotuumizia wana wetu kwa madawa ya kulevya wana mkimbilia nabii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…