Mahakama kuu imetoa hati kukamatwa Nabii na Mtume Josephati Mwingira

Mahakama kuu imetoa hati kukamatwa Nabii na Mtume Josephati Mwingira

Nakupongeza sana kwa majibu yako mazuri.Ila umesema Mwingira anakataza kuvaa mawigi lakini waumini na mkewe wanavaa kwa utashi wao.Sasa Nabii Mwingira alikuwa anakataza Mawigi kwa kutaja neno gani ktk bible mpaka wewe hujui?Au hufuatilii vizuri maana kama alikuwa anahubiri ni kawaida yake kukataza kitu kwa kutaja neno kwenye Bible.Au hatumii bible

Asante kwa pongezi,
Naona umeongeza la kwako hapa "mkewe" havai wigi ni nywele zake, wala watoto wake hawavai wigs. Anapo kataza jambo lolote katika mafundisho yake hutumia (neno la MUNGU) biblia. Sikumbuki exactly mstari. Lakini ni lile la kumkosoa MUNGU(kukosa uasilia wako). Haijataja wigs,rasta na mengineyo. Kuna pafyum na zenyewe utazisemeaje, wanja nao. Kunyoa nywele kwa kuchonga? Mara nyingi rasta na wigs huambatana na mapepo na watumishi walionazo hutakiwa kuzitoa pindi wasogeapo patakatifu pa Mungu wakati wa matukio muhimu kama ubatizo na mengineyo. na katika maisha ya kawaida ya mpasa mtu kulitaksa kabla hajatumia(wigs & rasta na hata mavazi). Toka enzi wanawake wamekuwa wakijipamba na kupendeza katika uhalisia wao na haikukatazwa. Soma biblia ujue historia inasemaje, na sio kuwakataza eti mara wasiweke dawa kwenye nywele mara sijui nini!

Regards
G
 
.
Nani kasema yule ni mkewe? Yaani maandiko matakatifu yatenguke kwa kumwogopa mwingira? Labda mseme kuwa ilimruhusu mwingira tu kufafanya atakavyo. Kila kitu kitapita, dunia na vyote viijazavyo lakini neno la Mungu halitatanguka hata nucta moja.
.

hahahaaa
Uzuri waumini wake tunajua kila kitu yaani historia yake na mambo yake yoote mpaka pale alipo, hakuna jipya utakalo sema wewe sisi tukawa hatulijui kusuhu Apostle & Prophet Josephat Elias Mwingira. Lakini pamoja na yote hayo, Mungu amuona yeye ana nafuu kuliko wewe. Ndio maana akamtuma na yuko pale akiaandaa kanisa kwa ajili ya UNYAKUO. Sasa jiulize wewe ukoje, maovu yako wewe yakoje?

ningekushauri usipende kuwaongelea vibaya watumishi wa Mungu (yeyote yule). Unajua ametumwa na nani wewe? Kwa sababu unaweza kujikuta una fight against him, who he stands for THE ALMIGHT GOD (MUNGU MKUU), na itakapofikia hapo sijui kama utabaki salama kibs.

Maana hata Yesu mwenyewe hakuja kwa ajili ya wema bali wenye dhambi ili wapate kutubu.
NAKUSHAURI UTUBU ili mungu akusamehe usije kufa na dhambi hiyo.

ukiona hukubaliani na mtumishi mpotezee tu. haitakupunguzia chochote.

Regards
G
 
Mwingira kabomoa mwenge kwa sababu uwanja ni mali ya efatha mwenge jamaa wa AFRO PLUS wanajua hilo sema walikuwa wanakomaa kwa sababu mapepo ndio wanafanya kazi nao.Mwingira ni mmiliki halali wa eneo lote hilo. Kama kaamua kuboa ni haki yake kwa sababu lipo kwenye umiliki wake.
 
Asante kwa pongezi,
Naona umeongeza la kwako hapa "mkewe" havai wigi ni nywele zake, wala watoto wake hawavai wigs. Anapo kataza jambo lolote katika mafundisho yake hutumia (neno la MUNGU) biblia. Sikumbuki exactly mstari. Lakini ni lile la kumkosoa MUNGU(kukosa uasilia wako). Haijataja wigs,rasta na mengineyo. Kuna pafyum na zenyewe utazisemeaje, wanja nao. Kunyoa nywele kwa kuchonga? Mara nyingi rasta na wigs huambatana na mapepo na watumishi walionazo hutakiwa kuzitoa pindi wasogeapo patakatifu pa Mungu wakati wa matukio muhimu kama ubatizo na mengineyo. na katika maisha ya kawaida ya mpasa mtu kulitaksa kabla hajatumia(wigs & rasta na hata mavazi). Toka enzi wanawake wamekuwa wakijipamba na kupendeza katika uhalisia wao na haikukatazwa. Soma biblia ujue historia inasemaje, na sio kuwakataza eti mara wasiweke dawa kwenye nywele mara sijui nini!

