NYENJENKURU
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 1,066
- 294
hawa wanaopewa utume wa uchawi kutoka nigeria na kinshasa kazi kweli kweli
Hapo kwenye red yaani Mwingira ni EZEMWAH? kutoka Nigeria?MMMMM H
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawa wanaopewa utume wa uchawi kutoka nigeria na kinshasa kazi kweli kweli
Nabii na Mtume Joseph Mwingira amesema, yeye ni Mtume wa mitume wote duniani na hawezi kuogopa na polisi wanao mtafuta.
Amesema serikali ya Tz inaongozwa na watu wanalala makaburi na kuchanjwa chale na waganga wa kienyeji.
Amesema viongoz wakuu akiwemo rais wanavaa pete za wachawi na hirizi hivyo hawana uwezo wa kupambana naye.
Akiongea kwenye ibada alisema kama wananisaka kwa nini wasijekunikamata hapa kanisani? Nitapambana mpaka kieleweke, Nipotayari kufa. Amewataka waumini wake wasitishwe na viogozi wa serikali wanaolala Makaburini.
Inaonyesha wewe si muumini wa Kakobe wala Mwingira pia huweze kuwa Mkatoliki ukashauli Wapentecosti .Huna sifa za kumkosoa Kakobe.Mahubiri yake ni ya kweli na Yanalenga kuwasaidia watuHata Yesu anayeaminiwa na Mwingira aliwakandia viongozi lakini sio kwa style ya Mwingira ambaye nyuma ya pazia ni mnyang'annyi na mfanya biashara mashuhuri kama kina Barabas. Mtume hajifagilii mwenyewe. Kila ajikwezaye atadhiliwa na kila ajidhiliye atakwezwa.
Historia ya uendeshaji wa kiroho wa Mwingira umejaa shaka tupu, lakini ajuaye kuhukumu vizuri ni Mungu mwenyewe. Mwenzake Kakobe alijifagilia sanaaa lakini somo limeanza kupanda kichwani kidogo siku hizi japo baaaaado kabisa. Watenda kazi wa Mungu wa kweli kwa kawaida ni vigumu kuwaona ila kwa kazi zao, nao wapo wengi tu. Kila debe lililo tupu hutika mno!
Paulo alionya sana, lakini maonyo ya Paulo si rahisi watu kama Mwingira wakafurahia kuyafanyia kazi, achilia mbali kuyatafakari kwa ajili yao wenyewe. Kawaida watu wa style ya Mwingira kila asomapo Maandiko anatafakari kwa namna ya kumhusu anayekwenda kumhubiri, yeye mwenyewe anadhani hayamhusu maana tayari anadhani amekubaliwa na Mungu. Hilo nalo, ni tatizo kubwa.
dunia imefikia tamati!!!lol!Mtume wa Mitume, means YESU na Mohamad wote wanapay respect kwake? kazi ipo kwelikweli
YESU Kristo sio mtume.Ni Mungu kweli na Mtu kweli...Labda unamsema yesu mwingine unayemjua wewe...Mtume wa Mitume, means YESU na Mohamad wote wanapay respect kwake? kazi ipo kwelikweli
sometimes ukweli huwa unauuma!na wanadamu huwa hatupendi kuambiwa ukweli.mh lakini ya uchawi yana ukweli.nani asiyejua kuwa wanasiasa wengi hupenda kwenda huko kwa wachawi na waganga wa kienyeji kusaka mambo mbalimbali kama ulinzi sijui na mambo mengine.inasikitisha sana coz mlinzi ni Mungu tu.hao wote tunawaweka fungu moja la wanga tu.kila mtu ana uhuru wa kusema atakacho katika zama hizi za uhuru wa habari.sioni kosa hapo.na viongozi wetu wa dini kama hawa na wengineo kama kina Cardinal Pengo wasipokemea maovu mbalimbali kwa serikali yetu unafikiri tuafika kweli???me naona wanafanya vyema kurekebisha jamii,serikali na viongozi wetu.me nafikiri serikali na viongozi wetu pia hukosea,no body is perfect.as human beings we tunamapungufu na makosa.so kurekbishwa ni jambo la kawaida kabisa.