assuredly4
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 1,216
- 220
MAJIBU
MAANDIKO YA KUKATAZA WANAWAKE KUVAA SURUALI/MAVAZI YAWAPASAYO WANAUME NA WANAUME KUTOVAA MAVAZI YA WANAWAKE.
Hilo andiko liko katika kumbukumbu la torati 24.15 kama sikosei, sina Biblia hapa inaeleza wazi kuwa mwanamke haruhusiwi kuvaa mavazi ya mwanaume na pia mwanaume hatakiwi kuvaa mavazi ya kike. Tena kuna andiko katika vitabu vya warumi, yeremia ambayo yanaeleza bayana kuwa je ww uliyefinyangwa unawezaje kumwambia aliyekufinyanga amekufinyanga vibaya au hana ufahamu, kisha linaeleza kuwa kufanya hivyo ni chukizo mbele za Mungu.
Sasa tutumie akili ya kawaida, unapovaa wigi- haumwambii Mungu kuwa alikosea kukufinyanga hivyo bali alitakiwa kukupatia nywele kama za wigi? je Yesu angekuwepo au Mungu mwenyewe anaweza kufanya hayo unayotaka? je dhamiri yako inasemaje/ inakushuhudiaje?
pili, akili ya kawaida, katika kitabu cha wakorintho kuna sehemu moja inatuagiza kutumia akili na pia sehemu nyingine inasema maumbile yetu yatufundishe jinsi inavyotupasa kuwa, sasa je kama ww mwanamke ukivaa suruali ukabanwa na haja ndogo unaweza kujisaidai kwa uhuru kama ilivyo kwa wanaume, jibu ni hapana. lakini kwa mwanmke aliyevaa sketi/gauni anaweza akachuchumaa chini kama anaandika kitu kumbe anapata haja yake kwa raha kabisa bila hata watu kujua. hIVYO, wanwake kuvaa suruali ni chukizo mbele na tambua kuanzia leo kuwa hakuna suruali za kike ile nio mbinu ya shetani kuwadhalilisha wanawake na utu wao huku wakimchukiza Mungu
Andiko lingine linasema ni chukizo kwa Mungu kumkwaza ndugu, ss angalia mwanamke akivaa suruali, haiwezi kukaa kama inavyoweza kukaa suruali kwa mwanaume, sehemu ya mbele hukaa vibaya kiasi kwamba mtu akiangalia anaweza kuona hata kiungo chake cha siri kilivyokaa, na akiangalia nyuma ndo usiseme, sasa hapa huoni hilo vazi sio la wanawake. mith 7 10 yako mavazi ya kikahaba hilo la suruali kwa wanawake ni moja ya vazi la kikahahaba kwani huonyesha jinsi umbile zima la mwanamke jinsi lilivyo na kutangaza kwa watu wanaoptaka bidhaa hiyo wainunue.
Mwanamke acha kujitetea yako maandiko mengi, ningekuwa na Biblia ningekujazia kurasa usome mpaka uchoke,KILA AVAAYE SURUALI AU MAWIGI au au heleni au mikufu au pete hana tofauti na mchawi na ni machukizo mbele za Mungu. Ukitaka soma pia Mungu alipokuwa anataka kuongea na Waisraeli alimwagiza Musa nini kifanyike ili aonane na wana wa Israeli walipokuwa wanaelekea kanaani, aliwaambia hata mapambo ya kikahaba yawaondoe katika miili yao
mwingira kama anakataza watu kuvaa mawigi na wanavaa mm namshauri awafukuze kanisani kwani wanamletea mashetani na kuichafua nyumba ya Mungu na jina lake kama ww.
Kumbuka kinyonge hakitaingia katika ufalme wa Mungu, acha ukahaba ili upate kupona
MAANDIKO YA KUKATAZA WANAWAKE KUVAA SURUALI/MAVAZI YAWAPASAYO WANAUME NA WANAUME KUTOVAA MAVAZI YA WANAWAKE.
Hilo andiko liko katika kumbukumbu la torati 24.15 kama sikosei, sina Biblia hapa inaeleza wazi kuwa mwanamke haruhusiwi kuvaa mavazi ya mwanaume na pia mwanaume hatakiwi kuvaa mavazi ya kike. Tena kuna andiko katika vitabu vya warumi, yeremia ambayo yanaeleza bayana kuwa je ww uliyefinyangwa unawezaje kumwambia aliyekufinyanga amekufinyanga vibaya au hana ufahamu, kisha linaeleza kuwa kufanya hivyo ni chukizo mbele za Mungu.
Sasa tutumie akili ya kawaida, unapovaa wigi- haumwambii Mungu kuwa alikosea kukufinyanga hivyo bali alitakiwa kukupatia nywele kama za wigi? je Yesu angekuwepo au Mungu mwenyewe anaweza kufanya hayo unayotaka? je dhamiri yako inasemaje/ inakushuhudiaje?
pili, akili ya kawaida, katika kitabu cha wakorintho kuna sehemu moja inatuagiza kutumia akili na pia sehemu nyingine inasema maumbile yetu yatufundishe jinsi inavyotupasa kuwa, sasa je kama ww mwanamke ukivaa suruali ukabanwa na haja ndogo unaweza kujisaidai kwa uhuru kama ilivyo kwa wanaume, jibu ni hapana. lakini kwa mwanmke aliyevaa sketi/gauni anaweza akachuchumaa chini kama anaandika kitu kumbe anapata haja yake kwa raha kabisa bila hata watu kujua. hIVYO, wanwake kuvaa suruali ni chukizo mbele na tambua kuanzia leo kuwa hakuna suruali za kike ile nio mbinu ya shetani kuwadhalilisha wanawake na utu wao huku wakimchukiza Mungu
Andiko lingine linasema ni chukizo kwa Mungu kumkwaza ndugu, ss angalia mwanamke akivaa suruali, haiwezi kukaa kama inavyoweza kukaa suruali kwa mwanaume, sehemu ya mbele hukaa vibaya kiasi kwamba mtu akiangalia anaweza kuona hata kiungo chake cha siri kilivyokaa, na akiangalia nyuma ndo usiseme, sasa hapa huoni hilo vazi sio la wanawake. mith 7 10 yako mavazi ya kikahaba hilo la suruali kwa wanawake ni moja ya vazi la kikahahaba kwani huonyesha jinsi umbile zima la mwanamke jinsi lilivyo na kutangaza kwa watu wanaoptaka bidhaa hiyo wainunue.
Mwanamke acha kujitetea yako maandiko mengi, ningekuwa na Biblia ningekujazia kurasa usome mpaka uchoke,KILA AVAAYE SURUALI AU MAWIGI au au heleni au mikufu au pete hana tofauti na mchawi na ni machukizo mbele za Mungu. Ukitaka soma pia Mungu alipokuwa anataka kuongea na Waisraeli alimwagiza Musa nini kifanyike ili aonane na wana wa Israeli walipokuwa wanaelekea kanaani, aliwaambia hata mapambo ya kikahaba yawaondoe katika miili yao
mwingira kama anakataza watu kuvaa mawigi na wanavaa mm namshauri awafukuze kanisani kwani wanamletea mashetani na kuichafua nyumba ya Mungu na jina lake kama ww.
Kumbuka kinyonge hakitaingia katika ufalme wa Mungu, acha ukahaba ili upate kupona