Regards
G

Hivi huyu nabii asiye na huruma anawakilisha Mungu yupi? Mungu huyu huyu wa kwenye biblia au!
 
Nabii na mtume joe devi huyu pia ni mjasiriamali mzuri tu mf ukiwa pale kwenye centre yake kisongo viti vya mbele vinalipiwa sh 10000 vya nyuma 5000 then 2000 nk leso zenye sahihi yake sh 5000 kupeleka maombi binafsi israel 100000 na kuendelea naye pia tumwite nabii?

Acha uongo wewe, hakuna viti vinalipiwa mtu yeyote anayeamnua anakaa mtu yeyote.
 
yeye ni nabii na vile vile ni Mtume.

kazi kweli kweli.

Someni Mathayo 7:21-23 mtaliona hilo.
 
Unajiita m2mee!!! Pia nabii!
Maandiko yanasema siku za mwisho watakuja manabii wa uwongo, yeye bilionea waumini hohe hahe jamani ndiyo nabii huyo. Je Yesu alikuwa anatembelea v8?
 
hakuna kitu hapoo

mbona Jpili alikuwa kanisani na hakuna aliyekwenda kumkamata

mahakama inashindwa kukamata wezi wa mali zetu na wanaotuumizia wana wetu kwa madawa ya kulevya wana mkimbilia nabii

sema wanamkimbilia 'ANAYEJIITA NABII'
 
Watangaze dau tu mi nikawaletee huyo wanayemsaka.
 
Yani hapo wanaume wanapojihalalishia kuwa suruali ni za wanaume peke yao na kunukuu biblia ndio huwa siwaelewi.Sijui ni nani alisema suruali ni za wanaume???????

Kwani nyie mnatumia biblia ya wapi?
 
Yani hapo wanaume wanapojihalalishia kuwa suruali ni za wanaume peke yao na kunukuu biblia ndio huwa siwaelewi.Sijui ni nani alisema suruali ni za wanaume???????
zaidi ya hapo,kimaumbile nazani wanawake ndo wangepaswa kuvaa suruali,
 
Mwingira kabomoa mwenge kwa sababu uwanja ni mali ya efatha mwenge jamaa wa AFRO PLUS wanajua hilo sema walikuwa wanakomaa kwa sababu mapepo ndio wanafanya kazi nao.Mwingira ni mmiliki halali wa eneo lote hilo. Kama kaamua kuboa ni haki yake kwa sababu lipo kwenye umiliki wake.

Na wewe pia ni pepo.
 
Suala si kushabikia Ubaya. Ila matendo ya mtu huyu yanaumiza wengine. Waulize wakazi wa mapinga- Bagamoyo alichowafanya, Waulize Afroplus alivyowabomolea kiwanda N.K.View attachment 45712View attachment 45713View attachment 45714View attachment 45715View attachment 45716View attachment 45716View attachment 45714View attachment 45714 Angalia jengo na mitambo ya uchapishaji vitabu ilivyovunjwa wk 2 zilizopita ktk picha.

Kamata hilo tapeli weka ndani kwanza,hawezi kuharibu mali kiasi hicho alafu achekewe.
 
hahahaaa
Uzuri waumini wake tunajua kila kitu yaani historia yake na mambo yake yoote mpaka pale alipo, hakuna jipya utakalo sema wewe sisi tukawa hatulijui kusuhu Apostle & Prophet Josephat Elias Mwingira. Lakini pamoja na yote hayo, Mungu amuona yeye ana nafuu kuliko wewe. Ndio maana akamtuma na yuko pale akiaandaa kanisa kwa ajili ya UNYAKUO. Sasa jiulize wewe ukoje, maovu yako wewe yakoje?

ningekushauri usipende kuwaongelea vibaya watumishi wa Mungu (yeyote yule). Unajua ametumwa na nani wewe? Kwa sababu unaweza kujikuta una fight against him, who he stands for THE ALMIGHT GOD (MUNGU MKUU), na itakapofikia hapo sijui kama utabaki salama kibs.

Maana hata Yesu mwenyewe hakuja kwa ajili ya wema bali wenye dhambi ili wapate kutubu.
NAKUSHAURI UTUBU ili mungu akusamehe usije kufa na dhambi hiyo.

ukiona hukubaliani na mtumishi mpotezee tu. haitakupunguzia chochote.

Regards
G

He has succeeded to brainwash you very efficiently. Pole sana.
 
Najaribu kuvuta picha sipati - mkuu ebu weka hata skechi/picha ya hiyo Tanganyika jeki du; inaonekana ukipigwa hiyo utatembelea ncha za vidole mpaka selo.

nabii wa kweli ni ELIA ADAM WA II MUNGU WA MAJESHI (MUNUO) wa SILOAM MINISTRY,MAKONDE,MBEZI BEACH.hawa wengine ni manabii wa ibilisi
 
Back
Top Bottom